Aionian Verses
وهمه پسران و همه دخترانش به تسلی اوبرخاستند. اما تسلی نپذیرفت، و گفت: «سوگوارنزد پسر خود به گور فرود میروم.» پس پدرش برای وی همی گریست. (Sheol ) |
Wanawe wote na binti zake wakaja kumfariji, lakini hakukubali kufarijiwa. Akasema, “Hapana, nitamwombolezea mwanangu mpaka nimfikie kaburini.” Kwa hiyo baba yake akaendelea kumlilia. (Sheol )
گفت: «پسرم با شما نخواهد آمد زیرا که برادرش مرده است، و او تنها باقی است. و هر گاه در راهی که میروید زیانی بدو رسد، همانامویهای سفید مرا با حزن به گور فرود خواهیدبرد.» (Sheol ) |
Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi; ndugu yake amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwa atapatwa na madhara katika safari mnayoiendea, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini kwa masikitiko.” (Sheol )
اگر این را نیز ازنزد من ببرید، و زیانی بدو رسد، همانا موی سفیدمرا به حزن به گور فرود خواهید برد.” (Sheol ) |
Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’ (Sheol )
واقع خواهد شد که چون ببیند پسر نیست، او خواهد مرد. و غلامانت موی سفید غلامت، پدرخود را به حزن به گور فرود خواهند برد. (Sheol ) |
akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni. (Sheol )
و اما اگر خداوند چیزتازهای بنماید و زمین دهان خود را گشاده، ایشان را با جمیع مایملک ایشان ببلعد که به گور زنده فرود روند، آنگاه بدانید که این مردمان خداوند رااهانت نمودهاند.» (Sheol ) |
Lakini ikiwa Bwana ataleta jambo jipya kabisa, ardhi ikifunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na kila kitu kilicho mali yao, nao washuke chini kaburini wakiwa hai, ndipo mtafahamu kuwa watu hawa wamemdharau Bwana.” (Sheol )
و ایشان با هرچه به ایشان تعلق داشت، زنده به گور فرورفتند، و زمین برایشان به هم آمد که از میان جماعت هلاک شدند. (Sheol ) |
Wakashuka chini kaburini wakiwa hai, pamoja na kila kitu walichokuwa nacho; nchi ikajifunika juu yao, nao wakaangamia wakatoweka kutoka kusanyiko. (Sheol )
زیرا آتشی در غضب من افروخته شده. و تاهاویه پایینترین شعلهور شده است. و زمین را باحاصلش میسوزاند. و اساس کوهها را آتش خواهد زد. (Sheol ) |
Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu, ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti. Utateketeza dunia pamoja na mazao yake, na kuwasha moto katika misingi ya milima. (Sheol )
خداوند میمیراند و زنده میکند؛ به قبر فرودمی آورد و برمی خیزاند. (Sheol ) |
“Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol )
رسنهای گور مرا احاطه نمودند. دامهای موت مرا دریافتند. (Sheol ) |
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol )
پس موافق حکمت خود عمل نما و مباد که موی سفید او به سلامتی به قبر فرو رود. (Sheol ) |
Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani. (Sheol )
پس الان او را بیگناه مشمارزیرا که مرد حکیم هستی و آنچه را که با او بایدکرد، میدانی. پس مویهای سفید او را به قبر باخون فرود آور.» (Sheol ) |
Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.” (Sheol )
مثل ابر که پراکنده شده، نابود میشود. همچنین کسیکه به گور فرو میرود، برنمی آید. (Sheol ) |
Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena. (Sheol )
مثل بلندیهای آسمان است؛ چه خواهی کرد؟ گودتر از هاویه است؛ چه توانی دانست؟ (Sheol ) |
Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini? Kina chake ni kirefu kuliko kuzimu: wewe waweza kujua nini? (Sheol )
کاش که مرا در هاویه پنهان کنی؛ و تا غضبت فرو نشیند، مرا مستور سازی؛ و برایم زمانی تعیین نمایی تا مرا به یاد آوری. (Sheol ) |
“Laiti kama ungenificha kaburini, na kunisitiri hadi hasira yako ipite! Laiti ungeniwekea wakati, na kisha ukanikumbuka! (Sheol )
وقتی که امید دارم هاویه خانه من میباشد، وبستر خود را در تاریکی میگسترانم، (Sheol ) |
Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi, kama nikikitandika kitanda changu gizani, (Sheol )
تابندهای هاویه فرو میرود، هنگامی که با هم درخاک نزول (نماییم ).» (Sheol ) |
Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?” (Sheol )
روزهای خود را در سعادتمندی صرف میکنند، و به لحظهای به هاویه فرودمی روند. (Sheol ) |
Huitumia miaka yao katika mafanikio nao hushuka kaburini kwa amani. (Sheol )
چنانکه خشکی و گرمی آب برف را نابود میسازد، همچنین هاویه خطاکاران را. (Sheol ) |
Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka, ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo waliotenda dhambi. (Sheol )
هاویه به حضور او عریان است، وابدون را ستری نیست. (Sheol ) |
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
زیرا که در موت ذکرتو نمی باشد! در هاویه کیست که تو را حمدگوید؟ (Sheol ) |
Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol )
شریران به هاویه خواهند برگشت و جمیع امت هایی که خدا رافراموش میکنند، (Sheol ) |
Waovu wataishia kuzimu, naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu. (Sheol )
زیرا جانم را در عالم اموات ترک نخواهی کرد، و قدوس خود را نخواهی گذاشت که فسادرا بیند. (Sheol ) |
kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol )
رسنهای گور دور مراگرفته بود و دامهای موت پیش روی من درآمده. (Sheol ) |
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol )
ای خداوندجانم را از حفره برآوردی. مرا زنده ساختی تا به هاویه فرونروم. (Sheol ) |
Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. (Sheol )
ای خداوند خجل نشوم چونکه تو را خواندهام. شریران خجل شوندو در حفره خاموش باشند. (Sheol ) |
Usiniache niaibike, Ee Bwana, kwa maana nimekulilia wewe, bali waovu waaibishwe na kunyamazishwa Kuzimu. (Sheol )
مثل گوسفندان درهاویه رانده میشوند و موت ایشان را شبانی میکند و صبحگاهان راستان بر ایشان حکومت خواهند کرد و جمال ایشان در هاویه پوسیده خواهد شد تا مسکنی برای آن نباشد. (Sheol ) |
Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini, nacho kifo kitawala. Wanyofu watawatawala asubuhi, maumbile yao yataozea kaburini, mbali na majumba yao makubwa ya fahari. (Sheol )
لیکن خدا جان مرا از دست هاویه نجات خواهد دادزیرا که مرا خواهد گرفت، سلاه. (Sheol ) |
Lakini Mungu atakomboa uhai wangu na kaburi, hakika atanichukua kwake. (Sheol )
موت بر ایشان ناگهان آید وزنده بگور فرو روند. زیرا شرارت در مسکن های ایشان و در میان ایشان است. (Sheol ) |
Kifo na kiwajie adui zangu ghafula, na washuke kuzimu wangali hai, kwa maana uovu upo ndani yao. (Sheol )
زیرا که رحمت تو به من عظیم است و جان مرا از هاویه اسفل رهانیدهای. (Sheol ) |
Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu; umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi. (Sheol )
زیرا که جان من از بلایا پر شده است وزندگانیام به قبر نزدیک گردیده. (Sheol ) |
Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu, na maisha yangu yanakaribia kaburi. (Sheol )
کدام آدمی زنده است که موت رانخواهد دید؟ و جان خویش را از دست قبرخلاص خواهد ساخت؟ سلاه. (Sheol ) |
Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol )
ریسمان های موت مرا احاطه کرد و تنگیهای هاویه مرا دریافت، تنگی و غم پیدا کردم. (Sheol ) |
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol )
اگر به آسمان صعود کنم، تو آنجاهستی! و اگر در هاویه بستر بگسترانم اینک توآنجا هستی! (Sheol ) |
Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko. (Sheol )
مثل کسیکه زمین را فلاحت و شیار بکند، استخوانهای مابر سر قبرها پراکنده میشود. (Sheol ) |
Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol )
مثل هاویه ایشان را زنده خواهیم بلعید، و تندرست مانندآنانی که به گور فرو میروند. (Sheol ) |
tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni. (Sheol )
پایهایش به موت فرو میرود، وقدمهایش به هاویه متمسک میباشد. (Sheol ) |
Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo; hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini. (Sheol )
