< Zaburi 12 >

1 Msaada, Yahweh, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; nao waaminifu wametokomea.
Načelniku godbe po osmini, psalm Davidov. Daj rešenje, Gospod, ker minil je dobrodelnik; ker izginili so resnični izmed sinov človeških.
2 Kila mmoja anasema kwa jirani yake maneno matupu; kila mmoja anaongea kwa midomo yenye sifa za uongo na maneno ya udanganyifu.
Prazno govoré drug z drugim, s priliznenimi ustnami, z vojnim srcem govoré.
3 Yahweh, katilia mbali midomo yenye sifa za uongo, kila ulimi unanena kwa nguvu mambo makubwa.
Pokončal bode Gospod vse priliznene ustne, jezik visokobesedni;
4 Hawa ni wale ambao wamesema, “Kwa ndimi zetu tutashinda. Wakati midomo yetu itakapo ongea, ni nani atakaye kuwa mtawala juu yetu?”
Njih, ki govoré: Našega jezika pravica bode obveljala, ustne naše so v naši oblasti, kdo bi bil nam gospod?
5 “Kwa sababu ya vurugu zilizopo kinyume na maskini, na kwa sababu ya kuugua kwao wahitaji, Nitainuka,” asema Yahwe. “Nitawaletea usalama wanao hitaji.”
Od zatiranja siromakov ubozih, od vpitja revežev vstanem skoraj, govori Gospod; pomagal bodem njemu, v katerega bode pihal žarjavico krivični.
6 Maneno ya Yahwe ni masafi, kama fedha iliyo safishwa katika tanuru duniani, iliyo ng'arishwa mara saba zaidi.
Besede Gospodove so čiste besede, srebro očiščeno v izbrani prsteni posodi, osnaženo sedemkrat.
7 Wewe ni Yahwe! Unaye watunza. Una wahifadhi wacha Mungu kutoka katika hiki kizazi cha waovu na hata milele.
Ti, Gospod, ohrani jih; vsakega izmed njih brani tega rodu na veke.
8 Waovu hutembea kila pande pale uovu unapoinuliwa kati ya wanadamu.
Krivični hodijo okrog povsodi, ko se povzdiguje malopridna reč med človeškimi sinovi.

< Zaburi 12 >