Aionian Verses

Wanawe na binti zake wote wakainuka na kumfariji, lakini alikataa kufarijiwa. Akasema, “Hakika nitashuka kuzimu nikimwombolezea mwanangu.” Babaye akamlilia. (Sheol h7585)
Tad visi viņa dēli un visas viņa meitas cēlās, viņu iepriecināt, bet viņš negribējās iepriecinājams būt un sacīja: ar bēdām es noiešu kapā pie sava dēla. Un viņa tēvs to apraudāja. (Sheol h7585)
Yakobo akasema, “Mwanangu atashuka pamoja nanyi. Kwani ndugu yake amekufa na yeye peke yake amebaki. Ikiwa madhara yatampata katika njia mnayoiendea, ndipo mtakapozishusha mvi zangu kaburini kwa huzuni.” (Sheol h7585)
Bet viņš sacīja: manam dēlam nebūs noiet ar jums, jo viņa brālis ir miris, un tas ir viens pats atlicis. Ja tam kāda nelaime notiks uz ceļa, kur jūs iesiet, tad jūs manus sirmos matus ar sirdēstiem novedīsiet bedrē. (Sheol h7585)
Nanyi mkimchukua huyu naye kutoka kwangu mabaya yanaweza kumpata, mtashusha mvi zangu kwa kaburini kwa huzuni. (Sheol h7585)
Ja tad jūs arī šo paņemsiet no manām acīm un tam kāda nelaime uzies, tad jūs manus sirmos matus ar sirdēstiem novedīsiet kapā. (Sheol h7585)
itakuwa, atakapoona kwamba kijana hayupo nasi atakufa. Na watumishi wako watazishusha mvi za mtumishi wako baba yetu kaburini kwa masikitiko. (Sheol h7585)
Tad notiks, kad tas redzēs, ka tā zēna nav, tad tas mirs, un tavi kalpi novedīs tava kalpa, mana tēva, sirmos matus ar sirdēstiem kapā. (Sheol h7585)
Lakini kama BWANA aumbaye malango ya ardhi ambayo huwameza kama mdomo mkubwa, pamoja na familia zao, na kama wataingia ndani ya shimo wakiwa hai, ndipo mtakapojua kuwa wamemdharau BWANA,” (Sheol h7585)
Bet ja Tas Kungs ko jauna darīs un zeme atvērs savu muti un tos norīs līdz ar visu, kas tiem pieder, ka tie dzīvi nogrimst ellē, tad jūs atzīsiet, ka šie cilvēki To Kungu ir nicinājuši. (Sheol h7585)
Wao na kila mmoja kwenye familia zao wakaingia ndani shimoni wakiwa hai. Dunia ikwafunika, na kwa njia hii wakapotea kutoka miongoni mwa ile jamii. (Sheol h7585)
Un tie dzīvi nogrima ellē ar visu, kas tiem piederēja, un zeme tos apklāja, un tie gāja bojā no draudzes vidus. (Sheol h7585)
Kwa maana moto kuwashwa kwa hasira yangu na inawaka hadi chini mwa Sheoli; inameza ulimwengu na mavuno yake; inawasha moto misingi ya milima. (Sheol h7585)
Jo uguns ir iededzies no Manām dusmām un degs līdz visdziļākai ellei un aprīs zemi ar viņas augļiem un iededzinās kalnu pamatus. (Sheol h7585)
BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol h7585)
Tas Kungs nokauj un dara dzīvu, Viņš noved ellē un atkal uzved augšā. (Sheol h7585)
Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol h7585)
Elles saites mani apņēma, un nāves valgi mani pārvarēja. (Sheol h7585)
Mshughulikie Yoabu kwa hekima ambayo umejifunza, lakini usiache mvi zake ziingie kaburini kwa amani. (Sheol h7585)
Tāpēc dari pēc savas gudrības, ka tu viņa sirmiem matiem nelieci ar mieru nākt kapā. (Sheol h7585)
Kwa hiyo sasa usimwache aiepuke adhabu. Wewe ni mwenye hekima, na utajua jinsi itakavyokupasa kumtendea. Utakileta hicho kichwa chenye mvi chini kaburini.” (Sheol h7585)
Bet tu neturi viņu par nenoziedzīgu, jo tu esi gudrs vīrs un gan zināsi, ko tev viņam būs darīt, ka tu viņa sirmiem matiem ar asinīm lieci nākt bedrē. (Sheol h7585)
kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol h7585)
Mākonis iznīkst un aiziet, - tāpat kas kapā nogrimst, nenāks atkal augšām. (Sheol h7585)
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
Viņa ir augstāka nekā debesis, - ko tu vari darīt? Dziļāka nekā elle, - ko tu vari zināt? (Sheol h7585)
Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol h7585)
Ak, kaut Tu mani apslēptu kapā un mani apsegtu, kamēr Tava dusmība novērstos; kaut Tu man galu nolemtu un tad mani pieminētu! (Sheol h7585)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
Ko man vēl gaidīt, kaps būs mans nams; tumsā es uztaisīšu savu gultu. (Sheol h7585)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)
Kapā tā nogrims, kad it visiem pīšļos būs dusa. (Sheol h7585)
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
Tie pavada savas dienas labklājībā, un acumirklī tie iegrimst kapā. (Sheol h7585)
Kiangazi na joto huondoa barafu; ndivyo kuzimu pia kunavyowaaribu waliotenda dhambi. (Sheol h7585)
Bula laiks un karstums aizņem sniega ūdeni, tāpat elle tos, kas grēkojuši. (Sheol h7585)
Kuzimu kuko wazi mbele ya Mungu; uharibifu hauna kizuizi dhidi yake. (Sheol h7585)
Elle Viņa priekšā ir atvērta, un nāves bezdibenim nav apsega. (Sheol h7585)
kwa kuwa kifoni hakuna kumbukumbu lako. Kuzimuni ni nani atakaye kushukuru? (Sheol h7585)
Jo nāvē Tevi nepiemin; kas kapā Tevi slavēs? (Sheol h7585)
Waovu wamekataliwa na kupelekwa kuzimu, mataifa yote yanayo msahau Mungu. (Sheol h7585)
Bezdievīgie griezīsies atpakaļ uz elli, visi pagāni, kas Dievu aizmirst. (Sheol h7585)
Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol h7585)
Jo Tu manu dvēseli nepametīsi kapā, Savam Svētam Tu neliksi redzēt satrūdēšanu. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol h7585)
Elles saites mani apņēma, un nāves valgi mani pārvarēja. (Sheol h7585)
Yahwe, wewe umeitoa roho yangu kuzimuni; nawe umeniweka hai mbali na kaburi. (Sheol h7585)
Kungs, Tu manu dvēseli esi izvedis no elles, Tu mani dzīvu esi uzturējis, ka neesmu nogrimis kapā. (Sheol h7585)
Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni. (Sheol h7585)
Kungs, neliec man kaunā palikt, jo es Tevi piesaucu; lai bezdievīgie paliek kaunā un top klusināti ellē. (Sheol h7585)
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
Tie taps noguldīti ellē kā avis, nāve tos ganīs; bet tie taisnie par tiem valdīs rītam austot, un viņu augumu aprīs elle, ka nebūs, kur palikt. (Sheol h7585)
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
Bet Dievs atpestīs manu dvēseli no elles varas, jo Viņš mani pieņems. (Sela) (Sheol h7585)
Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao. (Sheol h7585)
Lai nāve tiem uzbrūk, lai tie dzīvi nogrimst ellē, jo blēdības ir iekš viņu dzīvokļiem pašā viņu vidū. (Sheol h7585)
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu kwangu; wewe umeokoa uhai wangu kutoka chini kuzimuni. (Sheol h7585)
Jo Tava žēlastība ir liela pār mani un Tu manu dvēseli esi atpestījis no tās dziļās elles. (Sheol h7585)
Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol h7585)
Jo mana dvēsele ir bēdu pilna, un mana dzīvība ir tikusi klāt pie elles. (Sheol h7585)
Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? (Selah) (Sheol h7585)
Kurš cilvēks dzīvo, kas nāvi neredzēs? Kas savu dvēseli izglābs no kapa varas? (Sela) (Sheol h7585)
Kamba za mauti zilinizunguka, na mitego ya kuzimu ilinikabili; niliona dhiki na huzuni. (Sheol h7585)
Nāves saites mani bija apņēmušas, un elles bēdas man bija uzgājušas, bēdas un bailes man nāca virsū. (Sheol h7585)
Kama nikipaa mbinguni, uko huko; kama nikifanya kitanda changu Kuzimuni, tazama, uko huko. (Sheol h7585)
Ja es kāptu debesīs, tad Tu tur esi; ja es nogultos ellē, redzi, Tu tur arīdzan esi. (Sheol h7585)
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol h7585)
Kā zemi uzplēš un uzar, tā mūsu kauli ir izkaisīti līdz pašam kapam. (Sheol h7585)
Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni. (Sheol h7585)
Kā elle norīsim viņus dzīvus, un sirds skaidrus kā tādus, kas bedrē grimst. (Sheol h7585)
Miguu yake huelekea mauti; hatua zake huelekea njia yote ya kuzimu. (Sheol h7585)
Viņas kājas nokāpj nāvē, viņas soļi aizsniedz elli; (Sheol h7585)
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
Viņas nams ir ceļi uz elli, kas novada nāves kambaros. (Sheol h7585)
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)
Bet tas nemana, ka tur miroņi, un elles dziļumos viņas viesi! (Sheol h7585)
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol h7585)
Elle un viņas bezdibenis ir Tā Kunga priekšā, vai tad ne jo vairāk cilvēku bērnu sirdis! (Sheol h7585)
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol h7585)
Gudram dzīvības ceļš iet uz augšu, lai izbēg no elles apakšā. (Sheol h7585)
Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol h7585)
Tu viņu šaustīsi ar rīkstēm un izglābsi viņa dvēseli no elles. (Sheol h7585)
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol h7585)
Elle un bezdibenis nav pildāmi, tāpat cilvēka acis nav pildāmas. (Sheol h7585)
Kuzimu, tumbo tasa, nchi yenye kiu kwa maji, na moto usiosema, “Inatosha.” (Sheol h7585)
Elle, neauglīgais klēpis, zeme, nepiedzirdināma ar ūdeni, un uguns nesaka: Gan. - (Sheol h7585)
Chochote mkono wako unakifanya, kifanye kwa nguvu zako kwa sababu hakuna kazi, au ufafanuzi au ujuzi au hekima katika Sheol, unapoenda. (Sheol h7585)
