< Zaburi 14 >

1 Mpumbavu husema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka nakufanya uovu haramu; hakuna hata mmoja atendaye dhambi.
Načelniku godbe; Davidova. Nespametni govori v srci svojem: Ni ga Boga: pohujšujejo, ostudna dela doprinašajo, ni ga, da bi delal dobro.
2 Yahwe anatazama chini kwa wanadamu kutoka mbinguni aone kama kuna yeyote anayeelewa, amtafutaye Mungu.
Gospod gleda z nebes na sinove človeške, da bi videl, je li kateri, ki bi bil razumen, ki bi iskal Boga.
3 Wote wamegeukia njia nyingine. Kwa pamoja wamepotoka. Hakuna yeyote atendaye mema, hakuna, hata mmoja.
Vsak je odstopil, izpridili so se vsi vkup; ni ga, da bi delal dobro, enega samega ne.
4 Je, hawajui lolote, wale wafanyao uovu, wale wanao kula watu wangu kama vile wanakula mkate, lakini hao hawamuiti Yahwe?
Ali si niso v svesti vsi, kateri delajo krivico, ker žró ljudstvo moje kruh jedóč, ne kličejo Gospoda?
5 Wao wana tetemeka kwa hofu. Kwa kuwa Mungu yuko pamoja na kusanyiko la wenye haki!
Tu se preplašijo od groze, ker Bog je na strani pravičnemu rodu.
6 Ninyi mnataka kumfedhehesha mtu maskini japo kuwa Yahwe ni kimbilio lake.
Naklep siromaka ubozega bodete osramotili, seveda! ker Gospod je zavetje njegovo.
7 Oh, kwamba wokovu wa Israeli ungetokea Sayuni! Wakati Yahwe akiwarudisha watu wake kutoka utumwani, ndipo Yakobo atashangilia na Israeli itakuwa na furaha!
Kdo naj dá rešenje sè Sijona Izraelu? Ko bode nazaj peljal iz sužnjosti ljudstva svojega krdelo, radoval se bode Jakob, veselil se Izrael.

< Zaburi 14 >