< Luka 15 >

1 Basi watoza ushuru wote na wengine wenye dhambi walikuja kwa Yesu na kumsikiliza.
А всичките бирници и грешници се приближаваха при Него да Го слушат.
2 Mafarisayowaote na waandishi wakanung'unika wakisema, “Mtu huyu huwakaribisha wenye dhambi na hata hula nao.”
А фарисеите и книжниците роптаеха, казвайки: Тоя приема грешниците и яде с тях.
3 Yesu akasema mfano huu kwao, akisema
И Той им изговори тая притча, като каза:
4 “Nani kwenu, kama ana kondoo mia moja na akipotelewa na mmoja wao, hatawaacha wale tisini na tisa nyikani, na aende akamtafute yule aliyepotea hadi amwone?
Кой от вас, ако има сто овце, и му се изгуби една от тях, не оставя деветдесетте и девет в пустинята, и не отива след изгубената докле я намери?
5 Naye akisha kumpata humweka mabegani pake na kufurahia.
И като я намери, вдига я на рамената си радостен.
6 Afikapo kwenye nyumba, huwaita rafiki zake na jirani zake akawaambia furahini pamoja nami, kwa kuwa nimempata kondoo wangu aliyepotea.'
И като си дойде у дома, свиква приятелите си и съседите си и им казва: Радвайте се с мене, че си намерих изгубената овца.
7 nawaambia vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, zaidi ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu
Казвам ви, че също така ще има повече радост на небето за един грешник, който се кае, нежели за деветдесет и девет праведници, които нямат нужда от покаяние.
8 Au kuna mwanamke gani mwenye sarafu kumi za fedha, akipotewa na sarafua moja, hata washa taa na kufagia nyumba na kutafuta kwa bidii hadi atakapoipata?
Или коя жена, ако има десет драхми, и изгуби една драхма, не запаля светило, не помита къщата, и не търси грижливо докле я намери?
9 Na akiisha kuiona huwaita rafiki zake na jirani zake akawaambia furahini pamoja nami, kwa kuwa nimeipata tena sarafu yangu niliyokua nimeipoteza.
И като я намери, свиква приятелките и съседките си и казва: Радвайте се с мене, защото намерих драхмата, която бях изгубила.
10 Hata hivyo nawaambia kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.”
Също така, казвам ви, има радост пред Божите ангели за един грешник, който се кае.
11 Na Yesu akasema, “Mtu mmoja alikua na wana wawili
Каза още: Някой си човек имаше двама сина.
12 yule mdogo akamwambia babaye, Baba nipe sehemu ya mali inayonistali kuirithi. Hivyo akagawanya mali zake kati yao.
И по-младият от тях рече на баща си: Тате, дай ми дела, който ми се пада от имота. И той им раздели имота.
13 Siku si nyingi yule mdogo akakusanya vyote anavyomiliki akaenda nchi ya mbali, na huko akatapanya hela zake, kwa kununua vitu asivyo vihitaji, na kutapanya fedha zake kwa anasa.
И не след много дни по-младият син си събра всичко и отиде в далечна страна, и там разпиля имота си с разпуснатия си живот.
14 Nae alipokua amekwisha tumia vyote njaa kuu iliingia nchi ile naye akaanza kuwa katika uhitaji.
И като иждиви всичко, настана голям глад в оная страна; и той изпадна в лишение.
15 Akaenda na kujiajiri mwenyewe kwa mmoja wa raia wa nchi ile, naye alimpeleka shambani kwake kulisha nguruwe.
И отиде да се пристави на един от гражданите на оная страна, който го прати на полетата си да пасе свини.
16 Na akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe kwa sababu hakuna mtu aliempa kitu chochote apate kula.
И желаеше да се насити с рошковите, от които ядяха свините; но никой не му даваше.
17 Ila yule mwana mdogo alipozingatia moyoni mwake, alisema 'ni watumishi wangapi wa baba yangu wanachakula kingi cha kutosha na mimi niko hapa, ninakufa na njaa!
