< Zaburi 13 >

1 Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
For the Leader. A Psalm of David. How long, O LORD, wilt Thou forget me for ever? How long wilt Thou hide Thy face from me?
2 Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
How long shall I take counsel in my soul, having sorrow in my heart by day? How long shall mine enemy be exalted over me?
3 Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
Behold Thou, and answer me, O LORD my God; lighten mine eyes, lest I sleep the sleep of death;
4 Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
Lest mine enemy say: 'I have prevailed against him'; lest mine adversaries rejoice when I am moved.
5 Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
But as for me, in Thy mercy do I trust; my heart shall rejoice in Thy salvation.
6 Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.
I will sing unto the LORD, because He hath dealt bountifully with me.

< Zaburi 13 >