< Yohana 3 >

1 Basi kulikuwa na Farisayo ambaye jina lake Nikodemo, mmoja wa wajumbe wa baraza la Wayahudi.
Il y avait là un homme d'entre les pharisiens, nommé Nicodème, chef des Juifs.
2 Mtu huyu alimwendea Bwana Yesu usiku na akamwambia, “Rabi, tunajua ya kuwa u mwalimu kutoka kwa Mungu, kwa maana hakuna mtu awezaye kutenda ishara hizi zote Mungu asipokuwa pamoja naye.”
Il vint de nuit auprès de Jésus et lui dit: « Rabbi, nous savons que tu es un docteur venu de Dieu; car personne ne peut faire ces signes que tu fais, si Dieu n'est pas avec lui. »
3 Yesu akamjibu, “Amini, amini, mtu hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu asipozaliwa mara ya pili.”
Jésus lui répondit: « En vérité, je te le dis, si quelqu'un ne naît pas de nouveau, il ne peut pas voir le Royaume de Dieu. »
4 Nikodemo akasema,” Mtu anawezaje kuzaliwa akiwa mzee? Hawezi kuingia tumboni mwa mama yake mara ya pili na kuzaliwa, je anaweza?”
Nicodème lui dit: « Comment un homme peut-il naître quand il est vieux? Peut-il entrer une seconde fois dans le sein de sa mère et naître? »
5 Yesu akajibu, “Amini, amini mtu sipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.
Jésus répondit: Je te le dis en vérité, si quelqu'un ne naît d'eau et d'Esprit, il ne peut entrer dans le royaume de Dieu.
6 Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili, na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
Ce qui est né de la chair est chair. Celui qui est né de l'Esprit est esprit.
7 Usishangae kwa sababu nilikuwambia, 'ni lazima kuzaliwa mara ya pili.'
Ne t' étonne pas que je t'aie dit: Il faut que tu naisses de nouveau.
8 Upepo huvuma popote upendapo na sauti yake mwaisikia, lakini hamjui utokako wala uendako. Ndivyo ilivyo hali ya kila aliyezaliwa na roho.
Le vent souffle où il veut, et vous entendez son bruit; mais vous ne savez d'où il vient ni où il va. Il en est ainsi de quiconque est né de l'Esprit. »
9 Nikodemo akajibu, kwa kusema, “Mambo haya yawezekanaje?”
Nicodème lui répondit: « Comment ces choses peuvent-elles être? »
10 Yesu akamjibu, “Wewe u mwalimu wa Israeli, hata hauyajui mambo haya?
Jésus lui répondit: « Es-tu le docteur d'Israël, et ne comprends-tu pas ces choses?
11 Amini, amini, nakuambia, kile tunachokifahamu twakishuhudia kwa kile tulichokiona. Lakini hampokei ushuhuda wetu.
Je vous le dis en vérité, nous disons ce que nous savons et nous rendons témoignage de ce que nous avons vu, et vous ne recevez pas notre témoignage.
12 Kama nimewambia mambo ya hapa duniani na hamuamini, mtawezaje kuamini kama nikiwambia mambo ya mbinguni?
Si je vous ai dit des choses terrestres et que vous ne croyiez pas, comment croirez-vous si je vous dis des choses célestes?
13 Maana hakuna aliyepanda juu kutoka mbinguni isipokuwa yeye aliyeshuka, Mwana wa Adamu.
Personne n'est monté au ciel, sinon celui qui est descendu du ciel, le Fils de l'homme, qui est dans le ciel.
14 Kama vile Musa alivyomwinua nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu lazima ainuliwe,
Comme Moïse éleva le serpent dans le désert, il faut de même que le Fils de l'homme soit élevé,
15 ili kwamba wote watakaomwamini wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
afin que quiconque croit en lui ne périsse pas, mais ait la vie éternelle. (aiōnios g166)
16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, kwamba akamtoa mwanae wa pekee, ili kwamba mtu yeyote amwaminiye asiangamie bali awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Car Dieu a tant aimé le monde qu'il a donné son Fils unique, afin que quiconque croit en lui ne périsse pas, mais ait la vie éternelle. (aiōnios g166)
17 Kwa sababu Mungu hakumtuma mwanae duniani ili auhukumu ulimwengu, bali kwamba ulimwengu uokolewe katika yeye.
Car Dieu n'a pas envoyé son Fils dans le monde pour juger le monde, mais pour que le monde soit sauvé par lui.
18 Amwaminiye Yeye hatahukumiwa. Yeye asiyemwamini tayari ameshahukumiwa kwa sababu hajaliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.
Celui qui croit en lui n'est pas jugé. Celui qui ne croit pas est déjà jugé, parce qu'il n'a pas cru au nom du Fils unique de Dieu.
19 Hii ndiyo sababu ya hukumu, ya kwamba nuru imekuja ulimwenguni, lakini wanadamu wakapenda giza zaidi ya nuru kwa sababu matendo yao yalikuwa maovu.
