< اول پطرس 1 >

به غریبانی که پراکنده‌اند در پنطس وغلاطیه و قپدوقیه و آسیا و بطانیه؛ ۱ 1
Petro, mtume wa Yesu Kristo: Kwa wateule wa Mungu, wageni katika ulimwengu, waliotawanyika kote katika Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia.
برگزیدگان برحسب علم سابق خدای پدر، به تقدیس روح برای اطاعت و پاشیدن خون عیسی مسیح. فیض و سلامتی بر شما افزون باد. ۲ 2
Ni ninyi ambao mlichaguliwa tangu mwanzo na Mungu Baba kulingana na alivyotangulia kuwajua, kupitia kwa kazi ya utakaso wa Roho, katika utiifu kwa Yesu Kristo na kunyunyiziwa damu yake: Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi.
متبارک باد خدا و پدر خداوند ما عیسی مسیح که بحسب رحمت عظیم خود ما رابوساطت برخاستن عیسی مسیح از مردگان از نوتولید نمود برای امید زنده، ۳ 3
Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa rehema zake kuu ametuzaa sisi mara ya pili katika tumaini lenye uzima kupitia kwa kufufuka kwa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,
بجهت میراث بی‌فساد و بی‌آلایش و ناپژمرده که نگاه داشته شده است در آسمان برای شما؛ ۴ 4
ili tuupate urithi usioharibika, usio na uchafu, ule usionyauka: uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu,
که به قوت خدامحروس هستید به ایمان برای نجاتی که مهیاشده است تا در ایام آخر ظاهر شود. ۵ 5
ninyi ambao mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani, hadi uje ule wokovu ulio tayari kufunuliwa nyakati za mwisho.
و در آن وجد می‌نمایید، هرچند در حال، اندکی از راه ضرورت در تجربه های گوناگون محزون شده‌اید، ۶ 6
Katika hili mnafurahi sana, ingawa sasa kwa kitambo kidogo mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna nyingi.
تا آزمایش ایمان شما که از طلای فانی باآزموده شدن در آتش، گرانبهاتر است، برای تسبیح و جلال و اکرام یافت شود در حین ظهورعیسی مسیح. ۷ 7
Haya yamewajia ili kwamba imani yenu, iliyo ya thamani kuliko dhahabu ipoteayo, ingawa hujaribiwa kwa moto, ionekane kuwa halisi na imalizie katika sifa, utukufu na heshima wakati Yesu Kristo atadhihirishwa.
که او را اگرچه ندیده‌اید محبت می‌نمایید و الان اگرچه او را نمی بینید، لکن بر اوایمان آورده، وجد می‌نمایید با خرمی‌ای که نمی توان بیان کرد و پر از جلال است. ۸ 8
Ingawa hamjamwona, mnampenda; tena ingawa sasa hammwoni, mnamwamini na kujawa na furaha isiyoneneka yenye utukufu usioelezeka.
و انجام ایمان خود یعنی نجات جان خویش را می‌یابید. ۹ 9
Maana mnaupokea wokovu wa roho zenu, ambao ndio lengo la imani yenu.
که درباره این نجات، انبیایی که از فیضی که برای شما مقرر بود، اخبار نمودند، تفتیش وتفحص می‌کردند ۱۰ 10
Kwa habari ya wokovu huu, wale manabii waliosema kuhusu neema ambayo ingewajia ninyi, walitafuta kwa bidii na kwa uangalifu mkubwa,
و دریافت می‌نمودند که کدام و چگونه زمان است که روح مسیح که درایشان بود از آن خبر می‌داد، چون از زحماتی که برای مسیح مقرر بود و جلالهایی که بعد از آنهاخواهد بود، شهادت می‌داد؛ ۱۱ 11
wakijaribu kujua ni wakati upi na katika mazingira gani ambayo Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao alionyesha, alipotabiri kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ule ambao ungefuata.