А като дойде на себе си, рече: Колко наемници на баща ми имат излишьк от хляб, а пък аз умирам от глад!
18 Nitaondoka na kwenda kwa baba yangu, na kumwambia, “Baba nimekosa juu ya mbingu na mbele ya macho yako.
Ще стана да ида при баща си и ще му река: Тате, съгреших против небето и пред тебе;
19 Sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.”
не съм вече достоен да се наричам твой син; направи ме като един от наемниците си.
20 Ndipo akaondoka akaenda kwa baba yake. Alipokua angali mbali baba yake alimuona akamwonea huruma akaenda mbio na kumkumbatia na kumbusu.
И стана и дойде при баща си. А когато бе още далеч, видя го баща му, смили се, и като се завтече, хвърли се на врата му и го целуваше.
21 Yule mwana akamwambia, 'baba nimekosa juu ya mbingu na mbele ya macho yako sistahili kuitwa mwana wako.'
Рече му синът: Тате, съгреших против небето и пред тебе; не съм достоен да се наричам твой син.
22 Yule baba aliwaambia watumishi wake, 'lileteni upesi vazi lililo bora, mkamvike mtieni na pete kidoleni na viatu miguuni.
Но бащата рече на слугите си: Скоро изнесете най-хубавата премяна и облечете го, и турете пръстен на ръката му и обуща на нозете му;
23 Kisha mleteni ndama yule alienona mkamchinje tule na kufurai.
докарайте угоеното теле и го заколете и нека ядем и се веселим;
24 Kwa kuwa mwanangu alikua amekufa naye yu hai. Alikua amepotea nae ameonekana wakaanza kushangilia.
защото този мой син бе мъртъв, и оживя, изгубен бе, и се намери. И почнаха да се веселят.
25 Basi yule mwanae mkubwa alikuwako shamba. Alipokuwa akija na kuikaribia nyumba alisikia sauti ya nyimbo na michezo.
А по-старият му син беше на нивата; и като си идеше и се приближи до къщата, чу песни и игри.
26 Akaita mtumishi mmoja akamuuliza mambo haya maana yake nini?
И повика един от слугите и попита, що е това.
27 Mtumishi akamwambia mdogo wako amekuja na baba yako amemchinjia ndama aliyenona kwa sababu amerudi salama.'
А той му рече: Брат ти си дойде и баща ти закла угоеното теле, защото го прие здрав.
28 Mwana mkubwa akakasirika akakataa kuingia ndani na babaye alitoka nje kumsihi.
И той се разсърди и не искаше да влезе и баща му излезе и го молеше.
29 Ila akamjibu babayake akisema, 'Tazama mimi nimekutumikia miaka mingi, wala sijakosa amri yako, lakini hujanipa mwana mbuzi, ili niweze kusherehekea na rafiki zangu.
А той в отговор рече на баща си: Ето, толкова години ти работя, и никога не съм престъпил някоя твоя заповед; но пак на мене нито яре не си дал някога да се повеселя с приятелите си;
30 Lakini alipokuja huyu mwana wako aliyetapanya mali yako yote pamoja na makahaba umemchinjia ndama alienona.
а щом си дойде този твой син, който изпояде имота ти с блудниците, за него си заклал угоеното теле.
31 Baba akamwambia, 'Mwanangu, wewe u pamoja nami siku zote na vyote nilivyo navyo ni vyako.
А той му каза: Синко ти си винаги с мене, и всичко мое твое е.
32 Ila ilikua vyema kwetu kufanya sherehe na kufurahi, huyu ndugu yako alikua amekufa, na sasa yu hai; alikua amepotea naye ameonekana.”
Но прилично беше да се развеселим и да се зарадваме; защото този твой брат бе мъртъв, и оживя, и изгубен бе, и се намери.

< Luka 15 >