خانه او طریق هاویه است و به حجره های موت مودی میباشد. (Sheol ) |
Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini, ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )
و اونمی داند که مردگان در آنجا هستند، ودعوتشدگانش در عمقهای هاویه میباشند. (Sheol ) |
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol )
هاویه و ابدون در حضور خداوند است، پس چند مرتبه زیاده دلهای بنی آدم. (Sheol ) |
Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za Bwana: je, si zaidi sana mioyo ya wanadamu! (Sheol )
طریق حیات برای عاقلان به سوی بالااست، تا از هاویه اسفل دور شود. (Sheol ) |
Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima kumwepusha asiende chini kaburini. (Sheol )
پس او را با چوب بزن، و جان او را از هاویه نجات خواهی داد. (Sheol ) |
Mwadhibu kwa fimbo na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini. (Sheol )
هاویه و ابدون سیر نمی شوند، همچنان چشمان انسان سیر نخواهند شد. (Sheol ) |
Kuzimu na Uharibifu havishibi kadhalika macho ya mwanadamu. (Sheol )
هاویه و رحم نازاد، و زمینی که از آب سیرنمی شود، و آتش که نمی گوید که کافی است. (Sheol ) |
Ni kaburi, tumbo lisilozaa, nchi isiyoshiba maji kamwe, na moto, usiosema kamwe, ‘Yatosha!’ (Sheol )
هرچه دستت به جهت عمل نمودن بیابد، همان را با توانایی خود به عمل آور چونکه در عالم اموات که به آن میروی نه کار و نه تدبیر و نه علم و نه حکمت است. (Sheol ) |
Lolote mkono wako upatalo kufanya, fanya kwa nguvu zako zote, kwa kuwa huko kuzimu, unakokwenda, hakuna kufanya kazi wala mipango wala maarifa wala hekima. (Sheol )
مرا مثل خاتم بر دلت و مثل نگین بر بازویت بگذار، زیرا که محبت مثل موت زورآور است و غیرت مثل هاویه ستم کیش میباشد. شعله هایش شعله های آتش و لهیب یهوه است. (Sheol ) |
Nitie kama muhuri moyoni mwako, kama muhuri kwenye mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama mauti, wivu wake ni mkatili kama kuzimu. Unachoma kama mwali wa moto, kama mwali mkubwa wa moto wa Bwana hasa. (Sheol )
از این سبب هاویه حرص خود را زیاد کرده و دهان خویش را بیحد باز نموده است و جلال وجمهور و شوکت ایشان و هرکه در ایشان شادمان باشد در آن فرو میرود. (Sheol ) |
Kwa hiyo kaburi limeongeza hamu yake na kupanua mdomo wake bila kikomo, ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu, pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote. (Sheol )
«آیتی به جهت خود از یهوه خدایت بطلب. آن را یا از عمقها بطلب یا از اعلی علیین بالا.» (Sheol ) |
“Mwombe Bwana Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.” (Sheol )
هاویه از زیر برای تو متحرک است تا چون بیایی تو را استقبال نماید، و مردگان یعنی جمیع بزرگان زمین را برای تو بیدار میسازد. و جمیع پادشاهان امتها را از کرسیهای ایشان برمی دارد. (Sheol ) |
Kuzimu kote kumetaharuki kukulaki unapokuja, kunaamsha roho za waliokufa ili kukupokea, wote waliokuwa viongozi katika ulimwengu, kunawafanya wainuke kwenye viti vyao vya kifalme: wale wote waliokuwa wafalme juu ya mataifa. (Sheol )
جلال تو و صدای بربطهای تو به هاویه فرود شده است. کرمها زیر تو گسترانیده شده و مورها تو را میپوشانند. (Sheol ) |
Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu, pamoja na kelele ya vinubi vyako, mafunza yametanda chini yako, na minyoo imekufunika. (Sheol )
لکن به هاویه به اسفلهای حفره فرود خواهی شد. (Sheol ) |
Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo. (Sheol )
از آنجاکه گفتهاید با موت عهد بستهایم و با هاویه همداستان شدهایم، پس چون تازیانه مهلک بگذرد به ما نخواهد رسید زیرا که دروغها راملجای خود نمودیم و خویشتن را زیر مکرمستور ساختیم. (Sheol ) |
Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti, tumefanya mapatano na kuzimu. Wakati pigo lifurikalo litakapopita, haliwezi kutugusa sisi, kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.” (Sheol )
و عهد شما با موت باطل خواهدشد و میثاق شما با هاویه ثابت نخواهد ماند وچون تازیانه شدید بگذرد شما از آن پایمال خواهید شد. (Sheol ) |
Agano lenu na kifo litabatilishwa, patano lenu na kuzimu halitasimama. Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba, litawaangusha chini. (Sheol )
من گفتم: «اینک در فیروزی ایام خود به درهای هاویه میروم و ازبقیه سالهای خود محروم میشوم. (Sheol ) |
Nilisema, “Katika ustawi wa maisha yangu, je, ni lazima nipite katika malango ya mauti, na kupokonywa miaka yangu iliyobaki?” (Sheol )
زیرا که هاویه تو راحمد نمی گوید و موت تو را تسبیح نمی خواند. وآنانی که به حفره فرو میروند به امانت تو امیدوارنمی باشند. (Sheol ) |
Kwa maana kaburi haliwezi kukusifu, mauti haiwezi kuimba sifa zako; wale washukao chini shimoni hawawezi kuutarajia uaminifu wako. (Sheol )
و با روغن در حضور پادشاه رفته، عطریات خود را بسیار کردی و رسولان خود رابجای دور فرستاده، خویشتن را تا به هاویه پست گردانیدی. (Sheol ) |
Ulikwenda kwa Moleki ukiwa na mafuta ya zeituni, na ukaongeza manukato yako. Ukawatuma wajumbe wako mbali sana, ukashuka kwenye kaburi lenyewe! (Sheol )
و خداوند یهوه چنین میگوید: «در روزی که او به عالم اموات فرود میرود، من ماتمی برپامی نمایم و لجه را برای وی پوشانیده، نهرهایش را باز خواهم داشت. و آبهای عظیم باز داشته خواهد شد و لبنان را برای وی سوگوار خواهم کرد. و جمیع درختان صحرا برایش ماتم خواهندگرفت. (Sheol ) |
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka. (Sheol )
و چون او را با آنانی که به هاویه فرودمی روند به عالم اموات فرود آورم، آنگاه امت هارا از صدای انهدامش متزلزل خواهم ساخت. وجمیع درختان عدن یعنی برگزیده و نیکوترین لبنان از همگانی که سیراب میشوند، در اسفلهای زمین تسلی خواهند یافت. (Sheol ) |
Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani. (Sheol )
و ایشان نیز بامقتولان شمشیر و انصارش که در میان امتها زیرسایه او ساکن میبودند، همراه وی به عالم اموات فرود خواهند رفت. (Sheol ) |
Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga. (Sheol )
اقویای جباران از میان عالم اموات اورا و انصار او را خطاب خواهند کرد. ایشان نامختون به شمشیر کشته شده، فرود آمده، خواهند خوابید. (Sheol ) |
Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’ (Sheol )
پس ایشان با جباران و نامختونانی که افتادهاند که با اسلحه جنگ خویش به هاویه فرود رفتهاند، نخواهندخوابید. و ایشان شمشیرهای خود را زیر سرهای خود نهادند. و گناه ایشان بر استخوانهای ایشان خواهد بود. زیرا که در زمین زندگان باعث هیبت جباران بودند. (Sheol ) |
Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai. (Sheol )
من ایشان را از دست هاویه فدیه خواهم داد و ایشان را از موت نجات خواهم بخشید. ای موت ضربات تو کجاست وای هاویه هلاکت تو کجا است؟ پشیمانی از چشمان من مستور شده است. (Sheol ) |
“Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi, nitawakomboa kutoka mautini. Yako wapi, ee mauti, mateso yako? Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako? “Sitakuwa na huruma, (Sheol )
اگر به هاویه فرو روند، دست من ایشان را از آنجاخواهد گرفت و اگر به آسمان صعود نمایند، ایشان را از آنجا فرود خواهم آورد. (Sheol ) |
Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu, kutoka huko mkono wangu utawatoa. Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu, kutoka huko nitawashusha. (Sheol )
و گفت: «در تنگی خودخداوند را خواندم و مرا مستجاب فرمود. ازشکم هاویه تضرع نمودم و آواز مرا شنیدی. (Sheol ) |
Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol )
به درستی که شراب فریبنده است و مرد مغرور آرامی نمی پذیرد، که شهوت خود را مثل عالم اموات میافزاید وخودش مثل موت، سیر نمی شود. بلکه جمیع امتها را نزد خود جمع میکند و تمامی قومها رابرای خویشتن فراهم میآورد. (Sheol ) |
hakika mvinyo humsaliti; ni mwenye kiburi na hana amani. Kwa sababu ni mlafi kama kuzimu na kama kifo kamwe hatosheki; anajikusanyia mataifa yote na kuchukua watu wote mateka. (Sheol )
