< Yohana 5 >

1 Baada ya hapo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, na Yesu alipanda kwenda Yerusalemu.
Après ces choses, il y eut une fête des Juifs, et Jésus monta à Jérusalem.
2 Na kule Yerusalemu palikuwa na birika kwenye mlango wa kondoo, lililokuwa likiitwa kwa lugha ya Kiebrania Bethzatha, nalo lina matao matano.
Or, il y a à Jérusalem, près de la porte des brebis, une piscine appelée en hébreu « Béthesda », et comportant cinq portiques.
3 Idadi kubwa ya wagonjwa ilikuwemo, vipofu, viwete, au waliopooza walikuwa wamelala katika matao hayo. (Zingatia: Maneno ya mstari wa 3 hayaonekani katika nakala nzuri za kale. “Wakisubiri maji kutibuliwa.”) Kwa hakikia wakati fulani malaika alishuka ndani ya Bwana na kuyatibua maji.
Une grande foule de malades, d'aveugles, de boiteux ou de paralytiques y étaient couchés, attendant que l'eau se mette à bouger.
4 Kwahiyo, yule ambaye alikuwa wa kwanza kuingia ndani ya baada ya maji kutibuliwa alifanywa mzima kutokana na chochote kilichokuwa kimemshika kwa wakati huo.
Car un ange descendait à certains moments dans la piscine et remuait l'eau. Celui qui entrait le premier après le remuement de l'eau était guéri de la maladie qu'il avait.
5 Na mtu mmoja aliyekuwa ameugua kwa muda wa miaka thelathini na minane alikuwa ndani ya matao.
Il y avait là un homme qui était malade depuis trente-huit ans.
6 Yesu alipomwona amelala ndani ya matao na baada ya kutambua kuwa amelala pale kwa muda mrefu Yesu alimwambia, “Je unataka kuwa mzima?”
Jésus, l'ayant vu couché là, et sachant qu'il était malade depuis longtemps, lui demanda: « Veux-tu être guéri? »
7 Yule mgonjwa akamjibu, “Bwana sina mtu, wa kuniweka katika birika wakati maji yanapotibuliwa. Wakati ninapojaribu kuingia mtu mwingine hunitangulia.”
Le malade lui répondit: « Seigneur, je n'ai personne pour me mettre dans la piscine quand l'eau est agitée, mais pendant que je viens, un autre descend devant moi. »
8 Yesu akamwambia, “Inuka na uchukue godoro lako na uende.”
Jésus lui dit: « Lève-toi, prends ton grabat, et marche. »
9 Mara yule mtu akaponywa, akachukua kintanda chake na akaenda. Na siku hiyo ilikuwa siku ya Sabato.
Aussitôt, l'homme fut guéri, il reprit son tapis et marcha. Or, ce jour-là était un sabbat.
10 Hivyo Wayahudi wakamwambia yule mtu aliyeponywa, “Leo ni siku ya Sabato, na hauruhusiwi kubeba godoro lako.”
Les Juifs dirent donc à celui qui avait été guéri: « C'est le sabbat. Il ne t'est pas permis de porter le tapis. »
11 Akajibu, yeye aliyeniponya ndiye aliyeniambia, “Chukua godoro lako na uende.”
Il leur répondit: « Celui qui m'a guéri m'a dit: 'Prends ton tapis et marche'. »
12 Wakauliza, “Ni nani aliyekuambia 'Chukua godoro lako na uende?'''
Ils lui demandèrent alors: « Qui est l'homme qui t'a dit: « Prends ton tapis et marche »? »
13 Ingawa, yule aliyeponywa hakumjua, kwa sababu Yesu alikuwa ameondoka kwa siri. Kwa kuwa kulikuwa na watu wengi katika sehemu hiyo.
Mais celui qui avait été guéri ne savait pas qui c'était, car Jésus s'était retiré, une foule étant dans le lieu.
14 Baada ya hapo Yesu alimkuta yule mtu hekaluni na akamwambia, “Tazama, umepona! “Usitende dhambi tena usije ukapatwa na jambo baya zaidi.”
Après cela, Jésus le trouva dans le temple et lui dit: « Voici que tu es guéri. Ne pèche plus, afin qu'il ne t'arrive rien de pire. »
15 Yule mtu akaenda na kuwataarifu Wayahudi kuwa Yesu ndiye aliyemponya.
L'homme s'en alla, et raconta aux Juifs que c'était Jésus qui l'avait guéri.