Visu, ko tava roka atrod, kas jādara, to dari tikuši(ar visu spēku), jo ne darba, ne padoma, ne ziņas, ne gudrības nav kapā, kur tu noej. (Sheol h7585)
Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol h7585)
Liec mani kā zieģeli pie savas sirds, kā gredzenu pie savas rokas! Mīlestība ir stipra kā nāve un viņas karstums ir varens kā elle; viņas liesmas ir degošas liesmas, Dieva liesmas. (Sheol h7585)
Hivyo basi kuzimu kumeongeza ladha yake na imefungua kinywa chake kwa kiasi kikubwa; wasomi wao, viongozi wao, manabii na wenye furaha miongoni mwao, watashuka kuzimu. (Sheol h7585)
Tādēļ elle atpletusi savu rīkli un atdarījusi savu muti bez mēra, ka nogrimst (Jeruzālemes) greznums un viņas ļaužu drūzma, un viņas troksnis, un kas tur līksmojās. (Sheol h7585)
''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol h7585)
Prasies kādu zīmi no Tā Kunga, sava Dieva, prasi to, vai dziļi dziļumā vai augsti augstumā! (Sheol h7585)
Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
Elle apakšā tevis dēļ rīb, tev pretim ejot; kad tu nāci, viņa tevis dēļ uzmodina mirušos, visus zemes lielkungus, viņa visiem tautu ķēniņiem liek celties no krēsliem. (Sheol h7585)
Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
Tava greznība nogrimusi ellē un tavu kokļu skaņa; kodes būs tavas cisas, un tārpi tavs apsegs. (Sheol h7585)
Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
Tiešām, ellē tu esi nogāzts, pašā bedres dziļumā. (Sheol h7585)
Hii itatokea kwa sababu umesema, '' Tumefannya magano na kifo; maana kuzimu wameyafikia makubaliano. Hivyo basi hukumu itakapopitishwa kwa wingi, haitatufika sisi, maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, na uongo kuwa makazi yetu. (Sheol h7585)
Jo jūs sakāt, mēs derību esam derējuši ar nāvi un esam saderējušies ar elli; lai arī tādas pātagas nāk kā plūdi, tomēr tās mūs neaizņems; jo melus esam likuši sev par patvērumu, un apakš viltus esam apslēpušies. (Sheol h7585)
Agano lako na kifo litafutwa, na makubaliano yako na kuzimu hayatasimama. Pindi mafuriko makali yatapta, yatawazomba njie. (Sheol h7585)
Un jūsu derība ar nāvi taps iznīcināta, un jūsu līgums ar elli, tas nepastāvēs. Kad tās pātagas nāks kā plūdi, tad jūs no tām tapsiet samīti. (Sheol h7585)
''Nimesema kwamba nusu ya maisha yangu nitapita katika mlango wa kuzimu; Nilitumwa pale miaka yangu yote. (Sheol h7585)
Es sacīju: Pašās savās labākās dienās man jānokāpj kapa vārtos, mani atliekamie gadi man top atņemti. (Sheol h7585)
Maana kuzimu hapata kushukuru wewe; kifo hakikusifu wewe; wale wote waendao ndani ya shimo hawana matumaini ya uaminifu wako. (Sheol h7585)
Jo elle Tevi neteic, un nāve Tevi neslavē; tie, kas grimst bedrē, necerē uz Tavu patiesību. (Sheol h7585)
Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol h7585)
Tu iemīlēji viņu gultu un uzlūkoji to vietu. Tu gāji ar eļļu pie ķēniņa un nesi daudz smaržīgu zāļu, un tālu sūtīji savus vēstnešus un meties zemē līdz ellei. (Sheol h7585)
Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol h7585)
Tā saka Tas Kungs Dievs: tai dienā, kad tas ellē nogrima, tad Es cēlu bēdas, Es viņa dēļ apklāju dziļumus un aizturēju viņa upes, un tie varenie ūdeņi apstājās, un Es darīju, ka Lībanus viņa dēļ sērojās, un visi lauka koki nokalta viņa dēļ. (Sheol h7585)
Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol h7585)
No viņa kritiena trokšņa Es pagānus darīju drebam, kad Es viņu ellē nogrūdu pie tiem, kas grimst bedrē. Un visi Ēdenes koki, tie izlasītie un labākie uz Lībanus, visi no ūdens slacinātie koki iepriecinājās zemes apakšā. (Sheol h7585)
Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol h7585)
Tie nogrima arīdzan līdz ar viņu ellē pie tiem zobena nokautiem, kas kā viņa palīgi bija sēdējuši viņa pavēnī starp tautām. (Sheol h7585)
Hodari wa wapiganaji katika Sheoli atasema kuhusu Misri na rafiki zake, 'Wameshuka chini hapa! Watalala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale waliokuwa wameuawa kwa upanga.' (Sheol h7585)
Tie varoņu varenie un viņas palīgi ar viņu runās elles vidū: tie ir nogrimuši, tie guļ starp neapgraizītiem un zobena nokautiem. (Sheol h7585)
Wasilale pamoja mashujaa walioanguka wa wasiotahiriwa walioshuka chini kwa Sheoli pamoja na silaha zao zote za vita, na pamoja na panga zao zote walizoziweka chini ya vichwa vyao na maovu yao juu ya mifupa yao. Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai. (Sheol h7585)
Tie neguļ pie tiem kritušiem neapgraizīto varoņiem, kas ellē nogrimuši ar savām bruņām, kam zobeni likti apakš galvām; viņu noziegumi nākuši pār viņu kauliem, tāpēc ka bija varoņi par briesmām dzīvo zemē. (Sheol h7585)
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol h7585)
Es tos atpestīšu no elles, Es tos atsvabināšu no nāves. Nāve, kur ir tavs mēris, elle, kur ir tavs posts! Žēlums nebūs priekš Manām acīm. (Sheol h7585)
Hata kama watachimba kwenye Sheoli, kuna mkono wangu utawachukua. Hata kama watapanda juu kwenda mbingunu, huko nitawaleta chini. (Sheol h7585)
Jebšu tie ieraktos ellē, taču Mana roka tos dabūs no turienes, un jebšu tie uzkāptu debesīs, taču Es tos no turienes nometīšu. (Sheol h7585)
Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol h7585)
Un sacīja: es piesaucu To Kungu savās bēdās, un Viņš man atbildēja, es kliedzu no elles vēdera, un Tu klausīji manu balsi. (Sheol h7585)
Sababu mvinyo ni msaliti wa kijana mwenye kiburi ili kwamba asistahimili, lakini hukuza tamaa yake kama kaburi na, kama kifo, haitaweza kuridhishwa. Yeye anajikusanyia kila taifa na anakusanya kwaajili yake watu wote. (Sheol h7585)
Un turklāt kā viltīgs vīns ir lepns vīrs; tas nepastāv; tas atpleš savu dvēseli platu kā elli, un kā nāve tas nav pieēdināms; tas rauj pie sevis visas tautas un sakrāj pie sevis visus ļaudis. (Sheol h7585)
Lakini nawaambia yeyote amchukiaye ndugu yake atakuwa katika hatari ya hukumu. Na yeyote amwambiaye ndugu yake kuwa, 'Wewe ni mtu usiyefaa!' atakuwa katika hatari ya baraza. Na yeyote asemaye, 'Wewe mjinga!' atakuwa katika hatari ya moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
Bet Es jums saku: kas ar savu brāli dusmo, tas būs sodāms caur tiesu; bet kas uz savu brāli saka: raka(nevērtīgs)! Tas būs sodāms caur augsto tiesu; bet kas saka: ģeķi(bezdievis)! Tas būs sodāms elles ugunī. (Geenna g1067)
Na kama jicho lako la kulia linakusababisha kujikwaa, ling'oe na ulitupe mbali nawe. Kwa kuwa ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna g1067)
Bet ja tava labā acs tevi apgrēcina, izrauj to un met nost; jo tas tev labāki, ka viens no taviem locekļiem pazūd, nekā kad visa tava miesa top iemesta ellē. (Geenna g1067)
Na kama mkono wako wa kuume unakusababisha kujikwaa, ukate kisha uutupilie mbali nawe. Maana ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna g1067)
Un ja tava labā roka tevi apgrēcina, nocērt to un met nost; jo tas tev labāki, ka viens no taviem locekļiem pazūd, nekā kad visa tava miesa top iemesta ellē. (Geenna g1067)
Msiwaogope wale ambao wanaua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho. Badala yake, mwogopeni yule ambaye awezaye kuangamiza mwili na roho kule kuzimu. (Geenna g1067)
Un nebīstaties no tiem, kas miesu nokauj un dvēseli nevar nokaut; bet bīstaties vairāk no tā, kas miesu un dvēseli var nomaitāt ellē. (Geenna g1067)
Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs g86)
Un tu Kapernaūma, kas līdz debesīm esi paaugstināta, tu līdz ellei tapsi nogāzta; jo kad Sodomā tie brīnumi būtu notikuši, kas iekš tevis notikuši, tad viņa vēl šodien stāvētu. (Hadēs g86)
Na yeyote asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu, hilo atasamehewa. Lakini yeyote asemaye kinyume na Roho Mtakatifu, huyo hatasamehewa, katika ulimwengu huu, na wala ule ujao (aiōn g165)
Un kas ko runā pret To Cilvēka Dēlu, tam tas taps piedots; bet kas ko runā pret Svēto Garu, tam netaps piedots nedz šinī, nedz nākošā mūžā. (aiōn g165)
Aliyepandwa kati ya miti ya miiba, huyu ni yule alisikiaye neno lakini masumbuko ya ulimwengu na udaganyifu wa utajiri hulisonga lile neno lisije likazaa matunda. (aiōn g165)
Bet kas starp ērkšķiem sēts, ir tas, kas to vārdu dzird, un šīs pasaules zūdīšanās un bagātības viltība apslāpē to vārdu, un tas nenes augļus. (aiōn g165)
Na mavuno ni mwisho wa ulimwengu, na wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
Un tas ienaidnieks, kas to sējis, ir velns, un tas pļaujamais laiks ir šīs pasaules pastara gals, un tie pļāvēji ir tie eņģeļi. (aiōn g165)
