< Zaburi 111 >

1 Msifuni Yahwe. Nitamshukuru Yahwe kwa moyo wangu wote katikati ya kusanyiko la wanye haki, na katika mkutano.
Alejuja! Slavil bodem Gospoda iz vsega srca, v zboru pravičnih in shodu.
2 Kazi za Yahwe ni kuu, zikisubiriwa na wale wazitamanio.
Velika dela Gospodova, razložena vsem, kateri se jih veselé,
3 Kazi yake ni adhama na utukufu, na haki yake yadumu milele.
Slavno in krasno delo njegovo, in pravico njegovo, ki ostane vekomaj.
4 Hufanya mambo makuu ambayo yatakumbukwa; Yahwe ni mwenye huruma na neema.
Spomin je napravil s čudeži svojimi; milosten in usmiljen je Gospod.
5 Huwapa chakula wafuasi wake waaminifu. Siku zote atalikumbuka agano lake.
Jedi je dal njim, ki se ga bojé; spominjal se vekomaj zaveze svoje.
6 Alionesha uweza wa kazi zake kwa watu wake kwa kuwapa urithi wa mataifa.
Moč del svojih je naznanil ljudstvu svojemu, dal jim je posest narodov;
7 Kazi za mikono yake ni za kuaminika na haki; maagizo yake yote ni ya kuaminika.
Dela rok njegovih so resnica in pravica; stanovitne vse zapovedi njegove,
8 Yamethibitika milele, yamefanywa katika uaminifu na vizuri.
Utrjene na večno in vekomaj, storjene zvesto in pravično.
9 Aliwapa ushindi watu wake; aliliteuwa agano lake milele; jina lake ni takatifu na lakutisha.
Rešenje je poslal ljudstvu svojemu in na vekomaj sklenil zavezo svojo; sveto in čestito je ime njegovo.
10 Kumcha Yahwe ni mwanzo wa hekima; wale washikao maagizo yake wana uelewa mzuri. Sifa yake yadumu milele.
Vir modrosti je strah Gospodov; najbolji uspeh vsem, ki delajo tako; hvala njegova ostane vekomaj.

< Zaburi 111 >