< Job 9 >

1 Y RESPONDIÓ Job, y dijo:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Ciertamente yo conozco que es así: ¿y cómo se justificará el hombre con Dios?
“kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
3 Si quisiere contender con él, no le podrá responder á una [cosa] de mil.
Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
4 El es sabio de corazón, y poderoso en fortaleza: ¿quién se endureció contra él, y quedó en paz?
Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
5 Que arranca los montes con su furor, y no conocen quién los trastornó:
ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
6 Que remueve la tierra de su lugar, y hace temblar sus columnas:
ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
7 Que manda al sol, y no sale; y sella las estrellas:
Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
8 El que extiende solo los cielos, y anda sobre las alturas de la mar:
ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
9 El que hizo el Arcturo, y el Orión, y las Pléyadas, y los lugares secretos del mediodía:
ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
10 El que hace cosas grandes é incomprensibles, y maravillosas, sin número.
Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
11 He aquí que él pasará delante de mí, y yo no lo veré; y pasará, y no lo entenderé.
Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
12 He aquí, arrebatará; ¿quién le hará restituir? ¿Quién le dirá, Qué haces?
Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
13 Dios no tornará atrás su ira, y debajo de él se encorvan los que ayudan á los soberbios.
Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
14 ¿Cuánto menos le responderé yo, y hablaré con él palabras estudiadas?
Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
15 Que aunque fuese yo justo, no responderé; antes habré de rogar á mi juez.
Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
16 Que si yo le invocase, y él me respondiese, aun no creeré que haya escuchado mi voz.
Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
17 Porque me ha quebrado con tempestad, y ha aumentado mis heridas sin causa.
kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
18 No me ha concedido que tome mi aliento; mas hame hartado de amarguras.
Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
19 Si [habláremos] de [su] potencia, fuerte por cierto es; si de juicio, ¿quién me emplazará?
Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
20 Si yo me justificare, me condenará mi boca; si [me dijere] perfecto, esto me hará inicuo.
Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
21 [Bien que] yo [fuese] íntegro, no conozco mi alma: reprocharé mi vida.
Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
22 Una cosa resta que yo diga: Al perfecto y al impío él los consume.
Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
23 Si azote mata de presto, ríese de la prueba de los inocentes.
Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
24 La tierra es entregada en manos de los impíos, y él cubre el rostro de sus jueces. Si no [es él], ¿quién [es]? ¿dónde está?
Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
25 Mis días han sido más ligeros que un correo; huyeron, y no vieron el bien.
Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
26 Pasaron cual navíos veloces: como el águila que se arroja á la comida.
Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
27 Si digo: Olvidaré mi queja, dejaré mi aburrimiento, y esforzaréme:
Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
28 Contúrbanme todos mis trabajos; sé que no me darás por libre.
Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
29 Yo soy impío, ¿para qué trabajaré en vano?
Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
30 Aunque me lave con aguas de nieve, y limpie mis manos con la misma limpieza,
Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
31 Aun me hundirás en el hoyo, y mis propios vestidos me abominarán.
Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
32 Porque no es hombre como yo, para que yo le responda, y vengamos juntamente á juicio.
Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
33 No hay entre nosotros árbitro que ponga su mano sobre nosotros ambos.
Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
34 Quite de sobre mí su vara, y su terror no me espante.
Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
35 Entonces hablaré, y no le temeré: porque así no estoy en mí mismo.
Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.

< Job 9 >