Kama vile magugu yanavyo kusanywa na kuchomwa moto, hivyo ndivyo itakavyo kuwa mwisho wa ulimwengu. (aiōn g165)
Tad nu tā kā tā niknā zāle top salasīta un ugunī sadedzināta, tā arī notiks šīs pasaules pastara galā. (aiōn g165)
Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. (aiōn g165)
Tā tas būs pasaules pastara galā; tie eņģeļi izies un atšķirs ļaunos no taisniem, (aiōn g165)
Nami pia ninakwambia kuwa wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu. Milango ya kuzimu haitalishinda. (Hadēs g86)
Un Es arīdzan tev saku: “Tu esi Pēteris, un uz šo akmeni Es Savu draudzi gribu uztaisīt, un elles vārtiem to nebūs uzvarēt.” (Hadēs g86)
kama mkono wako au mguu wako ukikusababishia kukwazika, ukate na uutupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe kuingia kwenye uzima ukiwa bila mkono au kilema, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote au miguu yote. (aiōnios g166)
Tāpēc, ja tava roka vai tava kāja tevi apgrēcina, tad nocērt to un met to nost; jo tas tev labāki, ka tu ieej dzīvošanā tizls vai kroplis, nekā tev ir divas rokas vai kājas, un tu topi iemests mūžīgā ugunī. (aiōnios g166)
Kama jicho lako likikukwaza, uling`oe na ulitupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe uingie kwenye uzima na jicho moja, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na macho yote. (Geenna g1067)
Un ja tava acs tevi apgrēcina, izrauj to un met to nost; tas tev labāki, ar vienu aci ieiet dzīvošanā, nekā tev ir divas acis, un tu topi iemests elles ugunī. (Geenna g1067)
Tazama mtu mmoja akaja kwa Yesu na kusema, “Mwalimu, ni kitu gani kizuri ninachotakiwa kufanya ili nipate kuwa na uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Un redzi, viens piegājis uz Viņu sacīja: “Labais Mācītāj, ko laba man būs darīt, lai es dabūju mūžīgu dzīvošanu?” (aiōnios g166)
Kila mmoja wenu aliyeacha nyumba, kaka, dada, baba, mama, watoto, au shamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele. (aiōnios g166)
Un kas atstāj mājas vai brāļus, vai māsas, vai tēvu, vai māti, vai sievu, vai bērnus, vai tīrumus Mana Vārda dēļ, tas to ņems simtkārtīgi, un iemantos mūžīgu dzīvošanu. (aiōnios g166)
Aliona mtini kandokando ya barabara. Akauendea, lakini hakupata kitu juu yake isipokuwa majani. Aliuambia, “Kusiwe na matunda kwako daima tena.” Na mara hiyo mtini ule ukanyauka. (aiōn g165)
Un Viņš redzēja vienu vīģes koku ceļmalā, piegāja pie tā un neatrada uz tā nenieka, kā tik lapas vien, un uz to sacīja: “Uz tevis lai nemūžam vairs auglis neaug.” Un tūdaļ tas vīģes koks nokalta. (aiōn g165)
Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna g1067)
Ak vai jums, rakstu mācītājiem un farizejiem! Jūs liekuļi! Jo jūs pārstaigājat jūru un zemi, ka jūs vienu par Jūdu ticības biedri darāt, un kad tas tāds palicis, tad jūs viņu darāt par elles bērnu divkārt vairāk, nekā jūs paši esat. (Geenna g1067)
Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna g1067)
Jūs čūskas un odžu dzimums, kā jūs izbēgsiet no elles sodības? (Geenna g1067)
Na alipokaa katika Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake walimwendea kwa faragha na kusema, “Tuambie, mambo haya yatatokea lini? Kitu gani kitakuwa dalili ya kuja kwako na mwisho wa ulimwengu?” (aiōn g165)
Un Viņam uz Eļļas kalna sēžot, tie mācekļi piegāja sevišķi un sacīja: “Saki mums, kad šīs lietas notiks, un kāda būs Tavas atnākšanas un pastara laika zīme?” (aiōn g165)
Ndipo atawaambia hao walio mkono wake wa kushoto, 'Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, nendeni katika moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake, (aiōnios g166)
Tad viņš arī uz tiem pa kreiso roku sacīs: ejat nost no Manis, jūs nolādētie, mūžīgā ugunī, kas ir sataisīts velnam un viņa eņģeļiem. (aiōnios g166)
Hawa watakwenda katika adhabu ya milele bali wenye haki katika uzima wa milele.” (aiōnios g166)
Un tie ieies mūžīgās mokās, bet tie taisnie mūžīgā dzīvošanā.” (aiōnios g166)
Wafundisheni kuyatii mambo yote niliyowaamuru, Na tazama, mimi niko pamoja nanyi daima, hata mpaka mwisho wa dunia. (aiōn g165)
Tos mācīdami turēt visu, ko Es jums esmu pavēlējis; un, redzi, Es esmu pie jums ikdienas līdz pasaules galam. Āmen.” (aiōn g165)
lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn g165, aiōnios g166)
Bet kas To Svēto Garu zaimo, tas nemūžam nedabū piedošanu, bet ir sodāms caur mūžīgu sodību.” (aiōn g165, aiōnios g166)
lakini masumbufu ya dunia, udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo mengine, huwaingia na kulisonga neno, na linashindwa kuzaa matunda. (aiōn g165)
Un šīs pasaules rūpes un bagātības viltība un citas kārības iemetās un noslāpē to vārdu un tas paliek neauglīgs. (aiōn g165)
Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. (Geenna g1067)
Jeb kad tev tava roka apgrēcina, nocērt to; tas tev ir labāki, ka tu kroplis ieej dzīvošanā, nekā tev ir divas rokas, un tu noej ellē, tai neizdzēšamā ugunī, (Geenna g1067)
Kama mguu wako ukikukosesha, ukate. Ni vyema kwako kuingia uzimani ukiwa kilema, kuliko kutupwa hukumuni na miguu miwili. (Geenna g1067)
Un kad tava kāja tevi apgrēcina, tad nocērt to; tas tev ir labāki, ka tu tizls ieej dzīvošanā, nekā tev ir divas kājas, un topi mests ellē, tai neizdzēšamā ugunī, (Geenna g1067)
Kama jicho lako likikukosesha ling'oe. Ni vyema kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa kuzimu. (Geenna g1067)
Un kad tava acs tevi apgrēcina, tad izrauj to; tas tev ir labāki, ka tu vienacis ieej Dieva valstībā, nekā tev ir divas acis, un tu topi iemests elles ugunī, (Geenna g1067)
Na alipoanza safari yake mtu mmoja alimkimbilia na akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niweze kurithi uzima ya milele?” (aiōnios g166)
Un kad Viņš bija izgājis uz ceļu, tad viens pieskrēja un ceļos nometies Viņu lūdza: “Labais Mācītāj, ko man būs darīt, lai iemantoju mūžīgu dzīvošanu?” (aiōnios g166)
ambaye hatapokea mara mia zaidi ya sasa hapa duniani: nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na ardhi, kwa mateso, na ulimwengu ujao, uzima wa milele. (aiōn g165, aiōnios g166)
Kas nedabūs simtkārtīgi jau šinī laikā namus un brāļus un māsas un mātes un bērnus un tīrumus pie tām vajāšanām, un nākošā laikā mūžīgu dzīvošanu. (aiōn g165, aiōnios g166)
Aliuambia, “Hakuna yeyote atakayekula tunda kutoka kwako tena”. Na wanafunzi wake wakasikia. (aiōn g165)
Un Jēzus uzrunāja un uz to sacīja: “Lai neviens nemūžam vairs neēd augļus no tevis.” Un Viņa mācekļi klausījās. (aiōn g165)
Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn g165)
Un Viņš valdīs pār Jēkaba namu mūžīgi, un Viņa valstībai nebūs gals.” (aiōn g165)
(kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn g165)
Kā Viņš runājis mūsu tēviem, Ābrahāmam un viņa bērniem mūžīgi.” (aiōn g165)
kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn g165)
Kā Tas pirmajos laikos runājis caur Savu svēto praviešu muti; (aiōn g165)
Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos g12)
Un tie Viņam lūdza, lai tiem nepavēlētu bezdibenī nokāpt. (Abyssos g12)
Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs g86)
Un tu, Kapernaūma, kas līdz debesīm esi paaugstināta, tu līdz ellei tapsi nogrūsta. (Hadēs g86)
Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios g166)
Un redzi, viens rakstu mācītājs cēlās, Viņu kārdinādams, un sacīja: “Mācītāj, ko man būs darīt, ka es iemantoju mūžīgu dzīvošanu?” (aiōnios g166)
Lakini nitawaonya mtakaye mwogopa. Mwogopeni yule ambaye baada ya kuwa ameua, ana mamlaka ya kutupa jehanamu. Ndiyo, nawaambiani ninyi, mwogopeni huyo. (Geenna g1067)
Bet Es jums rādīšu, no kā jums jābīstas: bīstaties no tā, kam ir vara nokaut un tad iemest ellē: tiešām, Es jums saku, no tā bīstaties. (Geenna g1067)
Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn g165)
Un Tas Kungs uzteica to netaisno nama turētāju, ka tas gudri bija darījis; jo šīs pasaules bērni ir gudrāki savā kārtā nekā tie gaismas bērni. (aiōn g165)
Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
Un Es jums saku: dariet sev draugus no tās netaisnās mantas, ka tie, kad jums nu pietrūkst, jūs uzņem tais mūžīgos dzīvokļos. (aiōnios g166)
Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs g86)
Kad tas nu bija ellē un mokās, tad tas pacēla savas acis un redzēja Ābrahāmu no tālienes un Lāzaru viņa klēpī, (Hadēs g86)
Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' (aiōnios g166)
Un viens virsnieks Tam jautāja un sacīja: “Labais Mācītāj, ko man būs darīt, lai es iemantoju mūžīgu dzīvošanu?” (aiōnios g166)
ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' (aiōn g165, aiōnios g166)
Kas to daudzkārtīgi neatdabūs šinī laikā, un nākošā laikā mūžīgu dzīvošanu.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