لیکن من به شما میگویم، هرکه به برادر خود بیسبب خشم گیرد، مستوجب حکم باشد و هرکه برادرخود را راقا گوید، مستوجب قصاص باشد و هرکه احمق گوید، مستحق آتش جهنم بود. (Geenna ) |
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote atakayemkasirikia ndugu yake, atapaswa hukumu. Tena, yeyote atakayemwambia ndugu yake, ‘Raka,’atapaswa kujibu kwa Baraza la Wayahudi. Lakini yeyote atakayesema ‘Wewe mpumbavu!’ atapaswa hukumu ya moto wa jehanamu. (Geenna )
پس اگر چشم راستت تو رابلغزاند، قلعش کن و از خود دور انداز زیرا تو رابهتر آن است که عضوی از اعضایت تباه گردد، ازآنکه تمام بدنت در جهنم افکنده شود. (Geenna ) |
Jicho lako la kuume likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima ukatupwa jehanamu. (Geenna )
و اگردست راستت تو را بلغزاند، قطعش کن و از خوددور انداز، زیرا تو را مفیدتر آن است که عضوی ازاعضای تو نابود شود، از آنکه کل جسدت دردوزخ افکنده شود. (Geenna ) |
Kama mkono wako wa kuume ukikusababisha kutenda dhambi, ukate, uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanamu. (Geenna )
واز قاتلان جسم که قادر بر کشتن روح نیاند، بیم مکنید بلکه از او بترسید که قادر است بر هلاک کردن روح و جسم را نیز در جهنم. (Geenna ) |
Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu. (Geenna )
و توای کفرناحوم که تا به فلک سرافراشتهای، به جهنم سرنگون خواهی شد زیرا هرگاه معجزاتی که در تو پدید آمد درسدوم ظاهر میشد، هرآینه تا امروز باقی میماند. (Hadēs ) |
Nawe Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu. Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko Sodoma, mji huo ungalikuwepo hadi leo. (Hadēs )
وهرکه برخلاف پسر انسان سخنی گوید، آمرزیده شود اما کسیکه برخلاف روحالقدس گوید، دراین عالم و در عالم آینده، هرگز آمرزیده نخواهدشد. (aiōn ) |
Mtu yeyote atakayesema neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au katika ulimwengu ujao. (aiōn )
و آنکه در میان خارها ریخته شد، آن است که کلام را بشنود واندیشه این جهان و غرور دولت، کلام را خفه کند و بیثمر گردد. (aiōn ) |
Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn )
و دشمنی که آنها را کاشت، ابلیس است و موسم حصاد، عاقبت این عالم ودروندگان، فرشتگانند. (aiōn ) |
Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn )
پس همچنانکه کرکاسها را جمع کرده، در آتش میسوزانند، همانطور در عاقبت این عالم خواهد شد، (aiōn ) |
“Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn )
بدینطور در آخر این عالم خواهد شد. فرشتگان بیرون آمده، طالحین را از میان صالحین جدا کرده، (aiōn ) |
Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn )
و من نیز تو را میگویم که تویی پطرس و بر این صخره کلیسای خود را بنا میکنم و ابواب جهنم بر آن استیلا نخواهد یافت. (Hadēs ) |
Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya Kuzimu hayataweza kulishinda. (Hadēs )
پس اگر دستت یا پایت تو رابلغزاند، آن را قطع کرده، از خود دور انداز زیرا تورا بهتر است که لنگ یا شل داخل حیات شوی ازآنکه با دو دست یا دو پا در نار جاودانی افکنده شوی. (aiōnios ) |
Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. (aiōnios )
و اگر چشمت تو را لغزش دهد، آن را قلع کرده، از خود دور انداز زیرا تو را بهتر است بایک چشم وارد حیات شوی، از اینکه با دو چشم در آتش جهنم افکنده شوی. (Geenna ) |
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanamu. (Geenna )
ناگاه شخصی آمده، وی را گفت: «ای استادنیکو، چه عمل نیکو کنم تا حیات جاودانی یابم؟» (aiōnios ) |
Mtu mmoja akamjia Yesu na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios )
و هرکه بخاطر اسم من، خانه هایا برادران یا خواهران یا پدر یا مادر یا زن یافرزندان یا زمینها را ترک کرد، صد چندان خواهدیافت و وارث حیات جاودانی خواهد گشت. (aiōnios ) |
Kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu zake wa kiume au wa kike, baba au mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na ataurithi uzima wa milele. (aiōnios )
و در کناره راه یک درخت انجیر دیده، نزد آن آمد و جز برگ بر آن هیچ نیافت. پس آن را گفت: «از این به بعد میوه تا به ابد بر تونشود!» که در ساعت درخت انجیر خشکید! (aiōn ) |
Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka. (aiōn )
وای برشماای کاتبان و فریسیان ریاکار، زیرا که بر و بحررا میگردید تا مریدی پیدا کنید و چون پیدا شداو را دو مرتبه پستتر از خود، پسر جهنم میسازید! (Geenna ) |
“Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Ninyi mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja mwongofu, lakini baada ya kumpata, mnamfanya mwana wa jehanamu mara mbili kuliko ninyi! (Geenna )
ای ماران و افعیزادگان! چگونه از عذاب جهنم فرارخواهید کرد؟ (Geenna ) |
“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanamu? (Geenna )
و چون به کوه زیتون نشسته بود، شاگردانش در خلوت نزدوی آمده، گفتند: «به ما بگو که این امور کی واقع میشود و نشان آمدن تو و انقضای عالم چیست.» (aiōn ) |
Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia faraghani, wakamuuliza, “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo dalili ya kuja kwako na ya mwisho wa dunia ni gani?” (aiōn )
«پس اصحاب طرف چپ را گوید: ای ملعونان، از من دور شوید در آتش جاودانی که برای ابلیس و فرشتگان او مهیا شده است. (aiōnios ) |
“Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake. (aiōnios )
و ایشان درعذاب جاودانی خواهند رفت، اما عادلان درحیات جاودانی.» (aiōnios ) |
“Ndipo hawa watakapoingia kwenye adhabu ya milele, lakini wale wenye haki wataingia katika uzima wa milele.” (aiōnios )
وایشان را تعلیم دهید که همه اموری را که به شما حکم کردهام حفظ کنند. و اینک من هرروزه تا انقضای عالم همراه شما میباشم.» آمین. (aiōn ) |
nanyi wafundisheni kuyashika mambo yote niliyowaamuru ninyi. Hakika mimi niko pamoja nanyi siku zote, hadi mwisho wa nyakati.” (aiōn )
لیکن هرکه به روحالقدس کفر گوید، تا به ابد آمرزیده نشود بلکه مستحق عذاب جاودانی بود.» (aiōn , aiōnios ) |
Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.” (aiōn , aiōnios )
اندیشه های دنیوی و غرور دولت وهوس چیزهای دیگر داخل شده، کلام را خفه میکند و بیثمر میگردد. (aiōn ) |
lakini masumbufu ya maisha haya, na udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya lisizae. (aiōn )
پس هرگاه دستت تو را بلغزاند، آن را ببرزیرا تو را بهتر است که شل داخل حیات شوی، ازاینکه با دو دست وارد جهنم گردی، در آتشی که خاموشی نپذیرد؛ (Geenna ) |
Kama mkono wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili lakini ukaingia jehanamu, mahali ambako moto hauzimiki. [ (Geenna )
و هرگاه پایت تو رابلغزاند، قطعش کن زیرا تو را مفیدتر است که لنگ داخل حیات شوی از آنکه با دو پا به جهنم افکنده شوی، در آتشی که خاموشی نپذیرد؛ (Geenna ) |
Kama mguu wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa kiwete, kuliko kuwa na miguu miwili lakini ukaingia jehanamu. [ (Geenna )
و هر گاه چشم تو تو را لغزش دهد، قلعش کن زیرا تو را بهتر است که با یک چشم داخل ملکوت خدا شوی، از آنکه با دو چشم درآتش جهنم انداخته شوی، (Geenna ) |
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe. Ni afadhali kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa jehanamu, (Geenna )
چون به راه میرفت، شخصی دوان دوان آمده، پیش او زانو زده، سوال نمود که «ای استادنیکو چه کنم تا وارث حیات جاودانی شوم؟ (aiōnios ) |
Yesu alipokuwa anaondoka, mtu mmoja akamkimbilia, akapiga magoti mbele yake, akamuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
جزاینکه الحال در این زمان صد چندان یابد ازخانهها و برادران و خواهران و مادران و فرزندان و املاک با زحمات، و در عالم آینده حیات جاودانی را. (aiōn , aiōnios ) |
ambaye hatalipwa mara mia katika ulimwengu huu: nyumba, ndugu wa kiume na wa kike, mama na baba na watoto, mashamba pamoja na mateso, kisha uzima wa milele katika ulimwengu ujao. (aiōn , aiōnios )
