< Ayubu 17 >

1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
Mans gars ir vājš, manas dienas pagalam, kaps man ir klāt.
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Tiešām, mēdītāji mani apstāj un uz viņu tiepšanos jāskatās manām acīm.
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Galvo jel, pārstāvi Tu mani pie Sevis paša, kur tad cits man roku dos!
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Jo viņu sirdīm Tu saprašanu esi apslēpis; tāpēc Tu viņiem virsroku nedosi.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
Kas savus draugus izdāvā par laupījumu, tā bērnu acis izīgs.
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Bet Viņš mani darījis ļaudīm par sakāmu vārdu, ka esmu tāds, kam spļauj vaigā.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
Tādēļ mana acs ir tumša no skumības, un visi mani locekļi ir kā ēna.
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
Taisnie par to iztrūcinājās, un nenoziedzīgais iekarst par neganto.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
Bet taisnais turas pastāvīgi uz sava ceļa, un kam šķīstas rokas, pieņemas stiprumā.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
Tad nu jūs visi nāciet tik atkal vien, gudra es neatradīšu jūsu starpā.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Manas dienas ir pagājušas, mani padomi iznīcināti, ko mana sirds bija kopusi.
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
Nakti tie sauc par dienu, un gaismu saka tuvu esam, kur tumsa klātu.
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
Ko man vēl gaidīt, kaps būs mans nams; tumsā es uztaisīšu savu gultu. (Sheol h7585)
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
Trūdus es saucu par savu tēvu, tārpus par savu māti un māsu.
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
Kur tad būs mana cerība, manu cerību, kas to redzēs?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)
Kapā tā nogrims, kad it visiem pīšļos būs dusa. (Sheol h7585)

< Ayubu 17 >