< Luka 14 >

1 Iltokea siku ya Sabato, alipokua akienda nyumbani kwa mmoja wa viongozi wa Mafarisayo kula mkate, nao walikuwa wakimchunguza kwa karibu.
Една събота, когато влезе да яде хляб в къщата на един от фарисейските началници, те Го наблюдаваха.
2 Tazama, pale mbele yake alikuwa mtu ambaye anasumbuliwa na uvimbe.
О А друг рече: Ожених се, и затова не мога да дойда.
3 Yesu aliuliza wataalam katika sheria ya Wayahudi na Mafarisayo, “Je, ni halali kumponya siku ya Sabato, au sivyo?”
И Исус продума на законниците и фарисеите, и рече: Позволено ли е да лекува някой в събота, или не?
4 Lakini wao walikuwa kimya, kwahiyo Yesu akamshika, akamponya na kumruhusu aende zake.
А те мълчаха. И Той като хвана човека, изцели го и го пусна.
5 Naye akawaambia, “Ni nani kati yenu ambaye ana mtoto au ng'ombe anatumbukia kisimani siku ya Sabato hata mvuta nje mara moja?”
И рече им: Ако паднеше оселът или волът на някого от вас в кладенец, не щеше ли той начаса да го извлече в съботен ден?
6 Wao hawakuwa na uwezo wa kutoa jibu kwa mambo haya.
И не можаха да отговорят на това.
7 Wakati Yesu alipogundua jinsi wale walioalikwa kwamba wamechagua viti vya heshima, akawaambia mfano, akiwaambia,
И като забелязваше как поканените избираха първите столове, каза им притча, думайки:
8 “Wakati mnapoalikwa na mtu harusini, usiketi katika nafasi za heshima, kwa sababu inawezekana amealikwa mtu ambaye ni wakuheshimiwa zaidi kuliko wewe.
Когато те покани някой на сватба, не сядай на първия стол, да не би да е бил поканен от него по-почетен от тебе,
9 Wakati mtu aliyewaalika ninyi wawili akifika, atakuambia wewe, “mpishe mtu huyu nafasi yako,” na kisha kwa aibu utaanza kuchukua nafasi ya mwisho.
и дойде този, който е поканил и тебе и него, и ти рече: Отстъпи това място на този човек; и тогава ще почнеш със срам да заемаш последното място.
10 Lakini wewe ukialikwa, nenda ukakae mahali pa mwisho, ili wakati yule aliyekualika akija, aweze kukuambia wewe, `Rafiki, nenda mbele zaidi.” ndipo utakuwa umeheshimika mbele ya wote walioketi pamoja nawe mezani.
Но когато те поканят, иди и седни на последното място, и когато дойде този, който те е поканил, да ти рече: Приятелю, мини по-горе. Тогава ще имаш почит пред всички тия, които сядат с тебе на трапезата.
11 Kwa maana kila ajikwezaye atashushwa, na yeye ajishushae atakwezwa. '
Защото всеки, който възвишава себе си, ще се смири, а който смирява себе си, ще се възвиси.
12 Yesu pia alimwambia mtu aliyemwalika, 'Unapotoa chakula cha mchana au cha jioni, usiwaalike rafiki zako au ndugu zako au jamaa zako au majirani zako matajiri, ili kwamba wao wasije wakakualika wewe ukapata malipo.
Каза и на този, който го беше поканил: Когато даваш обед или вечеря, недей кани приятелите си, ни братята си, ни роднините си, нито богати съседи, да не би и те да те поканят, и ти бъде отплатено.
13 Badala yake, unapofanya sherehe, waalike maskini, vilema, viwete na vipofu,
Но когато даваш угощение, поканвай сиромаси, недъгави, куци, слепи;
14 na wewe utabarikiwa, kwa sababu hawawezi kukulipa. Kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.”
и ще бъдеш блажен, защото, понеже те нямат с какво да ти отплатят, ще ти бъде отплатено във възкресението на праведните.
15 Wakati mmoja wa wale walioketi mezani pamoja na Yesu aliposikia hayo, naye akamwambia, “Amebarikiwe yule atakayekula mkate katika Ufalme wa Mungu!”
И като чу това един от седящите с Него, рече му: Блажен е онзи, който ще яде хляб в Божието царство.
16 Lakini Yesu akamwambia, “Mtu mmoja aliandaa sherehe kubwa, akaalika watu wengi.
А Той му рече: Някой си човек даде голяма вечеря и покани мнозина.
17 Wakati sherehe ilipokuwa tayari, alimtuma mtumishi wake kuwaambia wale walioalikwa, `'Njooni, kwa sababu vitu vyote vimekwisha kuwekwa tayari.'
