< Mithali 25 >

1 Hizi tena ni mithali za Sulemani, zilinakiliwa na watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda.
También éstos son proverbios de Salomón, que transcribieron los varones de Ezequías, rey de Judá:
2 Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali utukufu wa wafalme kutafiti juu ya jambo.
Gloria de ʼElohim es encubrir un asunto, Pero honra del rey es escudriñarlo.
3 Kama mbingu ni kwa kimo na dunia ni kwa kina, ndivyo hivyo moyo wa wafalme hauchunguziki.
Así como la altura de los cielos y la profundidad de la tierra, El corazón de los reyes es inescrutable.
4 Ondoa takataka kutoka kwenye fedha na mfua vyuma anaweza kutumia fedha katika ufundi wake.
Quita la escoria de la plata, Y saldrá un vaso para el platero.
5 Pamoja na hayo, waondoe watu waovu mbele ya mfalme na kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa kutenda haki.
Aparta al perverso de la presencia del rey, Y su trono se afianzará en justicia.
6 Usijitukuze mwenyewe mbele ya mfalme na usisimame katika sehemu iliyoteuliwa kwa watu wakuu.
No te alabes delante del rey, Ni estés en el lugar de los grandes.
7 Ni bora yeye akuambie, “Njoo hapa” kuliko wewe kujiaibisha mbele ya mkuu.
Mejor es que te diga: Sube acá, Que ser humillado en presencia de un noble A quien vieron tus ojos.
8 Usiharakishe kufanya kuhukumu, kwa kile ulichokishuhudia. Maana utafanya nini mwishoni, wakati jirani yako atakapokuaibisha?
No te des prisa en pleitear, Porque ¿qué harás al final Cuando tu prójimo te haya avergonzado?
9 Jitetee kesi yako kati ya jirani yako na wewe na usifunue siri ya mtu mwingine,
Discute tu causa con tu prójimo, Y no des a conocer el secreto de otro,
10 au vinginevyo anayekusikia ataleta aibu juu yako na taarifa mbaya juu yako haiwezi kunyamazishwa.
No sea que te deshonre el que lo oye, Y tu mala fama no pueda repararse.
11 Kunena maneno yenye kuchaguliwa vizuri, ni kama nakshi za dhahabu iliyoungwa kwenye fedha.
Manzana de oro con adornos de plata Es la palabra dicha oportunamente.
12 Kama pete ya dhahabu au kito kilichotengenezwa kwa dhahabu safi ndivyo lilivyo karipio la busara kwenye sikio linalosikia.
Zarcillo de oro y joya de oro fino Es el que reprende al sabio que tiene oído dócil.
13 Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wenye kumtuma; huyahifadhi maisha ya mabwana wake.
Frescura de nieve en tiempo de cosecha Es el mensajero fiel para el que lo envía, Pues refresca la vida de su ʼadón.
14 Kama mawingu na upepo bila mvua ndivyo alivyo mwenye kujisifu kuhusu zawadi asiyoitoa.
Como nubes y vientos sin lluvia, Es el que se jacta falsamente de sus regalos.
15 Kwa uvumilivu mtawala anaweza kushawishiwa na ulimi raini unaweza kuvunja mfupa.
Con longanimidad se persuade al gobernante, Pues la lengua amable quebranta los huesos.
16 Kama utapata asali, kula ya kutosha- vingenevyo, ukila nyingi sana, utaitapika.
¿Hallaste miel? Come lo que te baste, No sea que cuando estés lleno la vomites.
17 Usiweke mguu wako kwenye nyumba ya jirani yako mara nyingi, anaweza kuchoshwa nawe na kukuchukia.
No frecuente tu pie la casa de tu vecino, No sea que se canse de ti, y te aborrezca.
18 Mtu anayetoa ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake ni kama rungu lililotumiwa katika vita, au upanga, au mshale mkali.
Martillo, cuchillo y flecha aguda, Es el hombre que da falso testimonio contra su prójimo.
19 Kumtumaini mtu asiye mwaminifu wakati wa taabu ni kama jino bovu au mguu unaoteleza.
Como diente roto y pie descoyuntado, Es confiar en el traicionero en el día de la angustia.
20 Kama mtu anayevua nguo katika hali ya baridi, au kama siki iliyotiwa kwenye magadi, ndivyo alivyo anayeimba wimbo kwa mwenye moyo mzito.
Como el que se quita la ropa en tiempo frío Y como vinagre sobre el bicarbonato de sodio Es cantar canciones al corazón afligido.
21 Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale na kama ana kiu, mpe maji ya kunywa,
Si tu enemigo tiene hambre, dale de comer. Si tiene sed, dale de beber.
22 maana utamwekea mkaa juu ya kichwa chake na Yehova atakupa thawabu.
Porque carbones encendidos amontonas sobre su cabeza, Y Yavé te recompensará.
23 Ni hakika upepo wa kaskazini huleta mvua, ndivyo mtu anayesema siri hufanya sura zikasirike.
Como el viento del norte atrae la lluvia, La boca detractora, el rostro airado.
24 Ni bora kuishi kwenye pembe ya darini kuliko kuchangia nyumba pamoja na mwanamke mgomvi.
Mejor es vivir en un rincón de la azotea Que en casa espaciosa con esposa pendenciera.
25 Kama maji ya baridi kwa mwenye kiu, ndivyo ilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.
Como agua fresca a la persona sedienta Son las buenas noticias desde lejanas tierras.
26 Kama chemchemi iliyochafuliwa au kisima kilichoharibiwa ndivyo alivyo mtu mwema ambaye huyumbayumba mbele ya watu waovu.
Manantial turbio y pozo en ruinas Es el justo que flaquea ante el perverso.
27 Si vema kula asali nyingi mno; hivyo ni kama kutafuta heshima baada heshima.
Comer mucha miel no es bueno, Ni es bueno buscar la propia gloria.
28 Mtu bila kujitawala ni kama mji ulibomolewa na usiokuwa na kuta.
Como una ciudad cuyo muro fue derribado, Es el hombre que no domina su propio espíritu.

< Mithali 25 >