< Zaburi 5 >

1 Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
Načelniku godbe na piščali; psalm Davidov. Besede moje čuj, Gospod; ozri se na premišljevanje moje.
2 Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
Poslušaj vpitja mojega glas, kralj moj in Bog moj: ker pri tebi imam molitev.
3 Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
Gospod, zgodaj bodeš slišal glas moj; zgodaj bodem govoril pred teboj in čakal.
4 Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
Ker ti nisi Bog mogočni, kateri bi se radoval krivice; pred teboj ne bode prebivalo hudo.
5 Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
Blazni ne stopajo ti pred óči; sovražiš vse, kateri delajo krivico.
6 Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
Pogubiti hočeš nje, ki laž govoré; moža krvoželjnega in zvijačnega studi Gospod.
7 Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
Jaz pa vnidem obdan z obilnostjo milosti tvoje v hišo tvojo; priklonim se proti hramu svetosti tvoje v svetem strahu tvojem.
8 Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
Gospod, spremljaj me v pravici svoji zavoljo zalezovalcev mojih; pot svojo ugladi pred menoj.
9 Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
Ker v ustih njihovih ni pravice; notranjost njih: nadloge, grob odprt njih grlo; z jezikom svojim se dobrikajo zvijačno.
10 Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
Pokôri jih, o Bog; izpodleté naj v naklepih svojih; pahni jih dol po obilosti njih pregréh, ker upirajo se zoper tebe.
11 Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
In veselili se bodo vsi, kateri pribegajo k tebi; na veke bodo prepevali, katerim bodeš bramba, in radovali se bodo v tebi ljubitelji tvojega imena.
12 Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.
Ker ti blagoslavljaš pravičnega, Gospod, delaš, da ga milost krije kakor ščit.

< Zaburi 5 >