< دوم پطرس 2 >

لکن در میان قوم، انبیای کذبه نیز بودند، چنانکه در میان شما هم معلمان کذبه خواهند بود که بدعتهای مهلک را خفیه خواهندآورد و آن آقایی را که ایشان را خرید انکارخواهند نمود و هلاکت سریع را بر خود خواهندکشید؛ ۱ 1
Lakini pia waliinuka manabii wa uongo miongoni mwa watu, kama vile watakavyokuwako walimu wa uongo miongoni mwenu. Wataingiza mafundisho yasiyopatana na kweli kwa siri, hata kumkana Bwana wa pekee aliyewanunua, na hivyo kujiletea wenyewe maangamizi ya haraka.
و بسیاری فجور ایشان را متابعت خواهند نمود که به‌سبب ایشان طریق حق، موردملامت خواهد شد. ۲ 2
Hata hivyo, wengi watafuata njia zao za ufisadi, na kwa ajili yao njia ya kweli itatukanwa.
و از راه طمع به سخنان جعلی شما را خرید و فروش خواهند کرد که عقوبت ایشان از مدت مدید تاخیر نمی کند وهلاکت ایشان خوابیده نیست. ۳ 3
Nao katika tamaa zao mbaya, walimu hawa watajipatia faida kwenu kwa hadithi walizotunga wenyewe. Lakini hukumu imekwisha kutangazwa dhidi yao tangu zamani, wala uangamivu wao haujalala usingizi.
زیرا هرگاه خدا بر فرشتگانی که گناه کردند، شفقت ننمود بلکه ایشان را به جهنم انداخته، به زنجیرهای ظلمت سپرد تا برای داوری نگاه داشته شوند؛ (Tartaroō g5020) ۴ 4
Kwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu; (Tartaroō g5020)
و بر عالم قدیم شفقت نفرمود بلکه نوح، واعظ عدالت را با هفت نفر دیگر محفوظداشته، طوفان را بر عالم بی‌دینان آورد؛ ۵ 5
kama hakuusamehe ulimwengu wa kale alipoleta gharika juu ya watu wale wasiomcha Mungu, bali akamhifadhi Noa, mhubiri wa haki, pamoja na watu wengine saba;
وشهرهای سدوم و عموره را خاکستر نموده، حکم به واژگون شدن آنها فرمود و آنها را برای آنانی که بعد از این بی‌دینی خواهند کرد، عبرتی ساخت؛ ۶ 6
kama aliihukumu miji ya Sodoma na Gomora kwa kuiteketeza kwa moto ikawa majivu, na kuifanya kuwa kielelezo kwa yale yatakayowapata wale wasiomcha Mungu;
و لوط عادل را که از رفتار فاجرانه بی‌دینان رنجیده بود رهانید. ۷ 7
na kama alimwokoa Loti, mtu mwenye haki, ambaye alihuzunishwa na maisha machafu ya watu wapotovu
زیرا که آن مرد عادل درمیانشان ساکن بوده، از آنچه می‌دید و می‌شنید، دل صالح خود را به‌کارهای قبیح ایشان هرروزه رنجیده می‌داشت. ۸ 8
(kwa sababu yale matendo mapotovu aliyoyaona na kuyasikia huyo mtu mwenye haki alipoishi miongoni mwao yalimhuzunisha siku baada ya siku):
پس خداوند می‌داند که عادلان را از تجربه رهایی دهد و ظالمان را تا به روز جزا در عذاب نگاه دارد. ۹ 9
ikiwa hivyo ndivyo, basi Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa wamchao Mungu kutoka majaribu, na kuwaweka waasi katika adhabu hadi siku ya hukumu.
خصوص آنانی که در شهوات نجاست در‌پی جسم می‌روند وخداوندی را حقیر می‌دانند. ۱۰ 10
Hii ni hakika hasa kwa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kudharau mamlaka. Kwa ushupavu na kwa kiburi, watu hawa hawaogopi kunena mabaya dhidi ya viumbe vya mbinguni.
و حال آنکه فرشتگانی که در قدرت و قوت افضل هستند، پیش خداوند برایشان حکم افترا نمی زنند. ۱۱ 11
Lakini hata malaika, ingawa wana nguvu na uwezo zaidi, hawaleti mashtaka mabaya dhidi ya viumbe kama hao mbele za Bwana.