Un Jēzus atbildēdams uz tiem sacīja: “Šīs pasaules bērni precē un top precēti. (aiōn g165)
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
Bet tie, kas būs cienīgi tikt pie mūžīgas dzīvošanas un pie tās augšāmcelšanās no miroņiem, tie nedz precē, nedz top precēti. (aiōn g165)
ili kwamba wote watakaomwamini wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
Lai ikviens, kas tic uz Viņu, dabū mūžīgu dzīvošanu. (aiōnios g166)
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, kwamba akamtoa mwanae wa pekee, ili kwamba mtu yeyote amwaminiye asiangamie bali awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Jo tik ļoti Dievs pasauli mīlējis, ka Viņš Savu vienpiedzimušo Dēlu devis, ka visiem tiem, kas tic uz Viņu, nebūs pazust, bet dabūt mūžīgu dzīvošanu. (aiōnios g166)
Yeye amwaminiye Mwana anao uzima wa milele, lakini kwa yeye asiye mtii Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu hushikamana juu yake. (aiōnios g166)
Kas tic uz To Dēlu, tam ir mūžīga dzīvība; bet kas Tam Dēlam neklausa, tas dzīvību neredzēs, bet Dieva dusmība uz tā paliek.” (aiōnios g166)
lakini yeye atakaye kunywa maji nitakayompa hatapata kiu tena. Badala yake maji nitakayompa yatakuwa chemchemi inayobubujika hata milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Bet ja kas dzers no tā ūdens, ko Es tam došu, tam neslāps ne mūžam; bet tas ūdens, ko Es tam došu, iekš viņa taps par ūdens avotu, kas verd uz mūžīgu dzīvošanu.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Yeye avunaye hupokea mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yeye apandaye naye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios g166)
Un kas pļauj, tas dabū algu un sakrāj augļus uz mūžīgu dzīvošanu, ka abi var priecāties kopā, sējējs un pļāvējs. (aiōnios g166)
Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani. (aiōnios g166)
Patiesi, patiesi, Es jums saku: kas Manu vārdu dzird un Tam tic, kas Mani sūtījis, tam ir mūžīga dzīvība, un tas nenāk sodībā, bet no nāves ir iegājis dzīvībā. (aiōnios g166)
Mnayachunguza maandiko mkidhani ndani yake mna uzima wa milele, na hayo maandiko yanashuhudia habari zangu na (aiōnios g166)
Meklējat rakstos, jo jums šķiet, ka tur iekšā jums ir mūžīga dzīvība, un tie ir, kas liecību dod par Mani. (aiōnios g166)
Acheni kukifanyia kazi chakula chenye kuharibika, bali mkifanyie kazi chakula kidumucho hata milele kile ambacho mwana wa Adamu atawapa, kwa kuwa Mungu Baba ameweka muhuri juu yake.” (aiōnios g166)
Dzenaties ne pēc tās barības, kas zūd, bet pēc tās barības, kas paliek līdz mūžīgai dzīvošanai, ko Tas Cilvēka Dēls jums dos, jo šo Dievs Tas Tēvs ir apzieģelējis.” (aiōnios g166)
Kwa kuwa haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba yeyote amtazamaye Mwana na kumwamini apate uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
Un šis ir Tā prāts, kas Mani sūtījis, ka ikvienam, kas To Dēlu redz un uz Viņu tic, ir mūžīga dzīvība, un Es viņu uzmodināšu pastara dienā.” (aiōnios g166)
Amini, amini yeye aaminiye anao uzima wa milele. (aiōnios g166)
Patiesi, patiesi, Es jums saku: kas tic uz Mani, tam ir mūžīga dzīvība. (aiōnios g166)
Mimi ni mkate uishio ambao umeshuka kutoka mbinguni. Kama mtu yeyote akila sehemu ya mkate huu, ataishi milele. Mkate nitakao utoa ni mwili wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn g165)
Es esmu tā dzīvā maize, kas nākusi no debesīm; ja kas ēd no šīs maizes, tas dzīvos mūžīgi. Un tā maize, ko Es došu, ir Mana miesa, ko Es došu par pasaules dzīvību.” (aiōn g165)
Yeyote aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
Kas Manu miesu ēd un Manas asinis dzer, tam ir mūžīga dzīvība, un Es viņu uzmodināšu pastara dienā. (aiōnios g166)
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, sio kama vile mababa walivyo kula wakafa. Yeye aulaye mkate huu ataishi milele. (aiōn g165)
Šī ir tā maize, kas nākusi no debesīm, ne tā, kā mūsu tēvi to manna ir ēduši un nomiruši; kas šo maizi ēd, tas dzīvos mūžīgi.” (aiōn g165)
Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele, (aiōnios g166)
Sīmanis Pēteris Viņam atbildēja: “Kungs, pie ka mēs iesim? Tev ir mūžīgas dzīvības vārdi, (aiōnios g166)
Mtumwa hakai nyumbani wakati wote; mwana hudumu siku zote. (aiōn g165)
Bet kalps mūžam namā nepaliek; dēls paliek mūžam. (aiōn g165)
Amini, amini, nawaambia, iwapo yeyote atalishika neno langu, hataona mauti kamwe.” (aiōn g165)
Patiesi, patiesi, Es jums saku, kas Manu vārdu turēs, tas nāvi neredzēs ne mūžam.” (aiōn g165)
Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kuwa una pepo. Abrahamu na mabii walikufa; lakini unasema, 'Ikiwa mtu atalishika neno langu, hataonja mauti'. (aiōn g165)
Tad tie Jūdi uz To sacīja: “Tagad mēs nomanām, ka Tev ir velns. Ābrahāms nomiris un tie pravieši, un Tu saki: kas Manu vārdu turēs, tas nāvi nebaudīs ne mūžam. (aiōn g165)
Tangu kuanza kwa Ulimwengu haijawahi kamwe kusikiwa kwamba yeyote ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. (aiōn g165)
Tas ne mūžam vēl nav dzirdēts, ka kāds ir atdarījis tāda acis, kas neredzīgs piedzimis. (aiōn g165)
Nimewapa uzima wa milele; hawataangamia kamwe, na hakuna hata mmoja atakayewanyakuwa kutoka mkononi mwangu. (aiōn g165, aiōnios g166)
Un Es tām dodu mūžīgu dzīvību, un tās ne mūžam neies bojā, un neviens tās neizraus no Manas rokas. (aiōn g165, aiōnios g166)
na yeye aishiye na kuniamini mimi hatakufa. Unaamini hili?” (aiōn g165)
Un ikviens, kas dzīvo un tic uz Mani, tas nemirs ne mūžam. Vai tu to tici?” (aiōn g165)
Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimemngu huu atausalimisha hata uzima wa milele. (aiōnios g166)
Kas savu dzīvību tur mīļu, tas to pazaudēs; un kas savu dzīvību šinī pasaulē ienīst, tas to paturēs uz mūžīgu dzīvošanu. (aiōnios g166)
Mkutano wakamjibu, “Sisi tumesikia katika sheria ya kwamba Kristo atadumu hata milele. Nawe wasemaje, 'Mwana Adamu lazima ainuliwe juu'? Huyu Mwana wa Mtu ni nani?” (aiōn g165)
Tad tie ļaudis Viņam atbildēja: “Mēs no bauslības esam dzirdējuši, ka Kristum būs palikt mūžīgi, un kā Tu saki, ka Tam Cilvēka Dēlam būs tapt paaugstinātam? Kurš ir šis Cilvēka dēls?” (aiōn g165)
Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi - kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo kwao.” (aiōnios g166)
Un Es zinu, ka Viņa pavēle ir mūžīga dzīvošana. Tāpēc, ko Es runāju, to Es tā runāju, kā Man Tas Tēvs ir sacījis.” (aiōnios g166)
Petro akamwambia, “Hutaniosha miguu yangu kamwe.” Yesu akamjibu, “Ikiwa sitakuosha, hutakuwa na sehemu pamoja nami.” (aiōn g165)
Tad Pēteris uz Viņu saka: “Nemūžam Tev nebūs manas kājas mazgāt.” Jēzus tam atbildēja: “Ja Es tevi nemazgāšu, tad tev nebūs daļas ar Mani.” (aiōn g165)
Na nitamwomba Baba, Naye atawapa Msaidizi mwingine ili kwamba aweze kuwa pamoja nanyi milele, (aiōn g165)
Un Es To Tēvu lūgšu, un Tas jums dos citu iepriecinātāju, lai Tas pie jums paliek mūžīgi, (aiōn g165)
kama vile ulivyompatia mamlaka juu ya vyote vyenye mwili ili awape uzima wa milele wale wote uliompatia. (aiōnios g166)
Itin kā Tu Viņam esi devis varu pār visu miesu, lai Viņš visiem tiem, ko Tu Viņam esi devis, dotu mūžīgu dzīvību. (aiōnios g166)
Huu ndio uzima wa milele: kwamba wakujue wewe, Mungu wa kweli na wa pekee, na yeye uliyemtuma, Yesu Kristo. (aiōnios g166)
Bet šī ir tā mūžīgā dzīvība, ka viņi Tevi atzīst, to vienīgo patieso Dievu, un To, ko Tu esi sūtījis, Jēzu Kristu. (aiōnios g166)
Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs g86)
Jo Tu manu dvēseli nepametīsi kapā, nedz Savam Svētam liksi redzēt satrūdēšanu. (Hadēs g86)
Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs g86)
To tas paredzēdams ir runājis par Kristus augšāmcelšanos, ka Viņa dvēsele nav pamesta kapā nedz Viņa miesa redzējusi satrūdēšanu. (Hadēs g86)
Yeye ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote, ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu. (aiōn g165)
Ko debesīm būs uzņemt līdz tam laikam, kad viss būs atjaunots, par ko Dievs jau sen ir runājis caur visu Savu svēto praviešu muti. (aiōn g165)
Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios g166)
Bet Pāvils un Barnaba ar drošību sacīja: tas Dieva vārds papriekš uz jums bija jārunā, bet kad jūs to atmetat un sev pašus necienīgus turat mantot mūžīgu dzīvošanu, redzi, tad mēs griežamies pie tiem pagāniem. (aiōnios g166)
Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios g166)
Kad nu tie pagāni to dzirdēja, tad tie priecājās un slavēja Tā Kunga vārdu, un ticēja, cik uz mūžīgu dzīvošanu bija izredzēti. (aiōnios g166)
