< Ayubu 41 >

1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
Ngakoija Leviathan namat thei ding ham? Ahiloule aha a khaokol nabu peh thei ding ham?
2 Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
Anahhom sunga khao nathil lut theija, ahiloule akhalhang thihhem a nasut vang thei ding ham?
3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
Nakhoto ding ngeh na a, hung taova ahiloule nalainat pi dinga hung tao tuntun nam?
4 Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
Ahinkho a nasoh a panga nanatong dinga nanop peh ding hinam?
5 Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
Nangin hiche khu vacha banga nangailut bol thei hiya, ahiloule nachapang neunu kichepna dinga napeh thei ding ham?
6 Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
Kivei mihon athiljoh nau mun ho a joh dinga ahung kichoh diu hinam?
7 Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
Avun khu tengcha a nasut khah theija, ahiloule aluchang ngathal a nakap khah thei ding ham?
8 Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
Achunga nakhut ngam in lang hile chun kidounan ahin jui ding khu geldoh in natin, avel a nabol patep kit lou hel ding ahitai.
9 Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
Ahipoi hiche mat ding got chu phatchomna bei ahin, sadel hatpa thiltup jong chu kisuhnem peh ding ahi.
10 Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
Chuleh a itih a koima chan asuhnoh phah ngamlou ahin, koiham kamasanga ding ngam ding chu.
11 Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
Kangaichat pet tah a kalepeh kit ding thil eipe chu koi ham? Vannoija thil umjouse hi keija ahi.
12 Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
Leviathan tibah ho hoidan chuleh athahat oupe dan chule agongso hoidan ho kasei nomme.
13 Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
Avun khu kon alahdoh peh theija chule athoa um agalvon khu kon amulet pai thei ding ham?
14 Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
Akhalhang khu kon akal keh a ahondoh ding ham? Ajeh chu aha khu tijat jat um behseh jeng ahi.
15 Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
Alip ho chu pho banga agol gol a detchet a mahor kinam banga thakhat'a kinam detchet ahi.
16 Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
Kimatchet a umkhom ahijeh chun akah a hui jangkhat cha jong alut theipoi.
17 Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
Alip khat chu aban'a alip chunga hub eh detchet a, khat leh khat kikam toa kimulet pai theilou ahi.
18 Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
Anah akhon tengle avahlap lap jengin, amitchang teni jong jingkah nichangsat pet toh abange.
19 Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
Akamsunga konin meisi apahlah lah jin, meikou ahung vahdoh ji'e.
20 Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
Meichunga twibel kisonga, twihu pot bangin anahhomma konin meikhu ahung kitung doh ji'e.
21 Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
Akamsunga konna meikou alendoh ji jeh chun, ahai husa chun meihol ahal kou jeng jin ahi.
22 Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
Leviathan ngongchang thahatna chun chene jouse a kichat tijatna asosah e.
23 Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
Aphe ho chu atah in chuleh adetchet in, akimulet thei poi.
24 Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
Alungchang chu song bangin atah in sumhei song bangin atah e.
25 Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
Ahung kithodoh tengle thahat chungnung ho akicha jiuvin, kichat tijatnan amanchah kheh jin ahi.
26 Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
Chemjam, tengcha, thalchang ahiloule tengcha neoho khat chan asutang joupoi.
27 Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
Thih jong imacha ahisah poi. Hiche thilsem ding hin changpol tobangbep bou ahin, chuleh sum-eng jong thing motsa tobangbep ahi.
28 Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Thalchang in adeljam joupon, song aboma kisep jong chu hampan ajepkhah abang bep e.
29 Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
Akivoh ho jong chu ham donthah toh abahsah in chule tengcha neu euvel vul hung leng jong chu anuisat bep e.
30 Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
A oipoh chu haihal hemtah tobang alip in atom in ama chena nung chu loukai nang pan lou akainangna nung abahsah ji'e.
31 Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
Leviathan chun twi lah'a aum tengle twi chu belphul abahsah ji'e. Twikhanglen tojong thao kiloijol abahsah jin ahi.
32 Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
Twi lah'a ache tengle twi kinong ho chu aval lah lah jin, gah vet ding'in twikhanglen chu akang in akilang ji'e.
33 Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
Leiset chunga ama kibahpi aumpon, ama tobanga kichat neilou thilsem ganhing dang aumpoi.
34 Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”
Thilsem ganhing jouse lah a akiletsah pen ahin, amahi ganhing jouse leng ahi.

< Ayubu 41 >