لکن اینها چون حیوانات غیرناطق که برای صید و هلاکت طبع متولد شده‌اند، ملامت می‌کنند بر آنچه نمی دانندو در فساد خود هلاک خواهند شد. ۱۲ 12
Lakini watu hawa hukufuru katika mambo wasiyoyafahamu. Wao ni kama wanyama wasio na akili, viumbe wanaotawaliwa na hisia za mwili, waliozaliwa ili wakamatwe na kuchinjwa. Hawa nao kama wanyama wataangamizwa pia.
و مزدناراستی خود را خواهند یافت که عیش و عشرت یک روزه را سرور خود می‌دانند. لکه‌ها و عیبهاهستند که در ضیافت های محبتانه خود عیش وعشرت می‌نمایند وقتی که با شما شادی می‌کنند. ۱۳ 13
Watalipwa madhara kwa ajili ya madhara waliyowatendea wengine. Huhesabu kuwa ni fahari kufanya karamu za ulevi na ulafi mchana peupe. Wao ni mawaa na dosari, wakijifurahisha katika anasa zao wanaposhiriki katika karamu zenu.
چشمهای پر از زنا دارند که از گناه بازداشته نمی شود، و کسان ناپایدار را به دام می‌کشند؛ ابنای لعنت که قلب خود را برای طمع ریاضت داده‌اند، ۱۴ 14
Wakiwa na macho yaliyojaa uzinzi, kamwe hawaachi kutenda dhambi. Huwashawishi wale wasio imara. Wao ni hodari kwa kutamani; ni wana wa laana!
و راه مستقیم را ترک کرده، گمراه شدند و طریق بلعام بن بصور را که مزد ناراستی رادوست می‌داشت، متابعت کردند. ۱۵ 15
Wameiacha njia iliyonyooka, wakapotoka na kuifuata njia ya Balaamu mwana wa Beori aliyependa mshahara wa uovu.
لکن او ازتقصیر خود توبیخ یافت که حمار گنگ به زبان انسان متنطق شده، دیوانگی نبی را توبیخ نمود. ۱۶ 16
Lakini kwa ajili ya uovu wake, alikemewa na punda, mnyama asiyejua kusema, akaongea akitumia sauti ya mwanadamu na kuzuia wazimu wa huyo nabii.
اینها چشمه های بی‌آب و مه های رانده شده به باد شدید هستند که برای ایشان ظلمت تاریکی جاودانی، مقرر است. (questioned) ۱۷ 17
Watu hawa ni chemchemi zisizo na maji, na ukungu upeperushwao na tufani. Giza nene limewekwa tayari kwa ajili yao.
زیرا که سخنان تکبرآمیز و باطل می‌گویند و آنانی را که از اهل ضلالت تازه رستگار شده‌اند، در دام شهوات به فجور جسمی می‌کشند، ۱۸ 18
Kwa maana wao hunena maneno makuu mno ya kiburi cha bure, na kwa kuvutia tamaa mbaya za asili ya mwili, huwashawishi watu ambao ndipo tu wamejiondoa miongoni mwa wale wanaoishi katika ufisadi.
و ایشان را به آزادی وعده می‌دهند و حال آنکه خود غلام فسادهستند، زیرا هرچیزی که بر کسی غلبه یافته باشد، او نیز غلام آن است. ۱۹ 19
Huwaahidi uhuru hao waliowanasa, wakati wao wenyewe ni watumwa wa ufisadi: kwa maana mtu ni mtumwa wa kitu chochote kinachomtawala.
زیرا هرگاه به معرفت خداوند و نجات‌دهنده ما عیسی مسیح ازآلایش دنیوی رستند و بعد از آن، بار دیگر گرفتارو مغلوب آن گشتند، اواخر ایشان از اوایل بدترمی شود. ۲۰ 20
Kama wameukimbia upotovu wa dunia kwa kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo, kisha wakanaswa tena humo na kushindwa, hali yao ya mwisho ni mbaya zaidi kuliko ile ya kwanza.
زیرا که برای ایشان بهتر می‌بود که راه عدالت را ندانسته باشند از اینکه بعد از دانستن باردیگر از آن حکم مقدس که بدیشان سپرده شده بود، برگردند. ۲۱ 21
Ingelikuwa afadhali kwao kama wasingeliijua kamwe njia ya haki, kuliko kuijua kisha wakaiacha ile amri takatifu waliyokabidhiwa.
لکن معنی مثل حقیقی بر ایشان راست آمد که «سگ به قی خود رجوع کرده است و خنزیر شسته شده، به غلطیدن در گل.» ۲۲ 22
Imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli isemayo: “Mbwa huyarudia matapiko yake mwenyewe,” tena, “Nguruwe aliyeoshwa hurudi kugaagaa matopeni.”

< دوم پطرس 2 >