پس عیسی توجه نموده، بدان فرمود: «از این پس تا به ابد، هیچکس از تو میوه نخواهد خورد.» وشاگردانش شنیدند. (aiōn ) |
Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo. (aiōn )
واو بر خاندان یعقوب تا به ابد پادشاهی خواهد کردو سلطنت او را نهایت نخواهد بود.» (aiōn ) |
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” (aiōn )
چنانکه به اجداد ما گفته بود، به ابراهیم و به ذریت او تاابدالاباد.» (aiōn ) |
Abrahamu na uzao wake milele, kama alivyowaahidi baba zetu.” (aiōn )
چنانچه به زبان مقدسین گفت که از بدو عالم انبیای اومی بودند، (aiōn ) |
kama alivyonena kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani, (aiōn )
واز او استدعا کردند که ایشان را نفرماید که به هاویه روند. (Abyssos ) |
Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo. (Abyssos )
و توای کفرناحوم که سر به آسمان افراشتهای، تا به حهنم سرنگون خواهی شد. (Hadēs ) |
Nawe, Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.” (Hadēs )
ناگاه یکی از فقها برخاسته از روی امتحان به وی گفت: «ای استاد چه کنم تا وارث حیات جاودانی گردم؟» (aiōnios ) |
Wakati huo mtaalamu mmoja wa sheria alisimama ili kumjaribu Yesu, akamuuliza, “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
بلکه به شما نشان میدهم که از که باید ترسید، از او بترسید که بعد از کشتن، قدرت دارد که به جهنم بیفکند. بلی به شما میگویم از او بترسید. (Geenna ) |
Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua mwili, ana mamlaka ya kuwatupa motoni. Naam, nawaambia, mwogopeni huyo! (Geenna )
«پس آقایش، ناظر خائن را آفرین گفت، زیراعاقلانه کار کرد. زیرا ابنای این جهان در طبقه خویش از ابنای نور عاقل تر هستند. (aiōn ) |
“Yule bwana akamsifu yule msimamizi dhalimu kwa jinsi alivyotumia ujanja. Kwa maana watu wa dunia hii wana ujanja zaidi wanapojishughulisha na mambo ya dunia kuliko watu wa nuru. (aiōn )
و من شمارا میگویم دوستان از مال بیانصافی برای خودپیدا کنید تا چون فانی گردید شما را به خیمه های جاودانی بپذیرند. (aiōnios ) |
Nawaambia, tumieni mali ya kidunia kujipatia marafiki, ili itakapokwisha, mkaribishwe katika makao ya milele. (aiōnios )
پس چشمان خود را در عالم اموات گشوده، خود رادر عذاب یافت. و ابراهیم را از دور و ایلعازر را درآغوشش دید. (Hadēs ) |
Kule kuzimu alipokuwa akiteseka, alitazama juu, akamwona Abrahamu kwa mbali, naye Lazaro alikuwa karibu yake. (Hadēs )
و یکی از روسا از وی سوال نموده، گفت: «ای استاد نیکو چه کنم تا حیات جاودانی راوارث گردم؟» (aiōnios ) |
Mtawala mmoja akamuuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
جز اینکه در این عالم چند برابربیابد و در عالم آینده حیات جاودانی را.» (aiōn , aiōnios ) |
ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.” (aiōn , aiōnios )
عیسی در جواب ایشان گفت: «ابنای این عالم نکاح میکنند و نکاح کرده میشوند. (aiōn ) |
Yesu akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa. (aiōn )
لیکن آنانی که مستحق رسیدن به آن عالم و به قیامت از مردگان شوند، نه نکاح میکنند و نه نکاح کرده میشوند. (aiōn ) |
Lakini wale ambao wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaolewi. (aiōn )
تاهرکه به او ایمان آرد هلاک نگردد، بلکه حیات جاودانی یابد. (aiōnios ) |
Ili kila mtu amwaminiye awe na uzima wa milele. (aiōnios )
زیرا خدا جهان را اینقدر محبت نمود که پسر یگانه خود را داد تا هرکه بر او ایمان آورد هلاک نگردد بلکه حیات جاودانی یابد. (aiōnios ) |
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (aiōnios )
آنکه به پسر ایمان آورده باشد، حیات جاودانی دارد و آنکه به پسر ایمان نیاوردحیات را نخواهد دید، بلکه غضب خدا بر اومی ماند.» (aiōnios ) |
Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele, lakini yeye asiyemwamini Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake.” (aiōnios )
لیکن کسیکه از آبی که من به او میدهم بنوشد، ابد تشنه نخواهد شد، بلکه آن آبی که به او میدهم در او چشمه آبی گردد که تا حیات جاودانی میجوشد.» (aiōn , aiōnios ) |
Lakini yeyote anywaye maji nitakayompa hataona kiu kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika uzima wa milele.” (aiōn , aiōnios )
و دروگر اجرت میگیردو ثمری بجهت حیات جاودانی جمع میکند تاکارنده و دروکننده هر دو با هم خشنود گردند. (aiōnios ) |
Mvunaji tayari anapokea mshahara wake, naye anakusanya mazao kwa ajili ya uzima wa milele. Ili yeye apandaye na yeye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios )
آمین آمین به شمامی گویم هرکه کلام مرا بشنود و به فرستنده من ایمان آورد، حیات جاودانی دارد و در داوری نمی آید، بلکه از موت تا به حیات منتقل گشته است. (aiōnios ) |
“Amin, amin nawaambia, yeyote anayesikia maneno yangu na kumwamini yeye aliyenituma, anao uzima wa milele, naye hatahukumiwa, bali amepita kutoka mautini, na kuingia uzimani. (aiōnios )
کتب را تفتیش کنید زیرا شما گمان میبریدکه در آنها حیات جاودانی دارید و آنها است که به من شهادت میدهد. (aiōnios ) |
Ninyi mnachunguza Maandiko mkidhani ya kuwa ndani yake mna uzima wa milele, maandiko haya ndiyo yanayonishuhudia Mimi. (aiōnios )
کار بکنید نه برای خوراک فانی بلکه برای خوراکی که تا حیات جاودانی باقی است که پسر انسان آن را به شما عطا خواهد کرد، زیراخدای پدر بر او مهر زده است.» (aiōnios ) |
Msishughulikie chakula kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba amemtia muhuri.” (aiōnios )
و اراده فرستنده من این است که هرکه پسر را دید و بدو ایمان آورد، حیات جاودانی داشته باشد و من در روز بازپسین او راخواهم برخیزانید.» (aiōnios ) |
Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni kwamba kila mmoja amtazamaye, Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele, nami nitawafufua siku ya mwisho.” (aiōnios )
آمین آمین به شما میگویم هرکه به من ایمان آرد، حیات جاودانی دارد. (aiōnios ) |
Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios )
من هستم آن نان زنده که از آسمان نازل شد. اگر کسی از این نان بخورد تا به ابد زنده خواهد ماند و نانی که من عطامی کنم جسم من است که آن را بجهت حیات جهان میبخشم.» (aiōn ) |
Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu yeyote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn )
و هرکه جسد مرا خورد و خون مرا نوشید، حیات جاودانی دارد و من در روزآخر او را خواهم برخیزانید. (aiōnios ) |
Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
این است نانی که از آسمان نازل شد، نه همچنانکه پدران شما من را خوردند و مردند؛ بلکه هرکه این نان را بخورد تا به ابد زنده ماند.» (aiōn ) |
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn )
شمعون پطرس به اوجواب داد: «خداوندا نزد که برویم؟ کلمات حیات جاودانی نزد تو است. (aiōnios ) |
Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tuondoke twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. (aiōnios )
و غلام همیشه در خانه نمی ماند، اما پسر همیشه میماند. (aiōn ) |
Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima. (aiōn )
آمین آمین به شما میگویم، اگر کسی کلام مرا حفظکند، موت را تا به ابد نخواهد دید.» (aiōn ) |
Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu hataona mauti milele.” (aiōn )
پس یهودیان بدو گفتند: «الان دانستیم که دیو داری! ابراهیم و انبیا مردند و تو میگویی اگر کسی کلام مرا حفظ کند، موت را تا به ابد نخواهد چشید (aiōn ) |
Ndipo Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kwamba una pepo mchafu. Ikiwa Abrahamu alikufa na vivyo hivyo manabii, nawe unasema ‘Mtu akitii neno langu hatakufa milele.’ (aiōn )
از ابتدای عالم شنیده نشده است که کسی چشمان کور مادرزاد را باز کرده باشد. (aiōn ) |
Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
ومن به آنها حیات جاودانی میدهم و تا به ابد هلاک نخواهند شد و هیچکس آنها را از دست من نخواهد گرفت. (aiōn , aiōnios ) |
