< 2 Wakorintho 13 >

1 Hii ni mara ya tatu kwamba nakuja kwenu. “Kila shitaka lazima lijengwe na uthibitisho wa mashahidi wawili au watatu.”
C'est la troisième fois que je viens vers vous. « Toute parole sera établie par la bouche de deux ou trois témoins. »
2 Nimekwishashasema kwa hao waliotenda dhambi kabla na kwa wengine wote wakati nilipokuwa huko mara ya pili, na ninasema tena: Nitakapokuja tena, sitawavumilia.
J'ai averti précédemment, et j'avertis de nouveau, comme lorsque j'étais présent la seconde fois, ainsi maintenant, étant absent, j'écris à ceux qui ont péché auparavant et à tous les autres que, si je reviens, je ne les épargnerai pas,
3 Nawaambia ninyi hili kwa sababu mnatafuta ushahidi kwamba Kristo ananena kupitia mimi. Yeye sio dhaifu kwenu, badala yake, yeye ni mwenye nguvu ndani yenu.
puisque vous cherchez une preuve du Christ qui parle en moi, qui n'est pas faible, mais qui est puissant en vous.
4 Kwa kuwa alisulibiwa katika udhaifu, lakini yu hai kwa nguvu za Mungu. Kwa kuwa sisi pia tu dhaifu ndani yake, lakini tutaishi naye kwa nguvu za Mungu miongoni mwenu.
En effet, il a été crucifié par la faiblesse, mais il vit par la puissance de Dieu. Car nous aussi, nous sommes faibles en lui, mais nous vivrons avec lui par la puissance de Dieu envers vous.
5 Jichunguzeni wenyewe muone kama mko katika imani. Jipimeni wenyewe. Hamgundui kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Yeye yumo, vinginevyo kama hamjathibitishwa.
Examinez-vous vous-mêmes, pour savoir si vous êtes dans la foi. Examinez votre propre personne. Ou bien ne savez-vous pas, en ce qui concerne votre propre personne, que Jésus-Christ est en vous? à moins que vous ne soyez disqualifiés.
6 Na nina ujasiri kwamba ninyi mtagundua kwamba sisi hatukukataliwa.
Mais j'espère que vous saurez que nous ne sommes pas disqualifiés.
7 Sasa tunaomba kwa Mungu kwamba msiweze kufanya chochote kibaya. Siombi kwamba sisi tuweze kuonekana tumepita jaribu, badala yake ninaomba kwamba muweze kufanya kilicho sahihi, Ingawa tunaweza kuonekana tumeshindwa jaribu.
Or, je prie Dieu que vous ne fassiez pas le mal; non pas que nous paraissions approuvés, mais que vous fassiez ce qui est honorable, bien que nous paraissions avoir échoué.
8 Kwa kuwa sisi hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, lakini ni kwa ajili ya kweli tu.
Car nous ne pouvons rien faire contre la vérité, mais pour la vérité.
9 Kwa kuwa tunafurahi wakati tunapokuwa dhaifu nanyi mkiwa na nguvu. Tunaomba pia kwamba muweze kufanywa wakamilifu.
Car nous nous réjouissons quand nous sommes faibles et que vous êtes forts. Nous prions aussi pour cela: que vous deveniez parfaits.
10 Nayaandika mambo haya wakati nikiwa mbali nanyi, ili kwamba wakati nikiwa pamoja nanyi sihitaji kuwaonesha ukali ninyi. Sihitaji kutumia mamlaka Bwana aliyonipaa mimi niwajenge na siyo kuwaharibu chini.
C'est pourquoi j'écris ces choses en mon absence, afin de ne pas être trop sévère en ma présence, selon l'autorité que le Seigneur m'a donnée pour édifier et non pour démolir.
11 Hatimaye, ndugu wa kiume na wa kike, furahini! fanyeni kazi kwa ajili ya urejesho, mtiwe moyo, kubalianeni ninyi kwa ninyi, muishi katika amani. Na Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
Enfin, frères, réjouissez-vous! Soyez parfaits. Soyez réconfortés. Ayez le même esprit. Vivez en paix, et le Dieu d'amour et de paix sera avec vous.
12 Salimianeni kila mmoja kwa busu takatifu.
Saluez-vous les uns les autres par un saint baiser.
13 Waumini wote wanawasalimu.
Tous les saints vous saluent.
14 Neema ya Bwana Yesu Kristo, upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu uwe pamoja nanyi nyote.
Que la grâce du Seigneur Jésus-Christ, l'amour de Dieu et la communion du Saint-Esprit soient avec vous tous. Amen.

< 2 Wakorintho 13 >