< Job 12 >

1 Y RESPONDIÓ Job, y dijo:
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 Ciertamente que vosotros sois el pueblo; y con vosotros morirá la sabiduría.
“Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
3 También tengo yo seso como vosotros; no soy yo menos que vosotros: ¿y quién habrá que no pueda decir otro tanto?
Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
4 Yo soy uno de quien su amigo se mofa, que invoca á Dios, y él le responde: con todo, el justo y perfecto es escarnecido.
Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
5 Aquel cuyos pies van á resbalar, [es como] una lámpara despreciada de aquel que está á sus anchuras.
Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
6 Prosperan las tiendas de los ladrones, y los que provocan á Dios viven seguros; en cuyas manos él ha puesto [cuanto tienen].
Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
7 Y en efecto, pregunta ahora á las bestias, que ellas te enseñarán; y á las aves de los cielos, que ellas te lo mostrarán:
Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
8 O habla á la tierra, que ella te enseñará; los peces de la mar te [lo] declararán también.
Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
9 ¿Qué cosa de todas estas no entiende que la mano de Jehová la hizo?
Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
10 En su mano está el alma de todo viviente, y el espíritu de toda carne humana.
Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
11 Ciertamente el oído distingue las palabras, y el paladar gusta las viandas.
Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
12 En los viejos está la ciencia, y en la larga edad la inteligencia.
Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
13 Con Dios está la sabiduría y la fortaleza; suyo es el consejo y la inteligencia.
Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
14 He aquí, él derribará, y no será edificado: encerrará al hombre, y no habrá quien le abra.
Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
15 He aquí, él detendrá las aguas, y se secarán; él las enviará, y destruirán la tierra.
Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
16 Con él está la fortaleza y la existencia; suyo es el que yerra, y el que hace errar.
Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
17 El hace andar á los consejeros desnudos [de consejo], y hace enloquecer á los jueces.
Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
18 El suelta la atadura de los tiranos, y ata el cinto á sus lomos.
Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
19 El lleva despojados á los príncipes, y trastorna á los poderosos.
Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
20 El impide el labio á los que dicen verdad, y quita á los ancianos el consejo.
Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
21 El derrama menosprecio sobre los príncipes, y enflaquece la fuerza de los esforzados.
Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
22 El descubre las profundidades de las tinieblas, y saca á luz la sombra de muerte.
Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
23 El multiplica las gentes, y él las destruye: él esparce las gentes, y las torna á recoger.
Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
24 El quita el seso de las cabezas del pueblo de la tierra, y háceles que se pierdan vagueando sin camino:
Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
25 Van á tientas como en tinieblas y sin luz, y los hace errar como borrachos.
Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.

< Job 12 >