< 2 Wakorintho 12 >

1 Ni lazima nijivune, lakini hakuna kinachoongezwa na hilo. Bali nitaendelea kwenye maono na mafunuo kutoka kwa Bwana.
Il ne m'est sans doute pas utile de me vanter, mais j'aurai des visions et des révélations du Seigneur.
2 Namjua mtu mmoja katika Kristo ambaye miaka kumi na minne iliyopita ambaye—ikiwa katika mwili, au nje ya mwili, mimi sijui, Mungu anajua—alinyakuliwa juu katika mbingu ya tatu.
Je connais un homme en Christ qui a été enlevé au troisième ciel il y a quatorze ans - que ce soit dans le corps, je ne sais pas, ou que ce soit hors du corps, je ne sais pas; Dieu le sait.
3 Na ninajua kwamba mtu huyu—ikiwa katika mwili, au nje ya mwili, mimi sijui, Mungu anajua—
Je connais un tel homme (qu'il soit dans le corps, ou hors du corps, je ne sais pas; Dieu le sait),
4 alichukuliwa juu hadi paradiso na kusikia mambo matakatifu sana kwa mtu yeyote kuyasema.
qui a été enlevé dans le paradis et a entendu des paroles inexprimables, qu'il n'est pas permis à un homme de prononcer.
5 Kwa niaba ya mtu kama huyo nitajivuna. lakini kwa niaba yangu mwenyewe sitajivuna. Isipokuwa kuhusu udhaifu wangu.
Je me glorifierai en faveur d'un tel homme, mais je ne me glorifierai pas en mon nom, si ce n'est dans mes faiblesses.
6 Kama nikitaka kujivuna, nisingekuwa mpumbavu, kwa kuwa ningekuwa ninazungumza ukweli. Lakini nitaacha kujivuna, ili kwamba asiwepo yeyote atakayenifikiria zaidi ya hayo kuliko kinachoonekana ndani yangu au kusikika kutoka kwangu.
Car si je voulais me vanter, je ne serais pas stupide, car je dirais la vérité. Mais je m'abstiens, afin que personne ne pense de moi autre chose que ce qu'il voit en moi ou entend de moi.
7 Sitajivuna pia kwa sababu ya hayo mafunuo ya aina ya ajabu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi, mwiba uliwekwa ndani ya mwili wangu, mjumbe wa shetani kunishambulia mimi, ili nisigeuke kuwa mwenye majivuno.
A cause de l'immensité des révélations, afin que je ne sois pas exalté outre mesure, une épine dans la chair m'a été donnée: un messager de Satan pour me tourmenter, afin que je ne sois pas exalté outre mesure.
8 Mara tatu nilimsihi Bwana kuhusu hili, ili yeye kuundoa kutoka kwangu.
A propos de cette chose, j'ai supplié trois fois le Seigneur qu'elle s'éloigne de moi.
9 Naye akaniambia, “Neema yangu inatosha kwa ajili yako, kwa kuwa nguvu hufanywa kamili katika udhaifu. Hivyo, ningetamani zaidi kujivuna zaidi kuhusu udhaifu wangu, ili kwamba uwezo wa Kristo uweze kukaa juu yangu.
Il m'a dit: « Ma grâce te suffit, car ma puissance s'accomplit dans la faiblesse. » J'aime donc mieux me glorifier de mes faiblesses, afin que la puissance de Christ repose sur moi.
10 Kwa hiyo ninatosheka kwa ajili ya Kristo, katika udhaifu, katika matukano, katika shida, katika mateso, katika hali ya masikitiko. Kwa kuwa wakati nikiwa dhaifu, kisha nina nguvu.
C'est pourquoi je prends plaisir aux faiblesses, aux blessures, aux nécessités, aux persécutions et aux détresses, à cause de Christ. Car c'est quand je suis faible que je suis fort.
11 Mimi nimekuwa mpumbavu! ninyi mlinilazimisha kwa hili, kwa kuwa ningekuwa nimesifiwa na ninyi. Kwa kuwa sikuwa duni kabisa kwa hao waitwao mitume—bora, hata kama mimi si kitu.
Je suis devenu fou en me vantant. Vous m'avez contraint, car c'est vous qui auriez dû me recommander, car je ne suis en rien inférieur aux meilleurs apôtres, bien que je ne sois rien.
