< Luka 13 >

1 Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
В същото време присъствуваха някои, които известиха на Исуса за галилеяните, чиято кръв Пилат смесил с жертвите им.
2 Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
И Той в отговор им рече: Мислите ли, че тия галилеяни са били най-грешни от всичките галилеяни, понеже са пострадали така?
3 Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
Казвам ви, не; но ако се не покаете, всички така ще загинете.
4 Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
Или мислите ли, че ония осемнадесет души, върху които падна Силоамската кула и ги уби, бяха престъпници повече от всички човеци, които живеят в Ерусалим?
5 Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
Казвам ви, не; но ако не се покаете, всички така ще загинете.
6 Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
Каза и тая притча: Някой си имаше в лозето си посадена смоковница; и дойде да търси плод на нея, но не намери.
7 Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
И рече на лозаря: Ето, три години как дохождам да търся плод на тая смоковница, но не намирам; отсечи я; защо да запразня земята?
8 Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
А той в отговор му рече: Господарю, остави я и това лято, докле разкопая около нея и насипя тор;
9 Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
и ако подир това даде плод, добре, но ако не, ще я отсечеш.
10 Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
И една събота Той поучаваше в една от синагогите;
11 Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
и ето една жена, която имаше дух, който - беше причинявал немощи за осемнадесет години; тя беше сгърбена и не можеше никак да се изправи.
12 Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
А Исус, като я видя, повика я и рече -: Жено, освободена си от немощта си.
13 Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
И положи ръце на нея; и на часа тя се изправи и славеше Бога.
14 Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
А началникът на синагогата, като негодуваше за дето Исус в събота я изцели, проговаряйки рече на народа: Има шест дни, в които трябва да се работи; в тях, прочее, дохождайте и целете се, а не в съботен ден.
15 Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
Но Господ в отговор му рече: Лицемери! В събота не отвързва ли всеки един от вас вола или осеела си от яслите и го завежда да го напоява?
16 Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
А тая, като е Авраамова дъщеря, която Сатана е държал цели осемнадесет години, не трябваше ли да бъде развързана от тая връзка в съботен ден?
17 Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
И като каза това, всичките Му противници се посрамиха, и целият народ се радваше за всичките славни дела, които се вършеха от Него.
18 Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
Каза прочее: На какво прилича Божието царство? И на що да го уподобя?
19 Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
Прилича на синапово зърно, което човек взе и пося в градината си; и то растеше и стана дърво, и небесните птици се подслоняваха по клончетата му.
20 Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
И пак каза: На какво да уподобя Божието царство?
21 Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
Прилича на квас, който една жена взе и замеси в три мери брашно, докле вкисна всичкото.
22 Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
И по пътя Си за Ерусалим, минаваше през градовете и през селата и поучаваше.
23 Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
И някой си Му рече: Господи, малцина ли са, които се спасяват? А Той им каза:
24 “Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
Подвизавайте се да влезете през тесните врата; защото ви казвам, мнозина ще се стараят да влязат, и не ще могат,
25 Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
след като стане домакинът и затвори вратата, и вие, като останете вън, почнете да хлопате на вратата и да казвате: Господи отвори; а Той в отговор ви каже: Не ви зная откъде сте.
26 Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
Тогава ще почнете да казвате: Ядохме и пихме пред Тебе; и в нашите улици Си поучавал.
27 Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
А Той рече: Казвам ви, не зная откъде сте; махнете се от Мене всички вие, които вършите неправда.
28 Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
Там ще бъде плач и скърцане със зъби, когато видите Авраама, Исаака, Якова и всички пророци в Божието царство, а себе си, изпъдени вън.
29 Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
И ще дойдат от изток и запад, от север и юг, и ще седнат в Божието царство.
30 Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
И, ето, има последни, които ще бъдат първи, и има първи, които ще бъдат последни.
31 Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
В същия час дойдоха някои фарисеи, които Му казаха: Излез и иди Си оттук, защото Ирод иска да Те убие.
32 Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
И рече им: Идете, кажете на тая лисица: Ето, изгонвам бесове, и изцелявам днес и утре, и в третия ден свършвам.
33 Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
Обаче трябва днес и утре, и други ден да пътувам; защото не е възможно пророк да загине вън от Ерусалим.
34 Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
Ерусалиме! Ерусалиме! Ти, който избиваш пророците, и с камъни убиваш пратените до тебе, колко пъти съм искал да събера твоите чада, както кокошка прибира пилците си, под крилете си, но не искахте!
35 Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”
Ето, оставя се вам дома ви пуст; и казвам ви, няма да Ме видите до когато кажете: Благословен, Който иде в Господното име.

< Luka 13 >