nami ninawapa uzima wa milele, hawataangamia kamwe wala hakuna mtu atakayewapokonya kutoka mikono yangu. (aiōn , aiōnios )
و هرکه زنده بود و به من ایمان آورد، تا به ابد نخواهد مرد. آیااین را باور میکنی؟» (aiōn ) |
na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?” (aiōn )
کسیکه جان خود رادوست دارد آن را هلاک کند و هرکه در این جهان جان خود را دشمن دارد تا حیات جاودانی آن رانگاه خواهد داشت. (aiōnios ) |
Mtu yeyote anayependa maisha yake atayapoteza, naye ayachukiaye maisha yake katika ulimwengu huu atayaokoa hata kwa uzima wa milele. (aiōnios )
پس همه به او جواب دادند: «ما از تورات شنیدهایم که مسیح تا به ابد باقی میماند. پس چگونه تو میگویی که پسر انسان باید بالا کشیده شود؟ کیست این پسر انسان؟» (aiōn ) |
Ule umati wa watu ukapiga kelele ukasema, “Tumesikia kutoka Sheria kwamba ‘Kristo adumu milele,’ wewe wawezaje kusema, ‘Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu’? Huyu ‘Mwana wa Adamu’ ni nani?” (aiōn )
و میدانم که فرمان او حیات جاودانی است. پس آنچه من میگویم چنانکه پدربمن گفته است، تکلم میکنم.» (aiōnios ) |
Nami ninajua amri zake huongoza hadi kwenye uzima wa milele. Hivyo lolote nisemalo, ndilo lile Baba aliloniambia niseme.” (aiōnios )
پطرس به اوگفت: «پایهای مرا هرگز نخواهی شست.» عیسی او را جواب داد: «اگر تو را نشویم تو را با من نصیبی نیست.» (aiōn ) |
Petro akamwambia, “La, wewe hutaninawisha miguu kamwe.” Yesu akamjibu, “Kama nisipokunawisha, wewe huna sehemu nami.” (aiōn )
و من از پدر سوال میکنم و تسلی دهندهای دیگر به شما عطا خواهد کرد تا همیشه باشما بماند، (aiōn ) |
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. (aiōn )
همچنانکه او را برهر بشری قدرت دادهای تا هرچه بدو دادهای به آنها حیات جاودانی بخشد. (aiōnios ) |
Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. (aiōnios )
و حیات جاودانیاین است که تو را خدای واحد حقیقی و عیسی مسیح را که فرستادی بشناسند. (aiōnios ) |
Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios )
زیرا که نفس مرا در عالم اموات نخواهی گذاشت و اجازت نخواهی داد که قدوس تو فساد را ببیند. (Hadēs ) |
Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu. (Hadēs )
درباره قیامت مسیح پیش دیده، گفت که نفس او در عالم اموات گذاشته نشود و جسد او فساد را نبیند. (Hadēs ) |
Daudi, akiona mambo yaliyoko mbele, akanena juu ya kufufuka kwa Kristo, kwamba hakuachwa kaburini, wala mwili wake haukuona uharibifu. (Hadēs )
که میباید آسمان او را پذیرد تا زمان معاد همهچیز که خدا از بدوعالم به زبان جمیع انبیای مقدس خود، از آن اخبار نمود. (aiōn ) |
Ilimpasa mbingu zimpokee mpaka wakati wa kufanywa upya kila kitu, kama Mungu alivyoahidi zamani kupitia kwa vinywa vya manabii wake watakatifu. (aiōn )
آنگاه پولس و برنابا دلیر شده، گفتند: «واجب بود کلام خدا نخست به شما القا شود. لیکن چون آن را رد کردید و خود را ناشایسته حیات جاودانی شمردید، همانا به سوی امت هاتوجه نماییم. (aiōnios ) |
Ndipo Paulo na Barnaba wakawajibu kwa ujasiri, wakisema, “Ilitupasa kunena nanyi neno la Mungu kwanza. Lakini kwa kuwa mmelikataa, mkajihukumu wenyewe kuwa hamstahili uzima wa milele, sasa tunawageukia watu wa Mataifa. (aiōnios )
چون امتها این راشنیدند، شادخاطر شده، کلام خداوند را تمجیدنمودند و آنانی که برای حیات جاودانی مقرربودند، ایمان آوردند. (aiōnios ) |
Watu wa Mataifa waliposikia haya wakafurahi na kulitukuza neno la Bwana; nao wote waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. (aiōnios )
این را میگوید خداوندی که این چیزها را از بدو عالم معلوم کرده است. (aiōn ) |
ambayo yamejulikana tangu zamani. (aiōn )
زیرا که چیزهای نادیده او یعنی قوت سرمدی و الوهیتش از حین آفرینش عالم بوسیله کارهای او فهمیده و دیده میشود تا ایشان را عذری نباشد. (aïdios ) |
Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru. (aïdios )
که ایشان حق خدا را به دروغ مبدل کردند وعبادت و خدمت نمودند مخلوق را به عوض خالقی که تا ابدالاباد متبارک است. آمین. (aiōn ) |
Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen. (aiōn )
اما به آنانی که با صبر در اعمال نیکوطالب جلال و اکرام و بقایند، حیات جاودانی را؛ (aiōnios ) |
Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
تا آنکه چنانکه گناه در موت سلطنت کرد، همچنین فیض نیزسلطنت نماید به عدالت برای حیات جاودانی بوساطت خداوند ما عیسی مسیح. (aiōnios ) |
ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios )
اما الحال چونکه از گناه آزاد شده و غلامان خدا گشتهاید، ثمر خود را برای قدوسیت میآورید که عاقبت آن، حیات جاودانی است. (aiōnios ) |
Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele. (aiōnios )
زیرا که مزد گناه موت است، اما نعمت خدا حیات جاودانی در خداوند ماعیسی مسیح. (aiōnios ) |
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios )
که پدران از آن ایشانند و از ایشان مسیح بحسب جسم شد که فوق از همه است، خدای متبارک تا ابدالاباد، آمین. (aiōn ) |
Wao ni wa uzao wa mababa wakuu wa kwanza, ambao kutoka kwao Kristo alikuja kwa jinsi ya mwili kama mwanadamu, yeye ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote, mwenye kuhimidiwa milele! Amen. (aiōn )
یا کیست که به هاویه نزول کند یعنی تا مسیح رااز مردگان برآورد.» (Abyssos ) |
“au ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’” (yaani ili kumleta Kristo kutoka kwa wafu.) (Abyssos )
زیرا خدا همه رادر نافرمانی بسته است تا بر همه رحم فرماید. (eleēsē ) |
Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote. (eleēsē )
زیرا که از او و به او و تا او همهچیز است؛ و او را تا ابدالاباد جلال باد، آمین. (aiōn ) |
Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake. Utukufu ni wake milele! Amen. (aiōn )
و همشکل این جهان مشوید بلکه به تازگی ذهن خود صورت خود راتبدیل دهید تا شما دریافت کنید که اراده نیکوی پسندیده کامل خدا چیست. (aiōn ) |
Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. (aiōn )
الان او را که قادر است که شما را استوار سازد، برحسب بشارت من و موعظه عیسی مسیح، مطابق کشف آن سری که از زمانهای ازلی مخفی بود، (aiōnios ) |
Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios )
لکن درحال مکشوف شد و بوسیله کتب انبیا برحسب فرموده خدای سرمدی به جمیع امتها بجهت اطاعت ایمان آشکارا گردید، (aiōnios ) |
Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios )
خدای حکیم وحید را بوسیله عیسی مسیح تا ابدالاباد جلال باد، آمین. (aiōn ) |
Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn )
کجا است حکیم؟ کجا کاتب؟ کجا مباحث این دنیا؟ مگرخدا حکمت جهان را جهالت نگردانیده است؟ (aiōn ) |
Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu? (aiōn )
لکن حکمتی بیان میکنیم نزد کاملین، اماحکمتی که از این عالم نیست و نه از روسای این عالم که زایل میگردند. (aiōn ) |
Lakini miongoni mwa watu waliokomaa twanena hekima, wala si hekima ya ulimwengu huu au ya watawala wa dunia hii wanaobatilika. (aiōn )
بلکه حکمت خدا را درسری بیان میکنیم، یعنی آن حکمت مخفی را که خدا پیش از دهرها برای جلال ما مقدر فرمود، (aiōn ) |
Sisi tunanena hekima ya Mungu ambayo ni siri, tena iliyofichika, ambayo Mungu aliikusudia kabla ya ulimwengu kuwepo, kwa ajili ya utukufu wetu. (aiōn )
که احدی از روسای این عالم آن را ندانست زیرا اگر میدانستند خداوند جلال را مصلوب نمی کردند. (aiōn ) |
Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn )
زنهارکسی خود را فریب ندهد! اگر کسی از شما خودرا در این جهان حکیم پندارد، جاهل بشود تاحکیم گردد. (aiōn ) |
Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. (aiōn )
بنابراین، اگرخوراک باعث لغزش برادر من باشد، تا به ابدگوشت نخواهم خورد تا برادر خود را لغزش ندهم. (aiōn ) |
Kwa hiyo, kama kile ninachokula kitamfanya ndugu yangu aanguke katika dhambi, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya ndugu yangu aanguke. (aiōn )
