< Ufunuo 19 >

1 Baada ya mambo haya nilisikia sauti kama ya mlio mkubwa wa kundi kubwa la watu mbinguni ikisema, “Haleluya. Wokovu, utukufu, na nguvu ni vya Mungu wetu.
След това чух като-че-ли силен глас от голямо множество на небето, който казваше: Алилуя! Спасение, слава и сила принадлежат на нашия Бог;
2 Hukumu zake ni kweli na za haki, kwa kuwa amemhukumu kahaba mkuu aliyeiharibu nchi kwa uzinzi wake. Amefanya kisasi kwa damu ya watumishi wake, ambayo aliimwaga yeye mwenyewe.”
защото са истинни и праведни Неговите съдби; понеже Той осъди великата блудница, която е разтляла земята с блудството си, и даде върху нея възмездие за кръвта на Своите слуги.
3 Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn g165)
И втори път рекоха: Алилуя! И димът й се издига до вечни векове. (aiōn g165)
4 Wale wazee ishirini na wanne na viumbe hai wanne wakasujudu na kumwabudu Mungu akaaye kwenye kiti cha enzi. Walikuwa wakisema, “Amina. Haleluya!”
И двадесетте и четири старци и четирите живи същества паднаха, та се поклониха на Бога, Който седи на престола, и казаха: Амин! Алилуия!
5 Ndipo sauti ilitoka kwenye kiti cha enzi, ikisema, “Msifuni Mungu wetu, enyi watumishi wake wote, ninyi mnaomcha yeye, wote wasio na umuhimu na wenye nguvu.”
И от престола излезе глас, който казваше: Хвалете нашия Бог, всички Негови слуги, вие, които Му се боите, малки и големи.
6 Ndipo nilisikia sauti kama sauti ya kundi kubwa la watu, kama sauti ya ngurumo ya maji mengi, na kama ngurumo ya radi, ikisema, “Haleluya! Bwana ni Mungu wetu, mtawala juu ya wote, hutawala.
И чух като глас от силни гърмежи, които казваха: Алилуия! Защото Господ, нашият Бог, Всемогъщият, царува.
7 Na tushangilie na kufurahi na kumpa utukufu kwa sababu harusi na sherehe ya Mwana Kondoo imekuja, na bibi harusi yuko tayari.”
Нека се радваме и се веселим и нека отдадем Нему слава: защото дойде сватбата на Агнето, и Неговата жена се е приготвила.
8 Aliruhusiwa kuvalishwa kitani safi na yenye kung'aa (kitani safi ni matendo ya haki ya waumini).
И на нея се позволи да се облече в светъл и чист висон; защото висонът; е праведните дела на светиите.
9 Malaika akasema nami, “Yaandike haya: Wamebarikiwa walioalikwa kwenye sherehe ya harusi ya Mwana kondoo.” Vilevile akaniambia, “Haya ni maneno ya kweli ya Mungu.”
И каза ви: Напиши: Блажени тия, които са призвани на сватбената вечеря на Агнето. И казва ми: Тия думи са истинни божи думи.
10 Nilisujudu mbele ya miguu yake nikamwabudu, lakini akaniambia, “Usifanye hivi! Mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako mwenye kuushika ushuhuda wa Yesu. Mwabudu Mungu, kwa kuwa ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.”
Тогава аз паднах пред нозете му да му се поклоня; но той ми рече: Недей; аз съм съслужител на тебе и на братята ти, които държат свидетелството за Исуса; поклони се Богу; защото духът на пророчеството е да свидетелствуваме за Исуса.
11 Kisha niliona mbingu zimefunguka, na tazama kulikuwa na farasi mweupe! Na yule aliyekuwa amempanda anaitwa Mwaminifu na wa Kweli. Huhukumu kwa haki na kufanya vita.
След това видях небето отворено, и ето бял кон, и Оня, Който яздеше на него, се наричаше Верен и Истинен, и съди и воюва праведно.
12 Macho yake ni kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake ana taji nyingi. Ana jina lililoandikwa juu yake asilolifahamu mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe.
Очите Му бяха огнен пламък, на главата Му бяха много корони и носеше написано име, което никой не знаеше, а само Той;
13 Amevaa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aliitwa Neno la Mungu.
и беше облечен в дреха, попръскана с кръв; и името Му беше Божието слово.
14 Majeshi ya mbinguni yalikuwa yakimfuata juu ya farasi weupe, walivalishwa kitani nzuri, nyeupe na safi.
И небесните войски, облечени в бял и чист висон, следваха подир Него на бели коне.
15 Kinywani mwake hutoka upanga mkali ambao huyaangamiza mataifa, naye atawatawala kwa fimbo ya chuma. Naye hukanyaga vyombo vya mvinyo kwa hasira kali ya Mungu, hutawala juu ya wote.
Из устата Му излизаше остър меч, за да порази с него народите; и Той ще ги управлява с желязна тояга и ще стъпче лина на лютия гняв на Бога Всемогъщий.
16 Naye ameandikwa juu ya vazi lake na katika paja lake jina, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA.
И на дрехата и на бедрото Му имаше написано име: Цар на царете, и Господ на господарите.
17 Niliona malaika amesimama katika jua. Aliwaita kwa sauti kuu ndege wote warukao juu, “Njoni, kusanyikeni pamoja kwenye chakula kikuu cha Mungu.
После видях един ангел, стоящ в слънцето; и, извиквайки със силен глас, каза на всички птици, които летят посред небето: Дойдете, събирайте за великата Божия вечеря,
18 Njoni mle nyama ya wafalme, nyama ya majemedari, nyama ya watu wakubwa, nyama ya farasi na wapanda farasi, na nyama ya watu wote, walio huru na watumwa, wasio na umuhimu na wenye nguvu.”
за да ядете месата на царе и месата на хилядници, месата на юнаци и месата на коне и на ония, които яздят на тях, дори месата на всичките човеци, свободни роби, малки и големи.
19 Nilimwona mnyama na wafalme wa nchi pamoja na majeshi yao. Walikuwa wamejipanga kwa ajili ya kufanya vita na mmoja aliyepanda farasi na jeshi lake.
И видях звяра и земните царе и войските им събрани да воюват против яздещия на коня и против Неговото воинство.
20 Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
И звярът биде уловен, и с него лъжепророка, който бе извършил пред него знаменията, с които измами ония, които бяха приели белега на звяра, и които се покланяха на неговия образ; та двамата бидоха хвърлени живи в огненото езеро, което гори с жупел. (Limnē Pyr g3041 g4442)
21 Wale waliobaki waliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa mmoja aliyepanda juu ya farasi. Ndege wote walikula mizoga ya miili yao.
А останалите бидоха набити с меча на яздещия на коня, с меча, който излизаше от устата Му. И всичките птици се наситиха от месата им.

< Ufunuo 19 >