< Zaburi 46 >

1 Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
Načelniku godbe med nasledniki Koretovimi, po visoki godbi, hvalna pesem. Bog nam je zavetje in moč; pomoč v stiskah najkrepkejša.
2 Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
Zato bi se ne bali, ako bi se premaknila zemlja, ali ko bi se gore pogreznile v globočino morja.
3 hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
Šumele bi, kalile se vodé njih vseh, gibale se goré od njegovega vzdigovanja.
4 Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
Reka, potoki njeni razveseljujejo mesto Božje, kraj presveti, Najvišjega prebivališče.
5 Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
Bog je v sredi njegovi, ne gane se; Bog mu pomaga rano zjutraj.
6 Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
Ko hrumé narodi, gibljejo se kraljestva, oglasi se on, taja se zemlja.
7 Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
Gospod vojnih krdel je z nami, grad je nam Bog Jakobov.
8 Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
Pridite, glejte dela Gospodova, kako razgraja po zemlji!
9 Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
Vojske mirí noter do skrajnosti zemlje, lok lomi in sulico krši, vozove sežiga z ognjem.
10 Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
Govoreč: Stojte in spoznajte, da sem jaz Bog; da se bodem poveličeval med narodi, poveličeval na zemlji.
11 Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah
Gospod vojnih krdél je z nami, grad nam Bog Jakobov.

< Zaburi 46 >