Hivi ndivyo asemavyo Bwana aliyefanya mambo haya yajulikanayo tangu enzi za zamani. (aiōn g165)
Dievam visi Savi darbi ir zināmi no mūžības. (aiōn g165)
Maana mambo yake yasioonekana vizuri yamekuwa wazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Yanaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa. Mambo haya ni uwezo wake wa milele na asili ya uungu. Matokeo yake, watu hawa hawana udhuru. (aïdios g126)
Jo Viņa neredzamā būšana no pasaules radīšanas pie tiem darbiem top nomanīta un ieraudzīta, gan Viņa mūžīgais spēks, gan Viņa dievība, tā ka tie nevar aizbildināties. (aïdios g126)
Ni wao walioibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, na ambao waliabudu na kutumikia viumbe badala ya Muumbaji, ambaye anasifiwa milele. Amina. (aiōn g165)
Dieva patiesību tie ir pārvērtuši melos un radītas lietas lielākā godā turējuši un tām vairāk kalpojuši nekā tam Radītājam, kas ir augsti teicams mūžīgi! Āmen. (aiōn g165)
kwa wale ambao kwa uthabiti wa matendo mema wametafuta sifa, heshima na kutokuharibika, atawapa uzima wa milele. (aiōnios g166)
Tiem, kas pastāvīgi labā darbā godu un slavu un neiznīcību meklē - mūžīgu dzīvošanu; (aiōnios g166)
Hii ilitokea ili kwamba, kama dhambi ilivyotawala katika kifo, ndivyo hata neema inaweza kutawala kupitia haki kwa ajili ya maisha ya milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)
Lai, kā grēks ir valdījis ar nāvi, tāpat arī žēlastība valda caur taisnību uz mūžīgu dzīvošanu caur Jēzu Kristu, mūsu Kungu. (aiōnios g166)
Lakini kwa kuwa sasa mmefanywa huru mbali na dhambi na mmefanyika watumwa kwa Mungu, mna tunda kwa ajili ya utakaso. Tokeo ni uzima wa milele. (aiōnios g166)
Bet tagad, kad jūs no grēka esat atsvabināti un Dievam kalpojat, tad jums ir savs auglis, ka paliekat svēti; bet tas gals ir mūžīga dzīvošana. (aiōnios g166)
Kwa kuwa mshahara wa dhambi ni mauti, bali zawadi ya bure ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios g166)
Jo grēka nopelns ir nāve; bet Dieva dāvana ir mūžīga dzīvība iekš Kristus Jēzus, mūsu Kunga. (aiōnios g166)
Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn g165)
Tiem tie tēvi, no kuriem arī Kristus pēc miesas; tas ir Dievs pār visiem, augsti teicams mūžīgi. Āmen. (aiōn g165)
Na usiseme, 'Nani atashuka katika shimo?”' (Hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu). (Abyssos g12)
Jeb: kas nokāps bezdibenī? Proti Kristu no miroņiem atvest. (Abyssos g12)
Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi, ili aweze kuwahurumia wote. (eleēsē g1653)
Jo Dievs visus ir saslēdzis nepaklausībā, ka lai Viņš par visiem apžēlotos. (eleēsē g1653)
Kwa maana kutoka kwake, na kwa njia yake na kwake, vitu vyote vipo. Kwake uwe utukufu milele. Amina. (aiōn g165)
Jo no Viņa un caur Viņu un uz Viņu ir visas lietas. Viņam lai ir gods mūžīgi! Āmen. (aiōn g165)
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn g165)
Un nepaliekat šai pasaulei līdzīgi, bet pārvēršaties, savā prātā atjaunodamies, ka jūs varat pārbaudīt, kas ir tas labais un patīkamais un pilnīgais Dieva prāts. (aiōn g165)
Sasa kwake yeye aliye na uwezo kufanya msimame kulingana na injili na mafundisho ya Yesu Kristo, kulingana na ufunuo wa siri iliyofichwa kwa muda mrefu, (aiōnios g166)
Bet Tam, kas jūs spēj stiprināt pēc mana evaņģēlija un Jēzus Kristus sludināšanas, pēc tā noslēpuma parādīšanas, kas no mūžīgiem laikiem nav bijis dzirdēts, (aiōnios g166)
lakini sasa imekwisha funuliwa na kufanywa kujulikana na maandiko ya unabii kulingana na amri ya Mungu wa milele, kwa utii wa imani miongoni mwa mataifa yote? (aiōnios g166)
Bet tagad zināms darīts un caur praviešu rakstiem pēc tā mūžīgā Dieva pavēlēšanas ir sludināts visiem pagāniem, lai šie ticībai paklausa, (aiōnios g166)
Kwa Mungu pekee mwenye hekima, kupitia Yesu Kristo, kuwe na utukufu milele yote. Amina (aiōn g165)
Tam vienam gudram Dievam lai ir gods mūžīgi caur Jēzu Kristu. Āmen. (aiōn g165)
Yuko wapi mtu mwenye busara? Yuko wapi mwenye elimu? Yuko wapi msemaji mshawishi wa dunia hii? Je, Mungu hakuigeuza hekima ya dunia hii kuwa ujinga? (aiōn g165)
Kur tie gudrie? Kur tie rakstu mācītāji? Kur tie šī laika zinātnieki? Vai šīs pasaules gudrību Dievs nav darījis par ģeķību? (aiōn g165)
Sasa tunaizungumza hekima miongoni mwa watu wazima, lakini si hekima ya dunia hii, au ya watawala wa nyakati hizi, ambao wanaopita. (aiōn g165)
Bet mēs sludinājam, kas gan gudrība pie tiem pilnīgiem, bet kas nav gudrība pie šīs pasaules, nedz pie šīs pasaules valdniekiem, kas iznīkst; (aiōn g165)
Badala yake, tunaizungumza hekima ya Mungu katika ukweli uliofichika, hekima iliyofichika ambayo Mungu aliichagua kabla ya nyakati za utukufu wetu. (aiōn g165)
Bet mēs sludinājam Dieva gudrību noslēpumā, to apslēpto, ko Dievs priekš pasaules laikiem ir nolēmis mums par godību. (aiōn g165)
Hakuna yeyote wa watawala wa nyakati hizi aliyeijua hekima hii, Kama wangeifahamu katika nyakati zile, wasingelimsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn g165)
To neviens no šīs pasaules virsniekiem nav atzinis; jo, ja tie To būtu atzinuši, tad tie To godības Kungu nebūtu krustā situši. (aiōn g165)
Mtu asijidanganye mwenyewe, kama yeyote miongoni mwenu anadhani ana hekima katika nyakati hizi, awe kama “mjinga” ndipo atakuwa na hekima. (aiōn g165)
Lai neviens nepieviļas. Ja kam jūsu starpā šķiet, ka viņš gudrs šinī pasaulē, tas lai top ģeķis, lai kļūst gudrs. (aiōn g165)
Kwa hiyo, ikiwa chakula kinasababisha kumkwaza kaka au dada, sitakula nyama kamwe, ili nisimsababishe kaka au dada yangu kuanguka. (aiōn g165)
Tādēļ, ja manam brālim barība par piedauzīšanu, tad es nemūžam gaļu neēdīšu, lai savu brāli neapgrēcināju. (aiōn g165)
Basi mambo hayo yalitendeka kama mifano kwetu. Yakaandikwa ili kutuonya sisi - tuliofikiliwa na miisho ya zamani. (aiōn g165)
Un viss tas viņiem noticis kā priekšzīme, un ir uzrakstīts par mācību mums, uz kuriem pasaules gals ir nācis. (aiōn g165)
“Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?” (Hadēs g86)
Nāve, kur ir tavs dzelonis? Elle, kur ir tava uzvarēšana? (Hadēs g86)
Katika uchaguzi wao, mungu wa ulimwengu huu amewapofusha fahamu zao zisizoamini. Matokeo yake, hawawezi kuona nuru ya injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu. (aiōn g165)
Iekš tiem šās pasaules dievs ir apstulbojis neticīgās sirdis, lai tiem nespīd tā godības pilna evaņģēlija spožums no Kristus, kas ir Dieva ģīmis. (aiōn g165)
Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu uzidio vipimo vyote. (aiōnios g166)
Jo mūsu bēdas, kas ir īsas un vieglas, mums padara neizsakot lielu, mūžīgu un pastāvīgu godību, (aiōnios g166)
Kwa kuwa hatutazami kwa ajili ya vitu ambavyo vinaonekana, bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana. Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani ni vya milele. (aiōnios g166)
Mums, kas neņemam vērā to, kas redzams, bet to, kas nav redzams. Jo kas redzams, tas ir laicīgs; bet kas nav redzams, tas ir mūžīgs. (aiōnios g166)
Tunajua kwamba kama maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu. Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu, bali ni nyumba ya milele, katika mbingu. (aiōnios g166)
Jo mēs zinām, kad mūsu laicīgais mājoklis, šī būda būs salauzta, tad mums ir ēka no Dieva, mājoklis ne rokām taisīts, kas ir mūžīgs debesīs. (aiōnios g166)
Ni kama ilivyoandikwa: “Ametapanya utajiri wake na kuutoa kwa maskini. Haki yake yadumu milele.” (aiōn g165)
Tā kā ir rakstīts: “Viņš ir kaisījis un nabagiem devis, Viņa taisnība paliek mūžīgi.” (aiōn g165)
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anatukuzwa milele, anajua kwamba mimi sidanganyi. (aiōn g165)
Mūsu Kunga Jēzus Kristus Dievs un Tēvs, kas ir augsti teicams mūžīgi mūžam, Tas zin, ka es nemeloju. (aiōn g165)
aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn g165)
Kas pats ir nodevies par mūsu grēkiem, ka mūs izrautu no šās tagadējas niknās pasaules pēc mūsu Dieva un Tēva prāta. (aiōn g165)
Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn g165)
Viņam lai ir gods mūžīgi mūžam! Āmen. (aiōn g165)
Kila apandaye mbegu katika asili yake ya dhambi atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye mbegu katika Roho, atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho. (aiōnios g166)
Ja kas sēj uz savu miesu, tas no tās miesas pļaus samaitāšanu; bet kas sēj uz To Garu, tas pļaus no Tā Gara mūžīgu dzīvošanu. (aiōnios g166)
Alimketisha Kristo juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi, na kila jina litajwalo. Alimketisha Yesu si tu kwa wakati huu lakini kwa wakati ujao pia. (aiōn g165)