Tel est le jugement: la lumière est venue dans le monde, et les hommes ont préféré les ténèbres à la lumière, parce que leurs œuvres étaient mauvaises.
20 kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru wala haji nuruni ili matendo yake yasije yakawekwa wazi.
Car quiconque fait le mal hait la lumière et ne vient pas à la lumière, de peur que ses œuvres ne soient dévoilées.
21 Lakini, yeye atendaye kweli huja kwenye nuru ili matendo yake yaonekane kwamba yametendwa kwa utiifu wa Mungu.
Mais celui qui pratique la vérité vient à la lumière, afin que ses œuvres soient révélées, et qu'elles soient faites en Dieu. »
22 Baada ya haya, Yesu pamoja na wanafunzi walienda katika nchi ya Yudea. Huko alitumia muda pamoja nao na alikuwa akibatiza.
Après ces choses, Jésus vint avec ses disciples dans le pays de Judée. Il y resta avec eux, et il baptisa.
23 Sasa Yohana pia alikuwa akibatiza huko Ainea karibu na Salim maana kulikuwa na maji mengi pale. Watu walikuwa wakija kwake na kubatizwa,
Jean aussi baptisait à Enon, près de Salim, parce qu'il y avait là beaucoup d'eau. Ils vinrent et furent baptisés;
24 kwa kuwa Yohana alikuwa hajatupwa gerezani.
car Jean n'avait pas encore été jeté en prison.
25 Kisha palitokea mabishano kati ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi kuhusu sikukuuu za utakaso.
Les disciples de Jean eurent alors une dispute avec quelques Juifs au sujet de la purification.
26 Wakaenda kwa Yohana wakamwambia, “Rabi, yeye uliyekuwa naye ng'ambo ya Mto Yorodani, yeye uliyeshuhudia habari zake, tazama, anabatiza na wote wanaenda wanamfuata.”
Ils s'approchèrent de Jean et lui dirent: « Rabbi, celui qui était avec toi au-delà du Jourdain, et à qui tu as rendu témoignage, voici qu'il baptise, et tout le monde vient à lui. »
27 Yohana akajibu mtu hawezi kupokea kitu chochote isipokuwa kama amepewa kutoka mbinguni.
Jean répondit: Un homme ne peut rien recevoir si cela ne lui a pas été donné du ciel.
28 Ninyi wenyewe mwashuhudia kuwa nalisema kuwa, 'mimi sio Kristo', badala yake nilisema, 'nimetumwa mbele yake.'
Vous rendez vous-mêmes témoignage que j'ai dit: « Je ne suis pas le Christ », mais: « J'ai été envoyé avant lui ».
29 Yeye aliye na bibi arusi ni bwana harusi. Sasa rafiki wa bwana arusi, asimamaye na kusikiliza hufurahia sana kwa sababu ya sauti ya bwana arusi. Hii sasa ni furaha yangu iliyotimilika.
Celui qui a l'épouse est l'époux; mais l'ami de l'époux, qui se tient debout et qui l'écoute, se réjouit beaucoup à cause de la voix de l'époux. C'est pourquoi ma joie est complète.
30 Anapaswa kuzidi, nami napaswa kupungua.
Il faut qu'il augmente, mais il faut que je diminue.
31 Yeye atokaye juu, yu juu ya yote. Yeye aliye wa ulimwengu anatoka ulimwenguni na huongea mambo ya ki ulimwengu. Yeye atokaye mbinguni yuko juu ya yote.
« Celui qui vient d'en haut est au-dessus de tout. Celui qui vient de la terre appartient à la terre et parle de la terre. Celui qui vient du ciel est au-dessus de tout.
32 Yeye hushuhudia yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna apokeaye ushuhuda wake.
Ce qu'il a vu et entendu, il en rend témoignage, et personne ne reçoit son témoignage.
33 Yeye aliye pokea ushuhuda wake amehakikisha kuwa Mungu ni mkweli.
Celui qui a reçu son témoignage a marqué de son sceau que Dieu est vrai.
34 Kwa sababu yeye aliyetumwa na Mungu huongea maneno ya Mungu. Kwa kuwa hampi Roho kwa kipimo.
En effet, celui que Dieu a envoyé prononce les paroles de Dieu, car Dieu donne l'Esprit sans mesure.
35 Baba humpenda Mwana na amempa vitu vyote mikononi mwake.
Le Père aime le Fils, et il a remis toutes choses entre ses mains.
36 Yeye amwaminiye Mwana anao uzima wa milele, lakini kwa yeye asiye mtii Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu hushikamana juu yake. (aiōnios g166)
Celui qui croit au Fils a la vie éternelle, mais celui qui désobéit au Fils ne verra pas la vie, mais la colère de Dieu demeure sur lui. » (aiōnios g166)

< Yohana 3 >