< Zaburi 110 >

1 Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
Psalm Davidov. Rekel je Gospod Gospodu mojemu: "Sédi meni na desni, dokler ne denem sovražnikov tvojih nogam tvojim za podnožje."
2 Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
Palico močno tvojo bode poslal Gospod sè Sijona, govoreč: Gospoduj sredi sovražnikov svojih.
3 Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
Ljudstvo tvoje je radovoljno o dnevi tvojih čét; v lepih krajih svetosti od materinega telesa bode ti mladosti tvoje rosa.
4 Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
Prisegel je Gospod, in ne bode se kesal: Ti si duhovnik vekomaj po redu Melhizedekovem."
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
Gospod na desni tvoji potare kralje o dnevi jeze svoje.
6 Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
Sodil bode narode napolnjujoč z mrliči; razbijal glavo v premnogih krajih.
7 Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.
Iz potoka bode pil na potu, zatorej dvigne glavo.

< Zaburi 110 >