Pāri par ikkatru virsniecību un valdību un spēku un kundzību un ikkatru vārdu, kas top dēvēts ne vien šinī laikā bet arī nākamā. (aiōn g165)
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
Iekš kuriem jūs citkārt staigājuši pēc šās pasaules ieraduma un pēc tā virsnieka, kas valda gaisā, gara, kas tagad spēcīgi darbojās iekš neticības bērniem; (aiōn g165)
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
Ka Tas nākamos laikos parādītu Savas žēlastības pārliekam lielo bagātību caur to laipnību pār mums iekš Kristus Jēzus. (aiōn g165)
inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn g165)
Un visus apgaismot, lai saprot, kā ir gājis ar to noslēpumu, kas no iesākuma bija apslēpts iekš Dieva, tā visu radītāja; (aiōn g165)
Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
Pēc tā mūžīgā nodoma, ko Viņš ir izdarījis iekš Kristus Jēzus, mūsu Kunga, (aiōn g165)
kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Tam lai ir gods iekš tās draudzes un iekš Kristus Jēzus uz radu radiem mūžīgi mūžam! Āmen. (aiōn g165)
kwa kuwa vita yetu si ya damu na nyama, bali ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala wa ulimwengu wa uovu na giza, dhidi ya pepo katika sehemu za mbingu. (aiōn g165)
Jo mums nav cīnīšanās pret miesu un asinīm, bet pret tām valdībām un varām, pret tiem pasaules valdītājiem šīs pasaules tumsībā, pret tiem ļauniem gariem gaisā. (aiōn g165)
Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Bet mūsu Dievam un Tēvam lai ir gods mūžīgi mūžam. Āmen. (aiōn g165)
Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn g165)
To noslēpumu, kas ir bijis paslēpts no mūžīgiem laikiem un no dzimumu dzimumiem, bet tagad skaidri ir parādīts Viņa svētiem; (aiōn g165)
Watateseka kwa maangamizi ya milele wakiwa wametengwa na uwepo wa Bwana na utukufu wa nguvu zake. (aiōnios g166)
Tie par sodību cietīs mūžīgu samaitāšanu no Tā Kunga vaiga un no Viņa spēka godības, (aiōnios g166)
Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios g166)
Bet pats mūsu Kungs Jēzus Kristus un mūsu Dievs un Tēvs, kas mūs ir mīlējis un devis mūžīgu iepriecināšanu un labu cerību iekš žēlastības, (aiōnios g166)
Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
Bet tādēļ man žēlastība ir notikusi, lai it īpaši pie manis Jēzus Kristus parādītu visu lēnprātību tiem par priekšzīmi, kas iekš Viņa ticēs uz mūžīgu dzīvošanu. (aiōnios g166)
Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Bet Tam mūžīgam, neiznīcīgam Ķēniņam, Tam neredzamam vienīgam gudram Dievam lai ir gods un slava mūžīgi mūžam! Āmen. (aiōn g165)
Piga vita vizuri vya imani. Shikilia uzima wa milele ulioitiwa. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba ulitoa ushuhuda mbele ya mashahidi wengi kwa kile kilicho chema. (aiōnios g166)
Cīnies to labo ticības cīnīšanos, sagrāb to mūžīgo dzīvību, uz ko tu arīdzan esi aicināts un esi apliecinājis labu liecību daudz liecinieku priekšā. (aiōnios g166)
Peke yake anaishi milele na akaaye katika mwanga usiokaribiriwa. Hakuna mtu awezaye kumwona wala awezaye kumtazama. Kwake iwe heshima na uweza wa milele. Amina. (aiōnios g166)
Kam vien ir nemirstība, kas dzīvo nepieejamā gaišumā, ko neviens cilvēks nav redzējis, nedz var redzēt. Tam lai ir gods un mūžīga vara! Āmen. (aiōnios g166)
Waambie matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, na wasitumaini katika utajiri, ambao siyo wa uhakika. Badala yake, wanapaswa kumtumaini Mungu. Ambaye hutupatia utajiri wote wa kweli ili tufurahie. (aiōn g165)
Tiem bagātiem šinī pasaulē pavēli, lai tie augsti neturas, nedz cerē uz to nepastāvīgo bagātību, bet uz To dzīvo Dievu, kas mums visas lietas bagātīgi pasniedz par atspirgšanu; (aiōn g165)
Ni Mungu aliyetuokoa na kutuita kwa wito mtakatifu. Hakufanya hivi kulingana na kazi zetu bali kulingana na neema na mpango wake mwenyewe. Alitupatia mambo haya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. (aiōnios g166)
Kas mūs izglābis un aicinājis ar svētu aicināšanu ne pēc mūsu darbiem, bet pēc Savas īpašas apņemšanās un žēlastības, kas mums dota iekš Kristus Jēzus no mūžīgiem laikiem, (aiōnios g166)
Kwa hiyo, navumilia mambo yote kwa ajili ya wale ambao Mungu amekwishawachagua, ili kwamba nao pia waupate wokovu ulio katika Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios g166)
Tāpēc es visu panesu to izredzēto dēļ, lai arī tie debess prieku dabū iekš Kristus Jēzus ar mūžīgu godību. (aiōnios g166)
Kwa kuwa Dema ameniacha. Anaupenda ulimwengu wa sasa na amekwenda Thesalonike, Kreseni alikwenda Galatia, na Tito alikwenda Dalmatia. (aiōn g165)
Jo Demas mani atstājis, mīlēdams šo pasauli, un ir nogājis uz Tesaloniku, Krescents uz Galatiju, Titus uz Dalmatiju. (aiōn g165)
Bwana ataniepusha na matendo yote maovu na kuniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni. Utukufu uwe kwake milele na milele. Amen (aiōn g165)
Un Tas Kungs mani izraus no ikviena ļauna darba un izglābs uz Savu Debesu valstību; Tam ir gods mūžīgi mūžam! Āmen. (aiōn g165)
Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios g166)
Mūžīgas dzīvošanas cerībā, ko Dievs, kas nevar melot, no mūžīgiem laikiem ir apsolījis, (aiōnios g166)
Inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia. Inatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika njia za kimungu kwa wakati huu. (aiōn g165)
Un mūs pamāca, lai mēs bezdievību un pasaulīgas kārības aizliegdami, šķīsti un taisni un dievbijīgi dzīvojam šinī pasaulē, (aiōn g165)
Alifanya hivi ili kwamba, tukiwa tumehesabiwa haki kwa neema yake, tuwe washirika katika uhakika wa maisha ya milele. (aiōnios g166)
Lai, caur Viņa žēlastību taisnoti, paliekam par mūžīgas dzīvības mantiniekiem pēc tās cerības. (aiōnios g166)
Labda ni sababu alitengwa nawe kwa muda, ilikuwa hivyo ili uwe pamoja naye milele. (aiōnios g166)
Jo varbūt, ka viņš tāpēc mazu brīdi bijis atšķirts no tevis, lai tu viņu atdabūtu uz mūžību, (aiōnios g166)
Lakini katika siku hizi tulizonazo, Mungu ameongea nasi kupitia Mwana, ambaye alimweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia yeye pia aliumba ulimwengu. (aiōn g165)
šinīs pēdīgās dienās uz mums ir runājis caur To Dēlu; To Viņš ir iecēlis par mantinieku pār visu; caur To Viņš arī pasauli radījis; (aiōn g165)
Lakini kuhusu Mwana husema, “Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele. Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya haki. (aiōn g165)
Bet par To Dēlu: Tavs goda krēsls, ak Dievs, paliek mūžīgi mūžam; Tavas valdīšanas scepteris ir taisns scepteris. (aiōn g165)
Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Tā kā Viņš arī citā vietā saka: Tu esi priesteris mūžīgi pēc Melhizedeka kārtas. (aiōn g165)
Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios g166)
Un pilnīgs tapis, Viņš ir palicis visiem, kas Viņam paklausa, par mūžīgas dzīvošanas gādātāju; (aiōnios g166)
wala misingi ya mafundisho ya ubatizo, na kuwawekea mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios g166)
Ar mācību par kristību, par roku uzlikšanu, par miroņu augšāmcelšanos, par mūžīgu sodību. (aiōnios g166)
na ambao walionja uzuri wa neno la Mungu na kwa nguvu za wakati ujao, (aiōn g165)
Un baudījuši to labo Dieva vārdu un tās nākamās pasaules spēkus, (aiōn g165)
Yesu aliingia sehemu ile kama mtangulizi wetu, akisha kufanyika kuhani mkuu hata milele baada ya utaratibu wa Melkizedeki. (aiōn g165)
Kur Jēzus kā priekštecētājs par mums ir iegājis, pēc Melhizedeka kārtas par augstu priesteri palicis uz mūžību. (aiōn g165)
Hivyo maandiko yanashuhudia kuhusu yeye: “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Jo Viņš apliecina: Tu esi priesteris mūžīgi pēc Melhizedeka kārtas. (aiōn g165)
Lakini Mungu alichukua kiapo wakati aliposema kuhusu Yesu, “Bwana ameapa na hatabadilisha mawazo yake.' wewe ni kuhani milele.” (aiōn g165)
(Jo viņi bez zvērēšanas palikuši par priesteriem, bet Šis ar zvērēšanu, caur To, kas uz Viņu saka: Tas Kungs ir zvērējis - un tas Tam nebūs žēl - Tu esi priesteris mūžīgi pēc Melhizedeka kārtas) - (aiōn g165)
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, ukuhani wake haubadiliki. (aiōn g165)
Bet Šim caur to, ka Viņš mūžīgi paliek, ir neiznīcīgs priestera amats. (aiōn g165)
Kwa sheria huwateua watu dhaifu kuwa makuhani wakuu, lakini neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, alimteua Mwana, aliyefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn g165)
Jo bauslība ieceļ par augstiem priesteriem cilvēkus, kam ir vājība, bet tas zvērēšanas vārds, kas nāca pēc bauslības, tas To Dēlu ieceļ mūžīgi pilnīgu. (aiōn g165)