12 Ishara za kweli za mtume zilifanyika katikati yenu kwa uvumilivu, ishara na maajabu na matendo makuu.
En effet, les signes d'un apôtre ont été opérés parmi vous avec persévérance, par des signes, des prodiges et des miracles.
13 Kwa namna gani mlikuwa wa muhimu wa chini kuliko makanisa yaliyobaki, isipokuwa kwamba sikuwa mzigo kwenu? Mnisamehe kwa kosa hili!
En quoi, en effet, avez-vous été rendus inférieurs au reste des assemblées, si ce n'est que je n'ai pas été moi-même un poids pour vous? Pardonnez-moi cette faute!
14 Tazama! mimi niko tayari kuja kwenu kwa mara ya tatu. Sitakuwa mzigo kwenu, kwa kuwa sitaki kitu kilicho chenu. Nawataka ninyi. Kwa kuwa watoto hawapaswi kuweka akiba kwa ajili ya wazazi. Badala yake, wazazi wanapaswa kuweka akiba kwa ajili ya watoto.
Voici, c'est la troisième fois que je suis prêt à venir chez vous, et je ne serai pas un fardeau pour vous; car je ne cherche pas vos biens, mais vous. Car ce ne sont pas les enfants qui doivent épargner pour les parents, mais les parents pour les enfants.
15 Nitafurahi zaidi kutumia na kutumiwa kwa ajili ya nafsi zenu. Kama ninawapenda zaidi, natakiwa kupendwa kidogo?
Je dépenserai et serai dépensé très volontiers pour vos âmes. Si je vous aime plus abondamment, suis-je moins aimé?
16 Lakini kama ilivyo, sikuwalemea mzigo ninyi. Lakini kwa kuwa mimi ni mwerevu sana, mimi ni yule aliyewashika ninyi kwa nimekuwa ambaye aliyewapata kwa udanganyifu.
Même ainsi, je ne vous ai pas accablé moi-même. Mais vous pourriez dire qu'étant rusé, je vous ai pris par la ruse.
17 Je, nilichukua kwa kujifanyia faida kwa yeyote niliyemtuma kwenu?
Ai-je profité de vous par quelqu'un de ceux que je vous ai envoyés?
18 Nilimsihi Tito kuja kwenu, na nilituma ndugu mwingine pamoja naye. Je, Tito aliwafanyia faida ninyi? Je, hatukutembea katika njia ile ile? Je, hatukutembea katika nyayo zile zile?
J'ai exhorté Tite, et j'ai envoyé le frère avec lui. Titus a-t-il profité de vous? Ne marchions-nous pas dans le même esprit? N'avons-nous pas marché dans les mêmes pas?
19 Mnadhani kwa muda huu wote tumekuwa tukijitetea sisi wenyewe kwenu? Mbele za Mungu, na katika Kristo, tumekuwa tukisema kila kitu kwa ajili ya kuwaimarisha ninyi.
Encore une fois, pensez-vous que nous nous excusons auprès de vous? C'est devant Dieu que nous parlons en Christ. Mais toutes choses, bien-aimés, sont pour votre édification.
20 Kwa kuwa nina hofu kwamba nitakapokuja naweza nisiwapate ninyi kama ninavyotamani. Nina hofu kwamba mnaweza msinipate mimi kama mnavyotamani. Nahofia kwamba kunaweza kuwa na majadiliano, wivu, milipuko ya hasira, tamaa ya ubinafsi, umbeya, kiburi, na ugomvi.
Car je crains que peut-être, quand je viendrai, je ne vous trouve pas comme je le veux, et que je ne sois trouvé par vous comme vous ne le désirez pas, que peut-être il y ait des querelles, des jalousies, des accès de colère, des factions, des calomnies, des murmures, des pensées orgueilleuses, ou des émeutes,
21 Nina hofu kwamba nitakaporudi tena, Mungu wangu anaweza kuninyenyekeza mbele yenu. Nina hofu kwamba ninaweza kuhuzunishwa na wengi ambao wamefanya dhambi kabla ya sasa, na ambao hawakutubu uchafu, na uasherati na mambo ya tamaa wanayoyatenda.
qu'à nouveau, quand je viendrai, mon Dieu m'humiliera devant vous, et je porterai le deuil de beaucoup de ceux qui ont péché auparavant, et qui ne se sont pas repentis de l'impureté, de l'immoralité sexuelle et de la luxure qu'ils ont commises.

< 2 Wakorintho 12 >