< Ayubu 40 >

1 Yahweh aliendelea kuongea na Ayubu na kusema,
Hichun Pakaiyin Job komma aseijin:
2 “Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? Na yeye anayehojiana na Mungu, na ajibu yeye.”
Hatchungnungpa chu nakinelpi nom nah laijam? Pathen thutan dihlouna podohpa nahin, ahileh donbutna ding nanei nahlai em?
3 Ndipo Ayubu akamjibu Yahweh na kusema, “
Hichun Job in Pakai chu adonbut in,
4 Tazama, mimi si mtu muhimu; je nawezaje kukujibu? Ninauweka mkono wangu juu ya mdomo wangu.
Keima ima hilou kahi, adonbutna ding chu iti kaholdoh jou ding ham? Kakhut in kamuh kisip ing katin,
5 Ninazungumza mara moja, na sitakujibu; hakika, mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.”
Thu tamtah kaseidoh ahitan, seibe ding kanei tapoi.
6 Kisha Yahweh akamjibu Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kusema,
Hiti chun Pakaiyin chimpei lah a kon in Job ahin donbut in,
7 “Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume, kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
Pasal phatah bangin nakong kigah in, keiman nangma doh ding thudoh themkhat kaneijin, chuleh nangin hiche ho chu nadonbut ding ahi.
8 Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?
Kathutan dihna hi tahsan louva nakoija, chule nangma dihna photchetna dinga kei themmo neichan joh ding ham?
9 Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?
Pathen banga thahat nahin, Pathen ogin banga nangin van nagin sah thei ding ham?
10 Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi.
Aphai naloupina leh nagun chenan kivon in lang, ja naumna leh aming than nan kivon temin.
11 Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.
Nalung hanna ngoh ding hol in lang, mikiletsah teho jouse chunga chuhen.
12 Mwangalie kila mmoja mwenye kiburi na umweke chini; wakanyage chini watu waovu mahali wanaposimama.
Mikiletsah techu namit hei chun jachat sah in lang, migiloute chu adin nauva chun chot phan.
13 Wazike ardhini pamoja; zifunge nyuso zao katika sehemu zilizositirika.
Leivui lah a chun vui in lang, amaho chu mithigam songkul'a hunk hum den tan.
14 Ndipo pia nitakapokubali ya kwamba mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.
Chutia chu kei jengin jong kapachat ding nahi, ijeh inem itile nabangol thahat chun nahuhuhdoh ahitai.
15 Mwangalie sasa kiboko, ambaye niliwafanya kama nilivyokufanya wewe; anakula nyasi kama ng'ombe.
Behemoth khu vetemin, nang kasem banga kasem ahin, bongchal bangin hampa ane e.
16 Ona sasa, nguvu zake ziko katika viuno vyake; nguvu zake zi katika mishipa ya tumbo lake.
Akengphang athahat nale, a oipoh a aphe ho khu ven.
17 Yeye huuondoa mkia wake kama mti wa mwerezi; mishipa ya paja lake imeunganishwa pamoja.
Amei jong khu Cedar thing bangin atah in, akhel teni a aphe ho khu detchet a kipheh khomahi.
18 Mifupa yake ni kama ya mirija ya shaba; na miguu yake ni kama kipande cha chuma.
Agu ho jong sum-eng long abangin atibah ho jong thihjol tobang ahi.
19 Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda.
Pathen khutsem ho lah a vetkah theipen ahin, chuleh asempa bouvin agihsal thei ahi.
20 Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu.
Gam'a gamsa jouse lhatle namun hiche molsang hohin amaho dinga anneh phapen pen chu apeh nom u ahi.
21 Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
Thambal pahcha phung noija chun akol jin, pengphung boh lah a akisel jin ahi.
22 Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote.
Vadung pang thingnem ho lah a pahcha phungho chu amadin lim in apange.
23 Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake.
Vadung twisoh in ama asunoh phah pon, Jordan vadung soh hen lang chup jongle alungkham deh poi.
24 Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?
Koima chan amandoh joupoi, ahiloule anah avu a, thihkol abu peh a chuleh akaimang theilou ahi.

< Ayubu 40 >