< Zaburi 44 >

1 Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
Načelniku godbe med nasledniki Koretovimi; ukovita. O Bog, z ušesi svojimi smo slišali, očetje naši so nam pravili, káko delo si storil o njih časih, časih nekdanjih.
2 Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
Z roko svojo si izgnal narode in naselil njé: pokoril si ljudstva in razširil njé.
3 Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
Niso namreč z mečem svojim dobili dežele v oblast, in njih dlan ni jim dala blaginje; nego desnica tvoja in dlan tvoja in obličja tvojega luč; ker blagovoljen si jim bil.
4 Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
Ti sam si kralj moj, o Bog; pošlji vsakoršno blaginjo Jakobu.
5 Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
S teboj bodemo z rogom udarili sovražnike svoje; z imenom tvojim bodemo pogazili njé, ki se spenjajo v nas.
6 Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
Ker na lok svoj se ne zanašam, in meč moj ne bode me rešil.
7 Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
Ko nas bodeš otél neprijateljev naših, in osramotil sovražnike naše,
8 Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
Hvalili bodemo ves dan Boga, ime tvoje bodemo slavili vekomaj.
9 Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
In vendar si nas zavrgel in onečastil, ker nisi hodil z našimi vojskami.
10 Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
Storil si, da smo se umaknili sovražniku, in neprijatelji naši si plenijo.
11 Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
Predal si nas kakor drobnico za hrano, in med ljudstva si nas razkropil.
12 Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
Prodal si ljudstvo svoje za malo, in povišal nisi cene njegove.
13 Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
Izpostavil si nas v sramoto sosedom našim, v zasramovanje in zasmehovanje njim, ki nas obdajajo.
14 Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
Za pregovor si nas postavil ljudstvom, v majanje z glavo med narodi.
15 Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
Ves dan mi je nečast moja pred očmi, in obličja mojega sramota me pokriva;
16 kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
Zaradi glasú zasramovalca in preklinjalca; zaradi sovražnika in maščevalca.
17 Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
Vse to nas je zadelo, in vendar te ne zabimo; in lažnjivo se ne vedemo zoper zavezo tvojo.
18 Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
Ne odmika se srce naše, in stopinja naša ne zavija v stran od steze tvoje:
19 Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
Če tudi si nas potrl v kraj sômov in pokril nas z mrtvaško senco.
20 Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
Ako bi bili pozabili imena Boga našega, ali razpeli roke svoje proti bogu mogočnemu tujemu,
21 Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
Ali bi ne bil Bog tega preiskal? Ker on pozná srca skrivnosti.
22 Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
Ali zavoljo tebe nas pobijajo vsak dan; cenijo nas kakor drobnico za klanje.
23 Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
Zbúdi se, zakaj bi spal, Gospod? vstani, ne zametaj nas na večno.
24 Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
Zakaj bi skrival obličje svoje, pozabljal nadloge naše in stiske naše?
25 Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
Ker v prah je ponižano življenje naše, tál se tišči trebuh naš.
26 Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.
Vstani na pomoč nam, in reši nas zavoljo milosti svoje.

< Zaburi 44 >