< Zaburi 4 >

1 Unijibu nikuitapo, Mungu wa haki yangu; uniokoe niwapo katika hatari. Unihurumie na usikie maombi yangu.
Načelniku godbe na strune; psalm Davidov. Ko te kličem, usliši me, Bog pravice moje; v stiski dal si mi prostora; milosten mi bodi in poslušaj molitev mojo.
2 Ninyi watu, mpaka lini mtaiabisha heshima yangu? Mpaka lini mtaendelea kupenda kile kisicho stahili na kutafuta uongo?
Sinovi človeški, doklej bodi slava moja v nečast? ljubili bodete ničnost? hodili za lažjo?
3 Lakini mjue ya kuwa Yahweh huchagua watu wa kimungu kwa ajili yake. Nitakapo mwita Yahwe atasikia.
Spoznajte vendar, da si je Gospod posebe odbral njega, katerega prijazno sprejema; da bode uslišal Gospod, ko ga bodem zaklical.
4 Tetemekeni na kuogopa, lakini msitende dhambi! Tafakarini mioyoni mwenu kwenye vitanda vyenu na muwe kimya.
Prestrašite se in ne grešite; mislite v srci svojem, na ležišči svojem in mirujte!
5 Toeni matoleo ya haki na muweke imani yenu katika Yahweh.
Darujte daritve pravice, in zaupanje imejte v Gospoda.
6 Wengi husema, “Ni nani atakaye tuonyesha chochote kilicho kizuri?” Yahweh, utuangazie nuru ya uso wako.
Mnogi govoré: O da bi vživali dobro! Dvigni nad nas svetlobo obličja svojega, Gospod!
7 Umeupa moyo wangu furaha kuu kuliko wao wanapozidishiwa nafaka na divai mpaya.
Vlij radost v srce moje, večjo nego o času, ko spravljajo žito svoje in vino svoje obilno.
8 Ni amani kuwa nitajilaza na kusinzia, kwako pekee, Yahweh, nifanye kuwa salama kabisa.
V miru ležem in zdajci zaspim; ker ti sam, Gospod, daješ, da prebivam brez skrbi.

< Zaburi 4 >