< Job 35 >

1 Y PROCEDIENDO Eliú en su razonamiento, dijo:
Aidha, Elihu aliendelea kusema,
2 ¿Piensas ser conforme á derecho esto [que] dijiste: Más justo soy yo que Dios?
“Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
3 Porque dijiste: ¿Qué ventaja sacarás tú de ello? ¿ó qué provecho tendré de mi pecado?
Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
4 Yo te responderé razones, y á tus compañeros contigo.
Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
5 Mira á los cielos, y ve, y considera que las nubes son más altas que tú.
Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
6 Si pecares, ¿qué habrás hecho contra él? y si tus rebeliones se multiplicaren, ¿qué le harás tú?
Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
7 Si fueres justo, ¿qué le darás á él? ¿ó qué recibirá de tu mano?
Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
8 Al hombre como tú [dañará] tu impiedad, y al hijo del hombre [aprovechará] tu justicia.
Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
9 A causa de la multitud de las violencias clamarán, y se lamentarán por el poderío de los grandes.
Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
10 Y ninguno dice: ¿Dónde está Dios mi Hacedor, que da canciones en la noche,
Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
11 Que nos enseña más que á las bestias de la tierra, y nos hace sabios más que las aves del cielo?
ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
12 Allí clamarán, y él no oirá, por la soberbia de los malos.
Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
13 Ciertamente Dios no oirá la vanidad, ni la mirará el Omnipotente.
Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
14 Aunque más digas, No lo mirará; haz juicio delante de él, y en él espera.
Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
15 Mas ahora, porque en su ira no visita, ni conoce con rigor,
Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
16 por eso Job abrió su boca vanamente, y multiplica palabras sin sabiduría.
Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”

< Job 35 >