< Zaburi 2 >

1 Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
Zakaj hrumé narodi in ljudstva si izmišljajo prazno?
2 Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
Zemlje kralji vstajajo in prvaki se posvetujejo skupaj zoper Gospoda in zoper maziljenca njegovega:
3 “Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
Raztrgajmo njih vezí in sè sebe vrzimo njih debele vrvi!
4 Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
Sedeči v nebesih se smeje; zasmehuje jih Gospod.
5 Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
Tedaj jih ogovorí v jezi svoji, in v srdu svojem jih prestraši:
6 “Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Saj sem jaz pomazilil kralja svojega ter postavil čez Sijon, gôro svetosti svoje.
7 Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
Oznanim naj sklep: Gospod mi je rekel: Sin si moj, jaz sem te danes rodil.
8 Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
Prosi me, in narode ti dam v posest in kraje zemlje v pravico posesti tvoje.
9 Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
Zdrobiš jih s šibo železno; kakor prsteno posodo jih razsuješ.
10 Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
Zdaj torej, kralji, poslušajte; poduk sprejmite, o zemlje sodniki!
11 Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
V svetem strahu služite Gospodu, in radujte se v trepetu!
12 Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.
Poljubite Sina, da se ne razsrdi in ne poginete na potu, ako se le kolikaj razvname jeza njegova; blagor vsem, kateri pribegajo do njega.

< Zaburi 2 >