< تیطس 1 >

پولس، غلام خدا و رسول عیسی مسیح برحسب ایمان برگزیدگان خدا و معرفت آن راستی که در دینداری است، ۱ 1
Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo kwa ajili ya imani ya wateule wa Mungu na kuijua kweli iletayo utauwa:
به امید حیات جاودانی که خدایی که دروغ نمی تواند گفت، اززمانهای ازلی وعده آن را داد، (aiōnios g166) ۲ 2
imani na ujuzi ulioko katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyesema uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, (aiōnios g166)
اما در زمان معین، کلام خود را ظاهر کرد به موعظه‌ای که برحسب حکم نجات‌دهنده ما خدا به من سپرده شد، ۳ 3
naye kwa wakati wake aliouweka alilidhihirisha neno lake kwa njia ya mahubiri ambayo mimi nimewekewa amana kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu:
تیطس را که فرزند حقیقی من برحسب ایمان عام است، فیض و رحمت و سلامتی از جانب خدای پدرو نجات‌دهنده ما عیسی مسیح خداوند باد. ۴ 4
Kwa Tito, mwanangu hasa katika imani tunayoshiriki sote: Neema iwe kwako na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Mwokozi wetu.
بدین جهت تو را در کریت واگذاشتم تا آنچه را که باقی‌مانده است اصلاح نمایی و چنانکه من به تو امر نمودم، کشیشان در هر شهر مقرر کنی. ۵ 5
Sababu ya mimi kukuacha huko Krete ni ili uweke utaratibu mambo yale yaliyosalia na kuwaweka wazee wa kanisa katika kila mji, kama nilivyokuagiza.
اگر کسی بی‌ملامت و شوهر یک زن باشد که فرزندان مومن دارد، بری از تهمت فجور و تمرد، ۶ 6
Mzee wa kanisa asiwe na lawama, awe mume wa mke mmoja, mtu ambaye watoto wake ni waaminio na wala hawashtakiwi kwa ufisadi.
زیرا که اسقف می‌باید چون وکیل خدابی ملامت باشد و خودرای یا تندمزاج یا میگساریا زننده یا طماع سود قبیح نباشد، ۷ 7
Kwa kuwa mwangalizi, kama wakili wa Mungu, imempasa kuwa mtu asiye na lawama, asiwe mwenye majivuno au mwepesi wa hasira, wala mlevi, wala asiwe mtu mwenye tamaa ya mapato yasiyo ya halali.
بلکه مهمان دوست و خیردوست و خرداندیش و عادل ومقدس و پرهیزکار؛ ۸ 8
Bali awe mkarimu, anayependa mema, mwenye kiasi, mwenye haki, mwadilifu, mnyofu, mtakatifu na mwenye kuitawala nafsi yake.
و متمسک به کلام امین برحسب تعلیمی که یافته تا بتواند به تعلیم صحیح نصیحت کند و مخالفان را توبیخ نماید. ۹ 9
Inampasa alishike kwa uthabiti lile neno la imani kama lilivyofundishwa, kusudi aweze kuwaonya wengine kwa mafundisho manyofu na kuwakanusha wale wanaopingana nayo.
زیرا که یاوه‌گویان و فریبندگان، بسیار ومتمرد می‌باشند، علی الخصوص آنانی که از اهل ختنه هستند؛ ۱۰ 10
Kwa maana wako wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo na maana, hasa wale wa kikundi cha tohara.
که دهان ایشان را باید بست زیراخانه‌ها را بالکل واژگون می‌سازند و برای سودقبیح، تعالیم ناشایسته می‌دهند. ۱۱ 11
Hao ni lazima wanyamazishwe, kwa sababu wanaharibu watu wa nyumba nzima wakifundisha mambo yasiyowapasa kufundisha. Wanafanya hivyo kwa ajili ya kujipatia mapato ya udanganyifu.
یکی از ایشان که نبی خاص ایشان است، گفته است که «اهل کریت همیشه دروغگو و وحوش شریر وشکم پرست بی‌کاره می‌باشند.» ۱۲ 12
Hata mmojawapo wa manabii wao mwenyewe amesema, “Wakrete ni waongo siku zote, wanyama wabaya, walafi, wavivu.”
این شهادت راست است؛ از این جهت ایشان را به سختی توبیخ فرما تا در ایمان، صحیح باشند، ۱۳ 13
Ushuhuda huu ni kweli. Kwa hiyo, uwakemee kwa ukali wapate kuwa wazima katika imani,
و گوش نگیرند به افسانه های یهود و احکام مردمانی که ازراستی انحراف می‌جویند. ۱۴ 14
ili wasiendelee kuangalia hadithi za Kiyahudi au maagizo ya wale watu wanaoikataa kweli.
هرچیز برای پاکان پاک است، لیکن آلودگان و بی‌ایمانان را هیچ‌چیزپاک نیست، بلکه فهم و ضمیر ایشان نیز ملوث است؛ ۱۵ 15
Kwa wale walio safi, kila kitu ni safi kwao. Lakini kwa wale waliopotoka na wasioamini, hakuna chochote kilicho safi. Kwa kweli nia zao na dhamiri zao zimepotoka.
مدعی معرفت خدا می‌باشند، اما به افعال خود او را انکار می‌کنند، چونکه مکروه ومتمرد هستند و بجهت هر عمل نیکو مردود. ۱۶ 16
Wanadai kumjua Mungu, lakini kwa matendo yao wanamkana. Hao watu ni chukizo, wasiotii, wasiofaa kwa jambo lolote jema.

< تیطس 1 >