< Ufunuo 16 >

1 Nikasikia sauti kubwa ikiita kutoka kwenye sehemu ya patakatifu na ikasema kwa wale malaika saba, “Nenda na ukamwage juu ya dunia mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu.”
И чух из храма силен глас, който казваше на седемте ангела: Идете та излейте на земята седемте чаши на Божия гняв.
2 Malaika wa kwanza alienda na kumwaga bakuli lake katika dunia; majeraha mabaya na yenye maumivu makali yalikuja kwa watu wenye alama ya mnyama, kwa wale ambao waliabudu sanamu yake.
И първият отиде та изля чашата си на земята; и появи се лоша и люта рана на ония човеци, които носеха белега на звяра и които се покланяха на неговия образ.
3 Malaika wa pili alimwaga bakuli lake katika bahari; ikawa kama damu ya mtu aliyekufa, na kila kiumbe hai katika bahari kilikufa.
Втория ангел изля чашата си в морето; и стана кръв като на мъртвец, и всяка жива твар в морето умря.
4 Malaika wa tatu akamwaga bakuli lake katika mito na katika chemichemi za maji; zikawa damu.
Третият ангел изля чашата си в реките и във водните извори; и водата им стана кръв.
5 Nikasikia malaika wa maji akisema, “Wewe ni mwaminifu - mmoja uliyepo na uliyekuwako, Mtakatifu - kwa sababu umezileta hukumu hizi.
И чух ангела на водите да казва: Праведен си Ти, Пресвети, Който си, и Който си бил, загдето си отсъдил така;
6 Kwa sababu walimwaga damu za waamini na manabii, umewapa wao kunywa damu; ndicho wanachostahili.”
понеже те проляха кръв на светии и на пророци, то и Ти си им дал да пият кръв. Те заслужават това.
7 Nikasikia madhabahu ikijibu, “Ndiyo! Bwana Mungu mwenye kutawala juu ya vyote, hukumu zako ni kweli na za haki.”
И чух [друг от] олтара да казва: Така Господи Боже Всемогъщи, истинни и праведни са Твоите съдби.
8 Malaika wa nne akamwaga kutoka kwenye bakuli lake juu ya jua, na likapewa ruhusa kuunguza watu kwa moto.
Четвъртият ангел изля чашата си върху слънцето, на което се позволи да гори човеците с огън.
9 Waliunguzwa kwa joto lenye kutisha, na wakalikufuru neno la Mungu, mwenye nguvu juu ya mapigo yote. Hawakutubu wala kumpa yeye utukufu.
А като се опекоха човеците от голямата жега, похулиха името на Бога, Който има власт над тия язви, и не се покаяха да Му отдадат слава.
10 Malaika wa tano akamwaga kutoka kwenye bakuli lake katika kiti cha enzi cha mnyama, na giza likaufunika ufalme wake. Walisaga meno katika maumivu makali.
Петият ангел изля чашата си върху престола на звяра; и царството му потъмня, и човеците хапеха езиците си от болки,
11 Wakamtukana Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu yao na majeraha yao, na bado waliendelea kutokutubu kwa kile walichotenda.
и похулиха небесния Бог поради болките си и раните си, и не се покаяха за делата си.
12 Malaika wa sita alimwaga kutoka kwenye bakuli lake katika mto mkubwa, Frati, na maji yake yakakauka ili kuweza kuandaa njia kwa wafalme watakaokuja kutoka mashariki.
Шестият ангел изля чашата си върху голямата река Ефрат; и пресъхна водата й, за да се приготви пътя на царете, които идат от изток.
13 Nikaona roho tatu chafu zilizoonekana kama chura watokao nje ya mdomo wa yule joka, yule mnyama, na yule nabii wa uongo.
И видях да излизат от устата на змея и от устата на звяра и от устата на лъжепророка три нечисти духове, прилични на жаби;
14 Ni roho za pepo zitendazo ishara na miujiza. Walikuwa wakienda kwa wafalme wa dunia yote ili kuweza kuwakusanya pamoja kwa vita katika siku kuu ya Mungu, mwenye kutawala juu ya vyote.
защото те са бесовски духове, които, като вършат знамения, отиват при царете на цялата вселена, да ги събират за войната във великия ден на всемогъщия Бог.
15 (“Tazama! Ninakuja kama mwizi! Heri yule adumuye katika kukesha, atunzaye mavazi yake ili asiweze kwenda nje uchi na kuiona aibu yake.”)
(Ето, ида като крадец. Блажен оня, който бди и пази дрехите си, за да не ходи гол, та да не гледат срамотата му).
16 Waliwaleta pamoja katika sehemu iliyoitwa katika kiebrania Amagedoni.
И събраха ги на мястото, което по еврейски се наричаше Армагедон (Т. е. Хълмът на Магедон или на поражението).
17 Malaika wa saba alimwaga kutoka kwenye bakuli lake katika anga. Kisha sauti kuu ikasikika kutoka pakatifu na kutoka kwenye kiti cha enzi, ikisema, “Imekwisha!”
И седмият ангел изля чашата си върху въздуха; и из храма излезе силен глас от престола и каза; Сбъдна се.
18 Kulikuwa na miale ya mwanga wa radi, ngurumo, vishindo vya radi, na tetemeko la kutisha - tetemeko kubwa la ardhi ambalo halijawahi kutokea duniani tangu wanadamu wamekuwepo duniani, hivyo ni tetemeko kubwa zaidi.
И произлязоха светкавици и гласове и гръмове, и стана силен тръс, небивал откак съществуват човеците на земята, такъв тръс, толкоз силен.
19 Mji mkuu uligawanyika katika sehemu tatu, na miji ya mataifa ikaanguka. Kisha Mungu akamkumbusha Babeli mkuu, na akaupa mji huo kikombe kilichokuwa kimejaa divai kutoka kwenye ghadhabu yake iliyo kali.
И великия град се раздели на три части, и градовете на народите паднаха; и Бог си спомни за великия Вавилон, да му даде чашата с вино от яростния Си гняв.
20 Kila kisiwa kikapotea na milima haikuonekana tena.
И всеки остров побягна и планините не се намериха.
21 Mvua kubwa ya mawe, ikiwa na uzito wa talanta, ikashuka kutoka mbinguni juu ya watu, na wakamlaani Mungu kwa mapigo ya mvua ya mawe kwa sababu lile pigo lilikuwa baya sana.
И едър град, тежък около един талант, падаше от небето върху човеците; и човеците похулиха Бога поради язвата от града, защото язвата от него беше твърде голяма.

< Ufunuo 16 >