16 Hivyo, kwa sababu ya mambo hayo Wayahudi walimtesa Yesu, kwa sababu alifanya mambo haya siku ya Sabato.
C'est pourquoi les Juifs persécutèrent Jésus et cherchèrent à le faire mourir, parce qu'il faisait ces choses le jour du sabbat.
17 Yesu akawambia, “Baba yangu anafanya kazi hata sasa nami nafanya kazi.”
Mais Jésus leur répondit: « Mon Père travaille encore, et moi aussi je travaille. »
18 Kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kumtafuta ili wamuue sio tu kwa sababu ya kuivunja Sabato, bali kwa kumwita Mungu Baba yake, akijifanya kuwa sawa na Mungu.
C'est pourquoi les Juifs cherchaient d'autant plus à le faire mourir, que non seulement il violait le sabbat, mais encore qu'il appelait Dieu son propre Père, se faisant ainsi l'égal de Dieu.
19 Yesu akawajibu, “Amini, amini, Mwana hawezi kufanya kitu chochote isipokuwa kile ambacho amemwona Baba yake anakifanya, kwa kuwa chochote Baba akifanyacho ndicho na Mwana atakachofanya.
Jésus leur répondit: « En vérité, je vous le dis, le Fils ne peut rien faire de lui-même, sinon ce qu'il voit faire au Père. Car tout ce que celui-ci fait, le Fils le fait aussi.
20 Kwa kuwa Baba ampenda Mwana, na amwonyesha kila kitu anachokifanya na atamwonyesha mambo makubwa kuliko haya ili kwamba mzidi kushangaa.”
Car le Père a de l'affection pour le Fils, et il lui montre tout ce qu'il fait lui-même. Il lui montrera des œuvres plus grandes que celles-ci, afin que vous vous étonniez.
21 Kwa kuwa kama vile ambavyo Baba awafufuavyo wafu na kuwapa uzima, halikadhalika Mwana pia humpa yeyote ampendaye.
En effet, comme le Père ressuscite les morts et leur donne la vie, de même le Fils aussi donne la vie à qui il veut.
22 Kwa kuwa Baba hamhukumu yeyote, bali amempa Mwana hukumu yote
Car le Père ne juge personne, mais il a remis tout jugement au Fils,
23 ili kwamba wote wamuheshimu Mwana kama vile Mwana anavyomuheshimu Baba. Yeye asiyemuheshimu Mwana hamuheshimu Baba aliyemtuma.
afin que tous honorent le Fils, comme ils honorent le Père. Celui qui n'honore pas le Fils n'honore pas le Père qui l'a envoyé.
24 Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani. (aiōnios g166)
Je vous le dis en vérité, celui qui écoute ma parole et croit à celui qui m'a envoyé a la vie éternelle, et il ne vient pas en jugement, mais il est passé de la mort à la vie. (aiōnios g166)
25 Amini, amini, nawambia wakati unakuja na sasa upo ambao wafu watasikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wote watakao sikia wataishi.
Je vous le dis en vérité, l'heure vient, et elle est déjà venue, où les morts entendront la voix du Fils de Dieu, et ceux qui l'auront entendue vivront.
26 Kwa kuwa kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake mwenyewe,
Car, comme le Père a la vie en lui-même, de même il a donné au Fils d'avoir aussi la vie en lui-même.
27 kadhalika amempa Mwana kuwa na uzima ndani yake, na Baba amempa Mwana mamlaka ili kwamba ahukumu kwa kuwa ni Mwana wa Adamu.
Il lui a aussi donné le pouvoir de juger, parce qu'il est fils de l'homme.
28 Msishangazwe na hili, kwa kuwa wakati unakuja ambao wafu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake
Ne vous étonnez pas de cela, car l'heure vient où tous ceux qui sont dans les tombeaux entendront sa voix
29 nao watatoka nje: kwa waliotenda mema kwa ufufuo wa uzima, na walio tenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
et sortiront, ceux qui ont fait le bien pour la résurrection de la vie, et ceux qui ont fait le mal pour la résurrection du jugement.
30 Siwezi kufanya kitu chochote kutoka kwangu mwenyewe. Kama nisikiavyo, ndivyo ninavyo hukumu na hukumu yangu ni ya haki kwa kuwa sitafuti mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenituma.
