< Zaburi 45 >

1 Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
Načelniku godbe med nasledniki Koretovimi, na šestero strun, prijateljic pesem ukovita. Iz srca mojega vre dobra beseda; pel bodem pesmi svoje o kralji, z jezikom svojim in peresom, ročen pisar.
2 Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
Mnogo lepši si ustvarjen od sinóv človeških; miloba je razlita po ustnah tvojih; zatôrej te je Bog blagoslovil vekomaj.
3 Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
Meč svoj opaši okolo ledja, o premočni; meč slave svoje in dike svoje.
4 Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
In z diko svojo srečno jahaj z besedo resnice, in izrekaj pravico, in stavi si spomenike sè strašnimi deli desnice svoje.
5 Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
Z ostrimi pušicami tvojimi bodo padala pód te ljudsta, po volji bodo padali sovražniki kraljevi.
6 Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
Prestol tvoj, o Bog, je na večne čase; žezlo pravično je žezlo tvojega kraljestva.
7 Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Ljubiš pravico, in krivico sovražiš; zatorej te je pomazilil Bog, Bog tvoj z oljem veselja pred tvojimi tovariši.
8 Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
Mira in aloe in kasija so vsa oblačila tvoja, ko izhajaš iz svetišč slonokoščenih, pred njimi, ki razveseljujejo.
9 Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
Hčere kraljeve so med dragimi tvojimi; žena tvoja je postavljena tebi na desno z odličnim zlatom Ofirskim.
10 Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
Čuj, hči, in glej, in nagni uho svoje, ter pozabi ljudstva svojega in hiše očetove svoje.
11 Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
In radoval se bode kralj lepote tvoje; in ker je kralj tvoj, pokloni se njemu.
12 Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
Tedaj bodejo hčere Tirske z darilom molile obličje tvoje, bogati med ljudstvom.
13 Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
Vsa čestita je notri hči kraljeva, v obleki predelani zlatom.
14 Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
S Frigijskimi ogrinjali nesó jo h kralju; device prijateljice za njo peljejo se k tebi.
15 Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
Vodijo jih z največjim veseljem in radovanjem, stopajo v grad kraljevi.
16 Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
Na mestu roditeljev tvojih bodejo sinovi tvoji: za prvake jih postaviš po vsej deželi.
17 Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.
Oznanjal bodem ime tvoje v vsaki dobi; zatorej te bodejo slavila ljudstva na vedno večno čase.

< Zaburi 45 >