< Ufunuo 15 >

1 Tena nikaona ishara nyingine mbinguni, kubwa na yenye kushangaza; Kulikuwa na malaika saba wenye mapigo saba, ambayo yalikuwa mapigo ya mwisho (katika hayo hasira ya Mungu ilikuwa imetimilika).
И видях на небето друго знамение голямо и чудно: седем ангела, които държаха седем язви, които са последните, защото с тях се изчерпва Божият гняв.
2 Niliona kile kilichotokea kuwa bahari ya bilauri iliyochanganywa na moto, na ikasimama pembeni mwa bahari ambapo wale waliokuwa washindi dhidi ya mnyama na sanamu yake, na juu ya namba inayowakilisha jina lake. Walikuwa wameshikilia vinubi walivyopewa na Mungu.
И видях нещо като стъклено море, размесено с огън, и че тия, които бяха победили звяра и образа му и числото на името му, стоеха при стъкленото море, държейки Божии арфи.
3 Walikuwa wakiimba wimbo wa Musa, mtumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwana Kondoo: “Kazi zako ni kubwa na zenye kushangaza, Bwana Mungu, utawalaye vyote. Mwaminifu na njia zako ni za kweli, Mfalme wa mataifa.
И пееха песента на Божия слуга Моисея и песента на Агнето, казвайки: Велики и чудесни са Твоите дела, Господи Боже Всемогъщи; праведни и истинни са Твоите пътища, Царю на вековете.
4 Nani atashindwa kukuhofu wewe Bwana na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako ni mtakatifu. Mataifa yote yatakuja na kukuabudu mbele zako kwa sababu u mwema na matendo yako yamejulikana.”
Кой няма да се бои от името Ти, Господи, и да го прослави? Защото само Ти си свет; понеже всички народи ще дойдат и ще се поклонят пред Тебе, защото се явиха Твоите праведни съдби.
5 Baada ya mambo hayo nilitazama, na sehemu takatifu sana, ambapo palikuwa na hema ya ushuhuda, iliyofungukia mbinguni.
И след това видях, че на небето се отвори храма на скинията на свидетелството;
6 Kutoka mahali patakatifu sana wakaja malaika saba wenye mapigo saba, wamevaa mavazi safi, kitani yenye kung'aa na mshipi wa dhahabu kuzunguka vifua vyao.
и седемте ангела, които държаха седемте язви, излязоха от храма, облечени в чисти и светли ленени дрехи и препасани през гърдите със златни пояси.
7 Mmoja wa wale wenye uhai wanne akatoa kwa malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu mwenye kuishi milele na milele. (aiōn g165)
И едно от четирите живи същества даде на седемте ангела седем златни чаши, пълни с гнева на Бога, Който живее до вечни векове. (aiōn g165)
8 Mahali patakatifu sana kulijawa moshi kutoka kwenye utukufu wa Mungu na kutoka kwenye uwezo wake. Hakuna hata mmoja aliyeweza kuingia mpaka mapigo saba ya malaika saba yalipokamilika.
И храмът се изпълни с дим от славата на Бога и от Неговата сила; и никой не можеше да влезе в храма, преди да се свършат седемте язви на седемте ангела.

< Ufunuo 15 >