و این همه بطور مثل بدیشان واقع شد وبرای تنبیه ما مکتوب گردید که اواخر عالم به ما رسیده است. (aiōn ) |
Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia. (aiōn )
ای موت نیش تو کجا است وای گور ظفر تو کجا؟» (Hadēs ) |
“Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako? Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?” (Hadēs )
که درایشان خدای این جهان فهم های بیایمانشان راکور گردانیده است که مبادا تجلی بشارت جلال مسیح که صورت خداست، ایشان را روشن سازد. (aiōn ) |
Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn )
زیرا که این زحمت سبک ما که برای لحظهای است، بار جاودانی جلال را برای ما زیاده و زیاده پیدا میکند. (aiōnios ) |
Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios )
در حالی که ما نظر نمی کنیم به چیزهای دیدنی، بلکه به چیزهای نادیدنی، زیرا که آنچه دیدنی است، زمانی است و نادیدنی جاودانی. (aiōnios ) |
kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios )
زیرا میدانیم که هرگاه این خانه زمینی خیمه ما ریخته شود، عمارتی از خداداریم، خانهای ناساخته شده بهدستها و جاودانی در آسمانها. (aiōnios ) |
Kwa maana twajua kama hema yetu ya dunia tunayoishi ikiharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu, nyumba iliyo ya milele kule mbinguni, isiyojengwa kwa mikono ya wanadamu. (aiōnios )
چنانکه مکتوب است که «پاشید و به فقرا داد و عدالتش تا به ابدباقی میماند». (aiōn ) |
Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.” (aiōn )
خدا و پدر عیسی مسیح خداوند که تا به ابد متبارک است، میداند که دروغ نمی گویم. (aiōn ) |
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. (aiōn )
که خود رابرای گناهان ما داد تا ما را از این عالم حاضر شریربحسب اراده خدا و پدر ما خلاصی بخشد، (aiōn ) |
aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn )
که او را تا ابدالاباد جلال باد. آمین. (aiōn ) |
Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
زیرا هرکه برای جسم خود کارد، از جسم فساد را درو کند و هرکه برای روح کارد از روح حیات جاودانی خواهد دروید. (aiōnios ) |
Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. (aiōnios )
بالاتر از هر ریاست و قدرت و قوت و سلطنت و هر نامی که خوانده میشود، نه در این عالم فقطبلکه در عالم آینده نیز. (aiōn ) |
juu sana kuliko falme zote na mamlaka, enzi na milki, na juu ya kila jina litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali katika ule ujao pia. (aiōn )
که در آنها قبل، رفتارمی کردید برحسب دوره این جهان بر وفق رئیس قدرت هوا یعنی آن روحی که الحال در فرزندان معصیت عمل میکند. (aiōn ) |
ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii. (aiōn )
تا در عالمهای آینده دولت بینهایت فیض خود را به لطفی که بر ما درمسیح عیسی دارد ظاهر سازد. (aiōn ) |
ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn )
و همه را روشن سازم که چیست انتظام آن سری که از بنای عالمهامستور بود، در خدایی که همهچیز را بوسیله عیسی مسیح آفرید. (aiōn ) |
na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote. (aiōn )
برحسب تقدیر ازلی که در خداوند ما مسیح عیسی نمود، (aiōn ) |
sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn )
مر او را درکلیسا و در مسیح عیسی تا جمیع قرنها تا ابدالابادجلال باد. آمین. (aiōn ) |
yeye atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen. (aiōn )
زیرا که ما را کشتی گرفتن با خون و جسم نیست بلکه با ریاستها و قدرتها وجهان داران این ظلمت و با فوجهای روحانی شرارت در جایهای آسمانی. (aiōn ) |
Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. (aiōn )
و خدا و پدر ما را تا ابدالابادجلال باد. آمین. (aiōn ) |
Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen. (aiōn )
یعنی آن سری که از دهرها وقرنها مخفی داشته شده بود، لیکن الحال به مقدسان او مکشوف گردید، (aiōn ) |
Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn )
که ایشان به قصاص هلاکت جاودانی خواهند رسید از حضور خداوند و جلال قوت او (aiōnios ) |
Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios )
و خود خداوند ما عیسی مسیح و خدا و پدر ماکه ما را محبت نمود و تسلی ابدی و امید نیکو رابه فیض خود به ما بخشید، (aiōnios ) |
Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios )
بلکه از این جهت بر من رحم شد تا اول درمن، مسیح عیسی کمال حلم را ظاهر سازد تا آنانی را که بجهت حیات جاودانی به وی ایمان خواهندآورد، نمونه باشم. (aiōnios ) |
Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios )
باری پادشاه سرمدی و باقی ونادیده را، خدای حکیم وحید را اکرام و جلال تاابدالاباد باد. آمین. (aiōn ) |
Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn )
و جنگ نیکوی ایمان رابکن و بدست آور آن حیات جاودانی را که برای آن دعوت شدی و اعتراف نیکو کردی در حضورگواهان بسیار. (aiōnios ) |
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios )
که تنها لایموت و ساکن در نوری است که نزدیک آن نتوان شد و احدی از انسان او را ندیده و نمی تواند دید. او را تا ابدالاباد اکرام و قدرت باد. آمین. (aiōnios ) |
yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios )
دولتمندان این جهان را امر فرما که بلندپروازی نکنند و به دولت ناپایدار امید ندارند، بلکه به خدای زنده که همهچیز را دولتمندانه برای تمتع به ما عطا میکند؛ (aiōn ) |
Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn )
که ما را نجات داد و به دعوت مقدس خواند نه به حسب اعمال ما بلکه برحسب اراده خود و آن فیضی که قبل ازقدیم الایام در مسیح عیسی به ما عطا شد. (aiōnios ) |
ambaye alituokoa na kutuita katika mwito mtakatifu: si kwa kadiri ya matendo yetu mema bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na neema yake. Neema hii tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele. (aiōnios )
و ازاین جهت همه زحمات را بخاطر برگزیدگان متحمل میشوم تا ایشان نیز نجاتی را که درمسیح عیسی است با جلال جاودانی تحصیل کنند. (aiōnios ) |
Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios )
زیرا که دیماس برای محبت این جهان حاضر مرا ترک کرده، به تسالونیکی رفته است و کریسکیس به غلاطیه و تیطس به دلماطیه. (aiōn ) |
kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia. (aiōn )
و خداوند مرا ازهر کار بد خواهد رهانید و تا به ملکوت آسمانی خود نجات خواهد داد. او را تا ابدالاباد جلال باد. آمین. (aiōn ) |
Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
به امید حیات جاودانی که خدایی که دروغ نمی تواند گفت، اززمانهای ازلی وعده آن را داد، (aiōnios ) |
imani na ujuzi ulioko katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyesema uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, (aiōnios )
ما را تادیب میکند که بیدینی و شهوات دنیوی را ترک کرده، با خرداندیشی و عدالت و دینداری در این جهان زیست کنیم. (aiōn ) |
Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn )
تا به فیض او عادل شمرده شده، وارث گردیم بحسب امید حیات جاودانی. (aiōnios ) |
ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele. (aiōnios )
زیرا که شاید بدین جهت ساعتی از توجدا شد تا او را تا به ابد دریابی. (aiōnios ) |
Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios )
در این ایام آخر به ما بوساطت پسر خود متکلم شد که او را وارث جمیع موجودات قرار داد و بوسیله او عالمها راآفرید؛ (aiōn ) |
lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu. (aiōn )
اما در حق پسر: «ای خدا تخت تو تا ابدالاباد است و عصای ملکوت تو عصای راستی است. (aiōn ) |
Lakini kwa habari za Mwana asema, “Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitadumu milele na milele, nayo haki itakuwa fimbo ya utawala ya ufalme wako. (aiōn )
چنانکه در مقام دیگر نیز میگوید: «تو تا به ابدکاهن هستی بر رتبه ملکیصدق.» (aiōn ) |
Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn )
و کامل شده، جمیع مطیعان خود را سبب نجات جاودانی گشت. (aiōnios ) |
na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii. (aiōnios )
