< Zaburi 49 >

1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
Koraha bērnu dziesma. Dziedātāju vadonim. Klausāties to, visi ļaudis, grieziet ausis šurp, visi pasaules iedzīvotāji,
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
Tā zemi kā augsti, bagāti kā nabagi kopā.
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
Manas mutes runa ir gudrība, un manas sirds domas ir prātīgas.
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
Es griezīšu savu ausi pie viena sakāma vārda, un izteikšu savu mīklu uz koklēm.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
Kāpēc man bīties ļaunās dienās, kad manu vajātāju noziegums ap mani metās?
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
Tie paļaujas uz savu padomu un greznojās ar savu lielo bagātību.
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
Savu brāli neviens nevar atpestīt nedz Dievam par to dot atpirkšanas maksu,
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
(Jo visai dārga ir viņu dvēseles atpestīšana un no(tā) tam jāatstājas mūžīgi, )
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
Ka tas dzīvotu mūžam un kapu neredzētu.
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
Tiešām redzēs, ka gudri mirst, ka ģeķi un neprātīgi kopā iet bojā un savu mantu pamet citiem.
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
Tās ir viņu sirdsdomas, ka viņu namiem būs stāvēt mūžīgi, viņu dzīvokļiem līdz radu radiem; tie nosauc valstis pēc saviem vārdiem.
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
Bet cilvēks greznībā nepastāv, viņš līdzinājās lopiem, ko nokauj.
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
Šis ir tas ceļš ģeķiem un tiem, kas viņiem iet pakaļ un kam viņu vārdi patīk. (Sela)
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
Tie taps noguldīti ellē kā avis, nāve tos ganīs; bet tie taisnie par tiem valdīs rītam austot, un viņu augumu aprīs elle, ka nebūs, kur palikt. (Sheol h7585)
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
Bet Dievs atpestīs manu dvēseli no elles varas, jo Viņš mani pieņems. (Sela) (Sheol h7585)
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
Nebēdājies par to, kad kāds top bagāts, kad viņa nama gods top liels.
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
Jo viņš mirdams neko neņems līdz, viņa godība tam neies pakaļ.
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
Jebšu viņš savu dvēseli svētī, kamēr viņš dzīvo, un tevi teic, ka tu sev labas dienas sagādājis.
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
Tomēr tu noiesi pie viņa tēvu radiem, kas gaismu neredz ne mūžam.
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
Cilvēks, kas greznībā un nav prātīgs, tas līdzinājās lopiem, ko nokauj.

< Zaburi 49 >