< Zaburi 3 >

1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
Psalm Davidov, ko je bežal pred Absalomom, sinom svojim. Gospod, koliko je sovražnikov mojih, koliko jih vstaja proti meni!
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
Koliko jih govori za dušo mojo: Ni je pomoči njej v Bogu nobene.
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
Ti pa, Gospod, ščit si meni, slava moja, in glavo mojo vzdiguješ.
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
Z glasom svojim vpijočemu v Gospoda odgovoril mi je z gore svetosti svoje.
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
Jaz sem ležal in spal, zbudil sem se, ker Gospod me podpira.
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
Ne bodem se bal ljudstva tisočin, katere bodo okrog razpostavili proti meni.
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
Vstani, Gospod; reši me, moj Bog, ki si udaril vse sovražnike moje po čeljusti, zobe zdrobil krivičnim.
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
Gospodovo je rešenje; nad ljudstvom tvojim blagoslov tvoj!

< Zaburi 3 >