И в часа на вечерята изпрати слугата си да рече на поканените: Дойдете, понеже всичко е вече готово.
18 Wote, wakaanza kuomba radhi. Wa kwanza akamwambia mtumishi, 'Nimenunua shamba, lazima niende kuliona. Tafadhali unisamehe.'
А те всички почнаха единодушно да се извиняват. Първият му рече: Купих си нива и трябва да изляза да я видя; моля ти се, извини ме.
19 Na mwingine akasema, `'Nimenunua jozi tano za ng'ombe, na mimi naenda kuwajaribu. Tafadhali uniwie radhi.'
Друг рече: Купих си пет чифта волове, и отивам да ги опитам; моля ти се извини ме.
20 Na mtu mwingine akasema, 'Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.'
А друг рече: Ожених се, и за това не мога да дойда.
21 Mtumishi akarudi na kumwambia bwana wake mambo hayo. Yule mwenye nyumba alikasirika akamwambia mtumishi wake, `'Nenda upesi mitaani na katika vichochoro vya mji ukawalete hapa maskini, vilema, vipofu na walemavu.”
И слугата дойде и каза това на господаря си. Тогава стопанинът, разгневен рече на слугата си: Излез скоро на градските улици и пътеки, и доведи тука сиромасите, недъгавите, слепите и куците.
22 Mtumimishi akasema, `Bwana, hayo uliyoagiza yamekwisha tendeka, na hata sasa bado kuna nafasi.'
И слугата рече: Господарю, каквото си заповядал стана, и още място има.
23 Bwana akamwambia mtumishi, 'Nenda katika njia kuu na vichochoro na uwashurutishe watu waingie, ili nyumba yangu ijae.
И господарят рече на слугата: Излез по пътищата и по оградите, и колкото намериш, накарай ги да влязат, за да се напълни къщата ми;
24 Kwamaana nawaambia, katika wale walioalikwa wa kwanza hapana atakayeonja sherehe yangu. '
защото ви казвам, че никой от поканените няма да вкуси от вечерята ми.
25 Sasa umati mkubwa walikuwa wanakwenda pamoja naye, naye akageuka na akawaambia,
А големи множества вървяха заедно с Него; и Той се обърна и им рече:
26 'Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, mama yake, mke wake, watoto wake, ndugu zake waume na wanawake- ndio, na hata maisha yake pia -hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Ако дойде някой при Мене, и не намрази баща си и майка си, жена си, чадата си, братята си, и сестрите си, а още и собствения си живот, не може да бъде Мой ученик.
27 Mtu asipochukua msalaba wake na kuja nyuma yangu hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Който не носи своя кръст и не върви след Мене, не може да бъде Мой ученик.
28 Maana ni nani kati yenu, ambaye anatamani kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama kwa mahesabu kama ana kile anachohitaji ili kukamilisha hilo?
Защото кой от вас, когато иска да съгради кула, не сяда първо да пресметне разноските, дали ще има с какво да я доизкара?
29 Vinginevyo, baada ya kuweka msingi na kushindwa kumaliza, wote walioona wataanza kumdhihaki,
Да не би, като положи основа, а не може да доизкара, всички които гледат, да почнат да му се присмиват и да казват:
30 wakisema, Mtu huyu alianza kujenga, akawa hana nguvu za kumaliza.'
Този човек почна да гради, но не можа да доизкара.
31 Au mfalme gani, akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine katika vita, ambae hatakaa chini kwanza na kuchukua ushauri kuhusu kama ataweza, pamoja na watu elfu kumi kupigana na mfalme mwingine anayekuja juu yake na watu elfu ishirini?
Или кой цар, като отива на война срещу друг цар, не ще седне първо да се съветва, може ли с десет хиляди да стои против този, който иде срещу него с двадесет хиляди?
32 Na kama sivyo, wakati jeshi la wengine bado liko mbali, hutuma balozi kutaka masharti ya amani.
Иначе, докато другият е още далеч, изпраща посланици да искат условия за мир.
33 Kwa hiyo basi, yeyote kati yenu ambaye hataacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
И тъй, ако някой от вас не се отрече от всичко що има, не може да бъде Мой ученик.
34 Chumvi ni nzuri, lakini ikiwa Chumvi imepoteza ladha yake, jinsi gani inaweza kuwa chumvi tena?
Прочее, добро нещо е солта, но ако самата сол обезсолее, с какво ще се поправи?
35 Haina matumizi kwa udongo au hata kwa mbolea. hutupwa mbali. Yeye aliye na masikio ya kusikia, na asikie.”
Тя не струва нито за земята, нито за тор; изхвърлят я вън. Който има уши да слуша, нека слуша!

< Luka 14 >