و بدیشان مکشوف شد که نه به خود بلکه به ما خدمت می‌کردند، در آن اموری که شما اکنون از آنها خبریافته‌اید از کسانی که به روح‌القدس که از آسمان فرستاده شده است، بشارت داده‌اند و فرشتگان نیز مشتاق هستند که در آنها نظر کنند. ۱۲ 12
Walidhihirishiwa kwamba walikuwa hawajihudumii wao wenyewe, bali waliwahudumia ninyi, waliponena kuhusu mambo hayo, ambayo sasa yamehubiriwa kwenu na wale waliowahubiria ninyi Injili kwa Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni. Hata malaika wanatamani kuyafahamu mambo haya.
لهذا کمر دلهای خود را ببندید و هشیارشده، امید کامل آن فیضی را که در مکاشفه عیسی مسیح به شما عطا خواهد شد، بدارید. ۱۳ 13
Kwa hiyo, tayarisheni nia zenu kwa kazi; mwe na kiasi, mkitumainia kikamilifu ile neema mtakayopewa Yesu Kristo atakapodhihirishwa.
و چون ابنای اطاعت هستید، مشابه مشوید بدان شهواتی که در ایام جهالت می‌داشتید. ۱۴ 14
Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.
بلکه مثل آن قدوس که شما را خوانده است، خود شما نیز درهر سیرت، مقدس باشید. ۱۵ 15
Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi kuweni watakatifu katika mwenendo wenu wote.
زیرا مکتوب است: «مقدس باشید زیرا که من قدوسم.» ۱۶ 16
Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”
و چون او را پدر می‌خوانید که بدون ظاهربینی برحسب اعمال هرکس داوری می‌نماید، پس هنگام غربت خود را با ترس صرف نمایید. ۱۷ 17
Kwa sababu mnamwita Baba ahukumuye kila mtu kulingana na matendo yake pasipo upendeleo, enendeni kwa hofu ya kumcha Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama wageni.
زیرا می‌دانید که خریده شده‌اید از سیرت باطلی که از پدران خود یافته‌اید نه به چیزهای فانی مثل نقره و طلا، ۱۸ 18
Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa kutoka mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi kutoka kwa baba zenu, si kwa vitu viharibikavyo kama fedha na dhahabu,
بلکه به خون گرانبها چون خون بره بی‌عیب و بی‌داغ یعنی خون مسیح، ۱۹ 19
bali kwa damu ya thamani ya Kristo, yule Mwana-Kondoo asiye na dosari wala doa.
که پیش از بنیاد عالم معین شد، لکن درزمان آخر برای شما ظاهر گردید، ۲۰ 20
Yeye alichaguliwa kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, lakini akadhihirishwa katika siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
که بوساطت او شما بر آن خدایی که او را از مردگان برخیزانیدو او را جلال داد، ایمان آورده‌اید تا ایمان و امیدشما بر خدا باشد. ۲۱ 21
Kupitia kwake mmemwamini Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu na akampa utukufu, ili imani yenu na tumaini lenu ziwe kwa Mungu.
چون نفسهای خود را به اطاعت راستی طاهر ساخته‌اید تا محبت برادرانه بی‌ریا داشته باشید، پس یکدیگر را از دل بشدت محبت بنمایید. ۲۲ 22
Basi kwa kuwa mmejitakasa nafsi zenu kwa kuitii ile kweli hata mkawa na upendo wa ndugu usio na unafiki, basi pendaneni kwa dhati kutoka moyoni.
از آنرو که تولد تازه یافتید نه از تخم فانی بلکه از غیرفانی یعنی به کلام خدا که زنده وتا ابدالاباد باقی است. (aiōn g165) ۲۳ 23
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn g165)
زیرا که «هر بشری مانندگیاه است و تمام جلال او چون گل گیاه. گیاه پژمرده شد و گلش ریخت. ۲۴ 24
Maana, “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni; majani hunyauka na maua huanguka,
لکن کلمه خدا تاابدالاباد باقی است.» و این است آن کلامی که به شما بشارت داده شده است. (aiōn g165) ۲۵ 25
lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn g165)

< اول پطرس 1 >