Ilikuwa si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe kwamba Kristo aliingia mahali patakatifu zaidi mara moja kwa kila mmoja na kutuhakikishia ukombozi wetu wa milele. (aiōnios g166)
Nedz ar āžu un teļu asinīm, bet ar Savām paša asinīm Viņš vienreiz ir iegājis tai svētā vietā un sagādājis mūžīgu pestīšanu. (aiōnios g166)
Je si zaidi sana damu ya Kristo ambaye kupitia Roho wa milele alijitoa mwenyewe bila mawaa kwa Mungu, kuosha dhamiri zetu kutoka matendo mafu kumtumikia Mungu aliye hai? (aiōnios g166)
Cik vairāk Kristus asinis, kas caur to mūžīgo Garu Sevi pašu bezvainīgu Dievam ir upurējis, šķīstīs jūsu zināmu sirdi no nedzīviem darbiem, kalpot Tam dzīvam Dievam? (aiōnios g166)
Kwa sababu hiyo, Kristo ni mjumbe wa agano jipya. Hii ndiyo sababu mauti imewaacha huru wote walio wa agano la kwanza kutoka katika hatia ya dhambi zao, ili kwamba wote walioitwa na Mungu waweze kupokea ahadi ya urithi wao wa milele. (aiōnios g166)
Un tādēļ Viņš ir tās jaunās derības (testamenta) vidutājs, lai, kad nāve bija notikusi par atpestīšanu no tām pārkāpšanām, kas bija apakš tās pirmās derības, tie, kas ir aicināti, dabū to apsolīto mūžīgo mantību. (aiōnios g166)
kama hiyo ilikuwa kweli, basi ingekuwa lazima kwake kuteswa mara nyingi zaidi tangu mwanzo wa ulimwengu. Lakini sasa ni mara moja hadi mwisho wa miaka aliyojifunua kuiondoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe. (aiōn g165)
Citādi Viņam būtu pienācies daudzreiz ciest no pasaules iesākuma; bet tagad Viņš vienreiz laiku galā ir parādījies, grēku iznīcināt caur Savu paša upuri. (aiōn g165)
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa amri ya Mungu, ili kwamba kile kinachoonekana hakikutengenezwa kutokana na vitu ambavyo vilikuwa vinaonekana. (aiōn g165)
Caur ticību mēs noprotam, ka pasaule ir radīta caur Dieva vārdu, tā ka tās redzamās lietas nav cēlušās no redzamām. (aiōn g165)
Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn g165)
Jēzus Kristus tas pats vakar un šodien un mūžīgi. (aiōn g165)
Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios g166)
Bet Tas miera Dievs, kas no miroņiem atkal atvedis To lielo avju ganu caur mūžīgas derības asinīm, mūsu Kungu Jēzu, (aiōnios g166)
Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Tas lai jūs dara pilnīgus iekš ikviena laba darba, ka jūs Viņa prātu dariet, un lai rada iekš jums, kas Viņam labi patīk, caur Jēzu Kristu, Viņam lai ir gods mūžīgi mūžam! Āmen. (aiōn g165)
Ulimi pia ni moto, ni ulimwengu wa uovu, umewekwa miongoni mwa viungo vya mwili wetu, ambao hunajisi mwili wote na huiweka juu ya moto njia ya maisha, na wenyewe kuchomwa moto wa kuzimu. (Geenna g1067)
Mēle arīdzan ir uguns, pasaule pilna netaisnības; tāpat mēle starp mūsu locekļiem ir tas, kas visu miesu apgāna un iededzina visapkārt mūsu dzīvības ceļu, pati iededzināta no elles. (Geenna g1067)
Mmekwisha zaliwa mara ya pili, si kwa mbegu iharibikayo, lakini kutoka katika mbegu isiyoharibika, kupitia uzima na neno la Mungu lililosalia. (aiōn g165)
Jūs, kas esat atdzimuši ne no iznīcīgas sēklas, bet no neiznīcīgas caur to dzīvo un mūžīgi paliekamo Dieva vārdu. (aiōn g165)
lakini neno la Bwana hubakia milele.” Huu ni ujumbe ambao ulitangazwa kama injili kwenu. (aiōn g165)
Bet Tā Kunga vārds paliek mūžīgi. Bet šis ir tas vārds, kas jūsu starpā ir pasludināts. (aiōn g165)
Kama mtu akiongea, na iwe kama mausia ya Mungu, na kama mtu akihudumu, na iwe kama uwezo aliopewa na Mungu, ili kwamba kwa kila jambo Mungu apate kutukuzwa kupitia Yesu Kristo. Utukufu na uweza vina Yeye milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Ja kas runā, tas lai runā tā kā Dieva vārdus; ja kam kāds amats, lai tas to izdara itin pēc tā spēka, ko Dievs pasniedz, ka visās lietās Dievs top godināts caur Jēzu Kristu, kam pieder gods un vara mūžīgi mūžam. Āmen. (aiōn g165)
Baada ya kuteseka kwa muda kitambo, Mungu wa neema yote, aliyewaita katika utukufu wa milele ndani ya Kristo, atawakamilisha, atawaimarisha na kuwatia nguvu. (aiōnios g166)
Bet Tas visu žēlīgais Dievs, kas mūs aicinājis uz Savu mūžīgo godību iekš Kristus Jēzus, Tas jūs, kas mazu brīdi ciešat, Pats sataisīs, spēcinās, stiprinās, pastāvīgus darīs. (aiōnios g166)
Enzi iwe kwake milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Tam lai ir gods un vara mūžīgi mūžam. Āmen. (aiōn g165)
Hivyo mtajipatia wingi wa lango la kuingilia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu na mwokozi Yesu Kristo. (aiōnios g166)
Jo tā jums bagātīgi taps atvēlēta tā ieiešana mūsu Kunga un Pestītāja Jēzus Kristus mūžīgā valstībā. (aiōnios g166)
Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka. Bali aliwatupa kuzimu ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia. (Tartaroō g5020)
Jo ja Dievs nav saudzējis tos eņģeļus, kas apgrēkojušies, bet tos nogāzis ellē un nodevis tumsības saitēm, ka tie taptu paturēti uz sodību; (Tartaroō g5020)
Lakini mkue katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. Na sasa utukufu una yeye sasa na milele. Amina. (aiōn g165)
Bet pieaugat mūsu Kunga un Pestītāja Jēzus Kristus žēlastībā un atzīšanā. Tam lai ir gods gan tagad gan mūžīgos laikos! Āmen. (aiōn g165)
Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi, na tumeuona, na kuushuhudia, na kuwatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa kwa Baba na ulifanywa kujulikana kwetu. (aiōnios g166)
(Ja dzīvība ir parādīta, un mēs to esam redzējuši, un apliecinām un pasludinām jums to mūžīgo dzīvību, kas bija pie Tā Tēva un mums ir parādīta, ) - (aiōnios g166)
Dunia na tamaa zake zinapita. Bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu huyo adumu milele. (aiōn g165)
Un pasaule paiet un viņas kārība; bet kas Dieva prātu dara, tas paliek mūžīgi. (aiōn g165)
Na hii ni ahadi aliyotupatia sisi: uzima wa milele. (aiōnios g166)
Un šī ir tā apsolīšana, ko Viņš mums ir apsolījis, (proti) to mūžīgo dzīvošanu. (aiōnios g166)
Mtu yeyote anaye mchukia ndugu yake ni muuaji. Na mnajua kuwa uzima wa milele haukai ndani ya muuaji. (aiōnios g166)
Ikviens, kas savu brāli ienīst, tas ir slepkava, un jūs zināt, ka nevienam slepkavam mūžīga dzīvība nav paliekama iekš viņa. (aiōnios g166)
Na ushuhuda ndio huu — kwamba Mungu alitupa uzima wa milele, na uzima huu umo ndani ya Mwanawe. (aiōnios g166)
Un šī ir tā liecība, ka Dievs mums mūžīgu dzīvību ir devis, un šī dzīvība ir iekš Viņa Dēla. (aiōnios g166)
Nimewaandikia haya mweze kujua kwamba mnao uzima wa milele — ninyi mnaoamini katika jina la Mwana wa Mungu. (aiōnios g166)
To es esmu rakstījis jums, kas ticiet uz Dieva Dēla vārdu, lai jūs zināt, ka jums ir mūžīga dzīvība, un ka jūs ticat uz Dieva Dēla vārdu. (aiōnios g166)
Lakini twajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja na ametupatia ujuzi, kwamba tunamjua yeye aliye kweli na kwamba tumo ndani yake yeye aliye kweli, hata katika Mwanawe Yesu Kristo. Ni Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Bet mēs zinām, ka Dieva Dēls ir nācis un mums tādu prātu devis, ka atzīstam To patiesīgo un esam iekš Tā Patiesīgā, iekš Viņa Dēla Jēzus Kristus; šis ir Tas patiesīgais Dievs un tā mūžīgā dzīvība. (aiōnios g166)
kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn g165)
Tās patiesības dēļ, kas iekš mums paliek un ar mums būs mūžīgi: (aiōn g165)
Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios g126)
Un tos eņģeļus, kas savu augsto kārtu nav sargājuši, bet savu dzīvokli atstājuši, Viņš ar mūžīgām saitēm ir paturējis apakš tumsības uz tās lielās dienas sodu. (aïdios g126)
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios g166)
Tā kā Sodoma un Gomora un tās apkārtējās pilsētas, kas tāpat kā viņas maucībai bija padevušās un citai miesai gājušas pakaļ, ir noliktas par mūžīgu uguns priekšzīmi, sodību ciezdamas. (aiōnios g166)
Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn g165)
Bargi jūras viļņi, kas savu pašu kaunu putās izgāž; nomaldījušās zvaigznes, kam tā visdziļākā tumsība top uzglabāta mūžīgi. (aiōn g165)
jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios g166)
Turaties iekš Dieva mīlestības, gaidīdami mūsu Kunga Jēzus Kristus apžēlošanu uz mūžīgu dzīvošanu. (aiōnios g166)
kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn g165)
Tam vienam gudram Dievam, mūsu Pestītājam, lai ir gods un augsta slava, spēks un vara, tagad un mūžīgi mūžam! Āmen. (aiōn g165)
ametufanya kuwa ufalme, makuhani wa Mungu na Baba yake - kwake kuwa utukufu na nguvu milele daima. Amina. (aiōn g165)
Un mūs darījis par ķēniņiem un priesteriem Savam Dievam un Tēvam: Viņam lai ir gods un vara mūžīgi mūžam! Āmen. (aiōn g165)
na ambaye ninaishi. Nalikuwa nimekufa, lakini tazama, ninaishi milele! Na ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
