< Zaburi 13 >

1 Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
Načelniku godbe, psalm Davidov.
2 Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
Doklej, Gospod? Bodeš li pozabljal me večno? Doklej bodeš skrival obličje svoje pred menoj?
3 Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
Doklej naj skrivam naklepe svoje v srci svojem; žalovanje v prsih svojih podnevi? Doklej se bode spenjal sovražnik moj proti meni?
4 Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
Poglej, usliši me, Gospod, moj Bog; razsvetli oči moje, da ne spavam v smrti.
5 Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
Da ne poreče neprijatelj moj: Premagal sem ga; ne radujejo se sovražniki moji, ko bodem omahnil.
6 Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.
Ker jaz imam zaupanje v milost tvojo; raduje se naj moj duh v blaginji tvoji; prepeval bodem Gospodu, ko mi bode storil dobro.

< Zaburi 13 >