Je ne peux rien faire de moi-même. Comme j'entends, je juge; et mon jugement est juste, parce que je ne cherche pas ma propre volonté, mais la volonté de mon Père qui m'a envoyé.
31 Kama nikijishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu usingelikuwa wa kweli.
« Si je témoigne de moi-même, mon témoignage n'est pas valable.
32 Kuna mwingine anayeshuhudia kuhusu mimi na ninajua kwa hakika ushuhuda anaonishuhudia ni wa kweli.
C'est un autre qui témoigne de moi. Je sais que le témoignage qu'il rend de moi est vrai.
33 Mmetuma kwa Yohana naye ameishuhudia kweli.
Tu as envoyé vers Jean, et il a rendu témoignage à la vérité.
34 Hatahivyo, ushuhuda ninaoupokea hautoki kwa mwanadamu. Ninayasema haya ili kwamba mweze kuokolewa.
Mais le témoignage que je reçois ne vient pas d'un homme. Cependant, je dis ces choses afin que vous soyez sauvés.
35 Yohana alikuwa ni taa iliyokuwa ikiwaka na kung'ara, na mlikuwa tayari kuifurahia kwa muda kitambo nuru yake.
Il était la lampe ardente et brillante, et vous avez bien voulu vous réjouir pour un temps de sa lumière.
36 Ushuhuda nilionao ni mkuu kuliko ule wa Yohana, kwa kazi ambazo Baba amenipa kuzikamilisha, hizo kazi nizifanyazo zashuhudia kuwa Baba amenituma.
Mais le témoignage que je rends est plus grand que celui de Jean; en effet, les œuvres que le Père m'a donné à accomplir, les œuvres mêmes que je fais, rendent témoignage de moi, que le Père m'a envoyé.
37 Baba aliyenituma yeye mwenyewe ameshuhudia kuhusu mimi. Hamjawahi kusikia sauti yake wala kuona umbo lake wakati wowote.
Le Père lui-même, qui m'a envoyé, a rendu témoignage de moi. Vous n'avez jamais entendu sa voix, ni vu sa figure.
38 Hamna neno lake likikaa ndani yenu kwa kuwa hamumwamini yeye aliyetumwa.
Vous n'avez pas sa parole qui vit en vous, parce que vous ne croyez pas à celui qu'il a envoyé.
39 Mnayachunguza maandiko mkidhani ndani yake mna uzima wa milele, na hayo maandiko yanashuhudia habari zangu na (aiōnios g166)
Vous sondez les Écritures, parce que vous pensez avoir en elles la vie éternelle; ce sont elles qui rendent témoignage de moi. (aiōnios g166)
40 hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima wa milele.
Mais vous ne voulez pas venir à moi, pour avoir la vie.
41 Sipokei sifa kutoka kwa watu,
Je ne reçois pas de gloire des hommes.
42 lakini ninajua kuwa hamna upendo wa Mungu ndani yenu ninyi wenyewe.
Mais je vous connais, et je sais que vous n'avez pas en vous l'amour de Dieu.
43 Nimekuja kwa jina la Baba yangu, hamukuweza kunipokea. Kama mwingine akija kwa jina lake mngempokea.
Je suis venu au nom de mon Père, et vous ne me recevez pas. Si un autre vient en son propre nom, vous le recevrez.
44 Je mnawezaje kuamini ninyi ambao mnapokea sifa kutoka kwa kila mmoja wenu lakini hamtafuti sifa itokayo kwa Mungu wa pekee?
Comment pouvez-vous croire, vous qui recevez la gloire les uns des autres, et vous qui ne cherchez pas la gloire qui vient du Dieu unique?
45 Msidhani mimi nitawashitaki mbele za Baba. Anayewashitaki ninyi ni Musa, ambaye ninyi mmeweka matumaini yenu kwake.
« Ne pensez pas que je vous accuserai devant le Père. Il y en a un qui vous accuse, même Moïse, en qui vous avez mis votre espoir.
46 Kama mngekuwa mnamwamini Musa, mngeniamini mimi kwa sababu aliandika kuhusu habari zangu.
En effet, si vous croyiez Moïse, vous me croiriez, car il a écrit sur moi.
47 Kama hamuamini maandiko yake, mtawezaje kuamini maneno yangu?
Mais si vous ne croyez pas ses écrits, comment croirez-vous mes paroles? »

< Yohana 5 >