Un Tas Dzīvais. Es biju nomiris un redzi, Es esmu dzīvs mūžīgi mūžam. Un Man ir elles un nāves atslēgas. (aiōn g165, Hadēs g86)
Kila wakati viumbe wenye uhai walipotoa utukufu, heshima, na kushukuru mbele za aliyekuwa ameketi kwenye hicho kiti cha enzi, yeye aishiye milele na daima, (aiōn g165)
Un kad tie dzīvie godu un slavu un pateikšanu dod Tam, kas sēž uz tā goda krēsla, kas dzīvo mūžīgi mūžam, (aiōn g165)
wazee ishirini na wanne walisujudu wenyewe mbele yake aliyekikalia kiti cha enzi. Waliinama chini kwake aishiye milele na daima na kutupa chini taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema, (aiōn g165)
Tad tie divdesmit četri vecaji nometās zemē priekš Tā, kas sēž uz tā goda krēsla, un pielūdz To, kas dzīvo mūžīgi mūžam, un met savus kroņus tā goda krēsla priekšā sacīdami: (aiōn g165)
Nikasikia kila kilichoumbwa kilichokuwa mbinguni na duniani na chini ya nchi na juu ya bahari, kila kitu ndani yake kikisema, “Kwake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na kwa mwanakondoo, kuwe sifa, heshima, utukufu na nguvu ya kutawala milele na milele.” (aiōn g165)
Un visus radījumus, kas ir debesīs un virs zemes un zemes apakšā, un kas ir jūrā, un visus, kas tur ir iekšā, es dzirdēju sakām: Tam, kas sēž uz tā goda krēsla, un Tam Jēram lai ir pateicība un slava un gods un vara mūžīgi mūžam! (aiōn g165)
Kisha nikaona farasi wa kijivu. Aliye mpanda aliitwa jina lake mauti, na kuzimu ilikuwa ikimfuata. Walipewa mamlaka juu ya robo ya nchi, kuua kwa upanga, kwa njaa na kwa ugonjwa, na kwa wanyama wa mwitu katika nchi. (Hadēs g86)
Un es redzēju un raugi, pelēks zirgs, un kas uz tā sēdēja, tam bija vārds: nāve; un elle tai gāja pakaļ; un tiem vara tapa dota, ceturto pasaules tiesu nokaut ar zobenu un ar badu un ar mēri un caur zemes zvēriem. (Hadēs g86)
wakisema, “Amina! Sifa, utukufu, hekima, shukurani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele! Amina!” (aiōn g165)
Sacīdami: Āmen! Teikšana un gods un gudrība un pateicība un slava un vara un spēks pieder mūsu Dievam mūžīgi mūžam! Āmen. (aiōn g165)
Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos g12)
Un tas piektais eņģelis bazūnēja. Un es redzēju zvaigzni, kritušu no debess uz zemi, un tam tapa dota bezdibeņa akas atslēga. (Abyssos g12)
Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos g12)
Un tas atvēra bezdibeņa aku. Un dūmi uzkāpa no tās akas, kā liela cepļa dūmi. Un saule tapa aptumšota un gaiss no tās akas dūmiem. (Abyssos g12)
Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos g12)
Un pār tiem bija ķēniņš, tas bezdibeņa eņģelis, viņa vārds bija ebrejiski: Abadon, un Grieķu valodā: Apolion. (Abyssos g12)
na kuapa kwa yule aishiye milele na milele —aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, na bahari na vyote vilivyomo: “Hakutakuwepo kuchelewa tena. (aiōn g165)
Un zvērēja pie Tā, kas dzīvo mūžīgi mūžam, kas ir radījis debesis un, kas tur iekšā, un zemi un, kas tur iekšā, un jūru un, kas tur iekšā, ka laiks vairs nebūs. (aiōn g165)
Wakati watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama anayetoka kwenye shimo lisilo na mwisho atafanya vita dhidi yao. Atawashinda na kuwaua. (Abyssos g12)
Un kad tie savu liecību būs pabeiguši, tad tas zvērs, kas izkāpj no bezdibeņa, ar tiem karos un tos uzvarēs un tos nokaus. (Abyssos g12)
Kisha malaika wa saba alipiga tarumbeta yake, na sauti kubwa zilinena mbinguni na kusema, “Ufalme wa dunia umeshakuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake. Atatawala milele na milele.” (aiōn g165)
Un tas septītais eņģelis bazūnēja, un stipras balsis cēlās debesīs sacīdamas: pasaules valstis ir kļuvušas mūsu Kungam un Viņa Kristum, un Tas valdīs mūžīgi mūžam. (aiōn g165)
Nikaona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu, ambaye mwenye ujumbe wa mbinguni wa habari njema kwa kuwatangazia wenye kuishi duniani kwa kila taifa, kabila, lugha, na watu. (aiōnios g166)
Un es redzēju citu eņģeli debes' vidū skrienam; tam bija mūžīgs evaņģēlijs, tiem sludināt, kas virs zemes dzīvo, un visām tautām un ciltīm un valodām un ļaudīm. (aiōnios g166)
Na moshi wa maumivu yao ukaenda milele na milele, na hawakuwa na mapumziko mchana au usiku - hao waabuduo mnyama na sanamu yake, na kila mtu aliyepokea alama ya jina lake. (aiōn g165)
Un tie dūmi no viņu mocības uzkāpj mūžīgi mūžam, un dusēšanas nav nedz dienu nedz nakti tiem, kas to zvēru un viņa bildi pielūdz, un ja kas viņa vārda zīmi pieņem. (aiōn g165)
Mmoja wa wale wenye uhai wanne akatoa kwa malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu mwenye kuishi milele na milele. (aiōn g165)
Un viens no tiem četriem dzīviem deva tiem septiņiem eņģeļiem septiņus zelta kausus, pildītus ar Tā Dieva dusmību, kas mūžīgi mūžam dzīvo. (aiōn g165)
Mnyama uliyemwona alikuwepo, hayupo tena sasa, lakini yuko tayari kupanda kutoka katika shimo lisilo na mwisho. Kisha ataendelea na uharibifu. Wale wakaao juu ya nchi, wale ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu - watashangaa wamwonapo mnyama aliyekuwepo, kwamba hayupo sasa, lakini yupo karibu kuja. (Abyssos g12)
Tas zvērs, ko tu esi redzējis, bija un nav un izkāps no bezdibeņa un ies bojā; un tie, kas virs zemes dzīvo, (kam vārdi nav rakstīti tai dzīvības grāmatā no pasaules radīšanas, ) tie brīnīsies, redzēdami to zvēru, ka tas bija un nav un būs. (Abyssos g12)
Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn g165)
Un tie sacīja otrā kārtā: Alleluja! Un viņas dūmi uzkāpj mūžīgi mūžam. (aiōn g165)
Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Un tas zvērs tapa sagrābts, un līdz ar to tas viltīgais pravietis, kas viņa priekšā tās zīmes bija darījis, caur ko viņš bija pievīlis tos, kas bija pieņēmuši tā zvēra zīmi, un tos, kas pielūdza viņa bildi: tie divi tapa dzīvi iemesti uguns zaņķī, kas deg ar sēru. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Kisha niliona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos g12)
Un es redzēju eņģeli nokāpjam no debesīm, tam bija bezdibeņa atslēgas un lielas ķēdes savā rokā. (Abyssos g12)
Alimtupa kwenye shimo lisilo na mwisho, akalifunga na kulitia mhuri juu yake. Hii ilikuwa hivyo ili kwamba asiwadanganye mataifa tena mpaka miaka elfu itakapoisha. Baada ya hapo, ataachiwa huru kwa muda mchache. (Abyssos g12)
Un viņš to iemeta bezdibenī un aizslēdza un uzlika zieģeli virsū, ka tas tos ļaudis vairs nepieviltu, tiekams tūkstoš gadi būtu pabeigti, un pēc tiem viņam būs vaļā tapt mazu brīdi. (Abyssos g12)
Shetani, ambaye aliwadanganya, alitupwa ndani ya ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa. Watateswa mchana na usiku milele na milele. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Un velns, kas tos pievīla, tapa iemests tai uguns un sēra zaņķī, kur tas zvērs ir un tas viltīgais pravietis, un tie taps mocīti dienām naktīm mūžīgi mūžam. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Bahari iliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake. Kifo na kuzimu viliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake, na wafu walihukumiwa kulingana na walichofanya. (Hadēs g86)
Un jūra deva tos mirušos, kas iekš tās bija, un nāve un elle deva tos mirušos, kas iekš tām bija, un ikviens tapa tiesāts pēc saviem darbiem. (Hadēs g86)
Kifo na kuzimu zilitupwa ndani ya ziwa la moto. Hii ni mauti ya pili - ziwa la moto. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Un nāve un elle tapa iemestas uguns zaņķī: šī ir tā otrā nāve. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa ndani ya Kitabu cha Uzima, alitupwa ndani ya ziwa la moto. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Un ja kas netapa atrasts tai dzīvības grāmatā rakstīts, tas tapa iemests uguns zaņķī. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Lakini kama ilivyo kwa waoga, wasioamini, wachukizao, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao itakuwa katika ziwa la moto wa kiberiti uunguzao. Hiyo ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Bet tiem bailīgiem un neticīgiem un negantiem un slepkavām un mauciniekiem un burvjiem un elku kalpiem un visiem melkuļiem būs sava daļa tai zaņķī, kas deg ar uguni un sēru; tā ir tā otrā nāve. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Hapatakuwa na usiku tena; wala hapatakuwa na hitaji la mwanga wa taa au jua kwa sababu Bwana Mungu ataangaza juu yao. Nao watatawala milele na milele. (aiōn g165)
Un tur nakts nebūs, un tiem nevajadzēs nedz uguns nedz saules gaišuma; jo Tas Kungs Dievs tos apgaismo. Un tie valdīs mūžīgi mūžam. (aiōn g165)

SWN > Aionian Verses: 264
LAV > Aionian Verses: 264