وتعلیم تعمیدها و نهادن دستها و قیامت مردگان وداوری جاودانی را. (aiōnios ) |
mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios )
و لذت کلام نیکوی خدا و قوات عالم آینده را چشیدند، (aiōn ) |
ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao, (aiōn )
جایی که آن پیشرو برای ما داخل شد یعنی عیسی که بر رتبه ملکیصدق، رئیس کهنه گردید تاابدالاباد. (aiōn ) |
mahali ambapo Yesu mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki. (aiōn )
زیرا شهادت داده شد که «تو تا به ابد کاهن هستی بر رتبه ملکیصدق.» (aiōn ) |
Kwa maana imeshuhudiwa kwamba: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn )
زیرا ایشان بیقسم کاهن شدهاند ولیکن این با قسم از او که به وی میگوید: «خداوند قسم خورد و تغییر اراده نخواهد داد که تو کاهن ابدی هستی بر رتبه ملکیصدق.» (aiōn ) |
lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Bwana ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” (aiōn )
لکن وی چون تا به ابد باقی است، کهانت بیزوال دارد. (aiōn ) |
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. (aiōn )
از آنرو که شریعت مردمانی را که کمزوری دارند کاهن میسازد، لکن کلام قسم که بعد از شریعت است، پسر را که تاابدالاباد کامل شده است. (aiōn ) |
Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn )
و نه به خون بزها و گوسالهها، بلکه به خون خود، یک مرتبه فقط به مکان اقدس داخل شد و فدیه ابدی را یافت. (aiōnios ) |
Hakuingia kwa njia ya damu ya mbuzi na ya ndama; lakini aliingia Patakatifu pa Patakatifu mara moja tu kwa damu yake mwenyewe, akiisha kupata ukombozi wa milele. (aiōnios )
پس آیا چند مرتبه زیاده، خون مسیح که به روح ازلی خویشتن را بیعیب به خداگذرانید، ضمیر شما را از اعمال مرده طاهرنخواهد ساخت تا خدای زنده را خدمت نمایید؟ (aiōnios ) |
Basi ni zaidi aje damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na waa, itatusafisha dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai! (aiōnios )
و از این جهت او متوسط عهد تازهای است تا چون موت برای کفاره تقصیرات عهد اول بوقوع آمد، خواندهشدگان وعده میراث ابدی رابیابند. (aiōnios ) |
Kwa sababu hii Kristo ni mpatanishi wa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze kupokea ile ahadi ya urithi wa milele: kwa vile yeye alikufa awe ukombozi wao kutoka kwa dhambi walizozitenda chini ya agano la kwanza. (aiōnios )
زیرا در این صورت میبایست که او از بنیاد عالم بارها زحمت کشیده باشد. لکن الان یک مرتبه در اواخر عالم ظاهر شد تا به قربانی خود، گناه را محو سازد. (aiōn ) |
Ingekuwa hivyo, ingempasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini sasa ametokea mara moja tu katika mwisho wa nyakati aiondoe dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu. (aiōn )
به ایمان فهمیدهایم که عالمها به کلمه خدامرتب گردید، حتی آنکه چیزهای دیدنی ازچیزهای نادیدنی ساخته شد. (aiōn ) |
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana. (aiōn )
عیسی مسیح دیروز و امروز و تا ابدالاباد همان است. (aiōn ) |
Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele. (aiōn )
پس خدای سلامتی که شبان اعظم گوسفندان یعنی خداوند ما عیسی را به خون عهدابدی از مردگان برخیزانید، (aiōnios ) |
Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, (aiōnios )
شما را در هر عمل نیکو کامل گرداناد تا اراده او را بهجا آورید وآنچه منظور نظر او باشد، در شما بعمل آوردبوساطت عیسی مسیح که او را تا ابدالاباد جلال باد. آمین. (aiōn ) |
awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
وزبان آتشی است! آن عالم ناراستی در میان اعضای ما زبان است که تمام بدن را میآلاید ودایره کائنات را میسوزاند و از جهنم سوخته میشود! (Geenna ) |
Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa uovu kati ya viungo vya mwili. Ulimi huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha moto mfumo mzima wa maisha yake, nao wenyewe huchomwa moto wa jehanamu. (Geenna )
از آنرو که تولد تازه یافتید نه از تخم فانی بلکه از غیرفانی یعنی به کلام خدا که زنده وتا ابدالاباد باقی است. (aiōn ) |
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn )
لکن کلمه خدا تاابدالاباد باقی است.» و این است آن کلامی که به شما بشارت داده شده است. (aiōn ) |
lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn )
اگر کسی سخن گوید، مانند اقوال خدا بگوید و اگر کسی خدمت کند، برحسب توانایی که خدا بدو داده باشد بکند تا در همهچیز، خدا بواسطه عیسی مسیح جلال یابد که او را جلال و توانایی تاابدالاباد هست، آمین. (aiōn ) |
Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
و خدای همه فیضها که ما را به جلال ابدی خود در عیسی مسیح خوانده، است، شما را بعداز کشیدن زحمتی قلیل کامل و استوار و تواناخواهد ساخت. (aiōnios ) |
Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios )
او را تا ابدالاباد جلال وتوانایی باد، آمین. (aiōn ) |
Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
وهمچنین دخول در ملکوت جاودانی خداوند ونجاتدهنده ما عیسی مسیح به شما به دولتمندی داده خواهد شد. (aiōnios ) |
na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios )
زیرا هرگاه خدا بر فرشتگانی که گناه کردند، شفقت ننمود بلکه ایشان را به جهنم انداخته، به زنجیرهای ظلمت سپرد تا برای داوری نگاه داشته شوند؛ (Tartaroō ) |
Kwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu; (Tartaroō )
بلکه در فیض و معرفت خداوند و نجاتدهنده ما عیسی مسیح ترقی کنید، که او را از کنون تاابدالاباد جلال باد. آمین. (aiōn ) |
Bali kueni katika neema na katika kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na milele! Amen. (aiōn )
وحیات ظاهر شد و آن را دیدهایم و شهادت میدهیم و به شما خبر میدهیم از حیات جاودانی که نزد پدر بود و برما ظاهر شد. (aiōnios ) |
Uzima huo ulidhihirishwa; nasi tumeuona na kuushuhudia, nasi twawatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa pamoja na Baba, nao ukadhihirishwa kwetu. (aiōnios )
و دنیا و شهوات آن در گذراست لکن کسیکه به اراده خدا عمل میکند، تا به ابد باقی میماند. (aiōn ) |
Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele. (aiōn )
و این است آن وعدهای که او به ما داده است، یعنی حیات جاودانی. (aiōnios ) |
Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele. (aiōnios )
هرکه از برادر خود نفرت نماید، قاتل است و میدانید که هیچ قاتل حیات جاودانی در خود ثابت ندارد. (aiōnios ) |
Yeyote amchukiaye ndugu yake ni muuaji, nanyi mwajua ya kwamba muuaji hana uzima wa milele ndani yake. (aiōnios )
و آن شهادت این است که خدا حیات جاودانی به ما داده است واین حیات، در پسر اوست. (aiōnios ) |
Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. (aiōnios )
این را نوشتم به شما که به اسم خدا ایمان آوردهاید تا بدانید که حیات جاودانی دارید و تا به اسم پسر خدا ایمان بیاورید. (aiōnios ) |
Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. (aiōnios )
اما آگاه هستیم که پسرخدا آمده است و به ما بصیرت داده است تا حق رابشناسیم و در حق یعنی در پسر او عیسی مسیح هستیم. اوست خدای حق و حیات جاودانی. (aiōnios ) |
Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios )
بخاطر آن راستی که در ما ساکن است و با ما تا به ابد خواهدبود. (aiōn ) |
kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn )
و فرشتگانی را که ریاست خود را حفظ نکردند بلکه مسکن حقیقی خود را ترک نمودند، در زنجیرهای ابدی درتحت ظلمت بجهت قصاص یوم عظیم نگاه داشته است. (aïdios ) |
Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios )
و همچنین سدوم و غموره و سایربلدان نواحی آنها مثل ایشان چونکه زناکار شدند و درپی بشر دیگر افتادند، در عقوبت آتش ابدی گرفتار شده، بجهت عبرت مقرر شدند. (aiōnios ) |
Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios )
و امواج جوشیده دریا که رسوایی خود را مثل کف برمی آورند و ستارگان آواره هستند که برای ایشان تاریکی ظلمت جاودانی مقرر است. (aiōn ) |
Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn )
خویشتن را در محبت خدا محفوظ دارید ومنتظر رحمت خداوند ما عیسی مسیح برای حیات جاودانی بوده باشید. (aiōnios ) |
Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios )
یعنی خدای واحد و نجاتدهنده ما را جلال و عظمت و توانایی و قدرت باد الان و تا ابدالاباد. آمین. (aiōn ) |
kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn )
و ما را نزد خدا وپدر خود پادشاهان و کهنه ساخت، او را جلال وتوانایی باد تا ابدالاباد. آمین. (aiōn ) |
akatufanya sisi kuwa ufalme na makuhani, tumtumikie Mungu wake ambaye ni Baba yake. Utukufu na uwezo ni vyake milele na milele! Amen. (aiōn )
ومرده شدم و اینک تا ابدالاباد زنده هستم وکلیدهای موت و عالم اموات نزد من است. (aiōn , Hadēs ) |
Mimi ni Yeye Aliye Hai, niliyekuwa nimekufa, na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn , Hadēs )
و چون آن حیوانات جلال وتکریم و سپاس به آن تختنشینی که تا ابدالابادزنده است میخوانند، (aiōn ) |
Kila mara viumbe hao wanne wenye uhai wanapomtukuza, kumheshimu na kumshukuru yeye aketiye kwenye kile kiti cha enzi, tena aishiye milele na milele, (aiōn )
آنگاه آن بیست و چهار پیر میافتند در حضور آن تختنشین و او را که تاابدالاباد زنده است عبادت میکنند و تاجهای خود را پیش تخت انداخته، میگویند: (aiōn ) |
wale wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake aketiye kwenye kiti cha enzi na kumwabudu yeye aliye hai milele na milele. Huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi, wakisema: (aiōn )
و هر مخلوقی که در آسمان و بر زمین وزیرزمین و در دریاست و آنچه در آنها میباشد، شنیدم که میگویند: «تختنشین و بره را برکت وتکریم و جلال و توانایی باد تا ابدالاباد.» (aiōn ) |
Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn )
و دیدم که اینک اسبی زرد و کسی بر آن سوار شده که اسم اوموت است و عالم اموات از عقب او میآید؛ و به آن دو اختیار بر یک ربع زمین داده شد تا به شمشیر و قحط و موت و با وحوش زمین بکشند. (Hadēs ) |
Nikatazama, na hapo mbele yangu alikuwepo farasi mwenye rangi ya kijivujivu! Yeye aliyempanda aliitwa Mauti, naye Kuzimu alikuwa akimfuata nyuma yake kwa karibu. Wakapewa mamlaka juu ya robo ya dunia, kuua kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs )
و گفتند: «آمین! برکت و جلال وحکمت و سپاس و اکرام و قوت و توانایی، خدای ما را باد تا ابدالاباد. آمین.» (aiōn ) |
wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn )
و چون فرشته پنجم نواخت، ستارهای رادیدم که بر زمین افتاده بود و کلید چاه هاویه بدو داده شد. (Abyssos ) |
Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos )
و چاه هاویه را گشاد ودودی چون دود تنوری عظیم از چاه بالا آمد وآفتاب و هوا از دود چاه تاریک گشت. (Abyssos ) |
Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos )
و بر خود، پادشاهی داشتند که ملک الهاویه است که در عبرانی به ابدون مسمی است و در یونانی او را اپلیون خوانند. (Abyssos ) |
Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos )
قسم خورد به او که تا ابدالاباد زنده است که آسمان و آنچه را که در آن است و زمین و آنچه را که در آن است و دریا و آنچه را که در آن است آفرید که «بعد از این زمانی نخواهد بود، (aiōn ) |
Naye akaapa kwa Yule aishiye milele na milele, aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote viijazavyo, pamoja na bahari na vyote vilivyomo ndani yake, akasema, “Hakuna kungoja tena! (aiōn )
و چون شهادت خود را به اتمام رسانند، آن وحش که از هاویه برمی آید، با ایشان جنگ کرده، غلبه خواهد یافت و ایشان را خواهد کشت (Abyssos ) |
Basi watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika lile Shimo atapigana nao vita, atawashinda na kuwaua. (Abyssos )
و فرشتهای بنواخت که ناگاه صداهای بلنددر آسمان واقع شد که میگفتند: «سلطنت جهان از آن خداوند ما و مسیح او شد و تا ابدالابادحکمرانی خواهد کرد.» (aiōn ) |
Yule malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake, pakawa na sauti kubwa mbinguni iliyosema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala milele na milele.” (aiōn )
و فرشتهای دیگر را دیدم که در وسط آسمان پرواز میکند و انجیل جاودانی را دارد تا ساکنان زمین را از هر امت و قبیله و زبان و قوم بشارت دهد، (aiōnios ) |
Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios )
ودود عذاب ایشان تا ابدالاباد بالا میرود. پس آنانی که وحش و صورت او را پرستش میکنند وهرکه نشان اسم او را پذیرد، شبانهروز آرامی ندارند.» (aiōn ) |
Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn )
ویکی از آن چهار حیوان، به آن هفت فرشته، هفت پیاله زرین داد، پر از غضب خدا که تا ابدالاباد زنده است. (aiōn ) |
Ndipo mmoja wa wale viumbe wanne wenye uhai akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, yeye aishiye milele na milele. (aiōn )
آن وحش که دیدی، بود و نیست و از هاویه خواهدبرآمد و به هلاکت خواهد رفت؛ و ساکنان زمین، جز آنانی که نامهای ایشان از بنای عالم در دفترحیات مرقوم است، در حیرت خواهند افتاد ازدیدن آن وحش که بود و نیست و ظاهر خواهدشد. (Abyssos ) |
Huyo mnyama ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizo yake. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo wakati fulani, na sasa hayupo, lakini atakuwepo. (Abyssos )
و بار دیگر گفتند: «هللویاه، و دودش تاابدالاباد بالا میرود!» (aiōn ) |
Wakasema tena kwa nguvu: “Haleluya! Moshi wake huyo kahaba unapanda juu milele na milele.” (aiōn )
و وحش گرفتار شد و نبی کاذب با وی که پیش او معجزات ظاهر میکرد تا به آنها آنانی را که نشان وحش رادارند و صورت او را میپرستند، گمراه کند. این هر دو، زنده به دریاچه آتش افروخته شده به کبریت انداخته شدند. (Limnē Pyr ) |
Lakini yule mnyama akakamatwa pamoja na huyo nabii wa uongo ambaye alikuwa amefanya ishara kwa niaba ya huyo mnyama, ambaye kwa ishara hizi aliwadanganya wale waliopokea chapa ya huyo mnyama na kuiabudu sanamu yake. Hawa wawili wakatupwa wakiwa hai ndani ya ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr )
و دیدم فرشتهای را که از آسمان نازل می شود و کلید هاویه را دارد و زنجیری بزرگ بر دست وی است. (Abyssos ) |
Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
و او را به هاویه انداخت و در را بر او بسته، مهر کرد تا امتها رادیگر گمراه نکند تا مدت هزار سال به انجام رسد؛ و بعد از آن میباید اندکی خلاصی یابد. (Abyssos ) |
Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi. (Abyssos )
و ابلیس که ایشان را گمراه میکند، به دریاچه آتش و کبریت انداخته شد، جایی که وحش و نبی کاذب هستند؛ و ایشان تا ابدالابادشبانهروز عذاب خواهند کشید. (aiōn , Limnē Pyr ) |
Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
و دریا مردگانی را که در آن بودند باز داد؛ و موت و عالم اموات مردگانی را که در آنها بودندباز دادند؛ و هر یکی بحسب اعمالش حکم یافت. (Hadēs ) |
Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. (Hadēs )
و موت و عالم اموات به دریاچه آتش انداخته شد. این است موت ثانی، یعنی دریاچه آتش. (Hadēs , Limnē Pyr ) |
Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
و هرکه در دفتر حیات مکتوب یافت نشد، به دریاچه آتش افکنده گردید. (Limnē Pyr ) |
Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. (Limnē Pyr )
لکن ترسندگان و بی ایمانان و خبیثان و قاتلان و زانیان و جادوگران و بتپرستان و جمیع دروغگویان، نصیب ایشان در دریاچه افروخته شده به آتش و کبریت خواهدبود. این است موت ثانی.» (Limnē Pyr ) |
Lakini waoga, wasioamini, wachafu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, pamoja na waongo wote, mahali pao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr )
ودیگر شب نخواهد بود و احتیاج به چراغ و نورآفتاب ندارند، زیرا خداوند خدا بر ایشان روشنایی میبخشد و تا ابدالاباد سلطنت خواهندکرد. (aiōn ) |
Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn )
اینها چشمه های بیآب و مه های رانده شده به باد شدید هستند که برای ایشان ظلمت تاریکی جاودانی، مقرر است. () |