< Zaburi 1 >

1 Amebarikiwa mtu yule asiye enenda katika ushauri wa waovu, au kusimama katika njia ya wenye dhambi, au kukaa katika kusanyiko la wenye mizaha.
Migiloute thuhil jom louva, michonse ho lamlhah dunga jong dingle lou; chule Pathen ginglou ho kikhop na dunga jong toukhompilou mi chu anunnom ahi.
2 Bali yeye huifurahia sheria ya Yahwe, na huitafakari sheria yake mchana na usiku.
Hitobang mihochun Pakai Danthua bou lunglhaina anei’un, Pakai Dan thu chu sun le jan in angaito jing jeng ui.
3 Atakuwa kama mti uliopandwa karibu na mkondo wa maji ambao huzaa matunda yake kwa majira yake, ambao majani yake hayakauki; lolote afanyalo litafanikiwa.
Hitobang mi hochu twi lonna luipanga kiphut, aphat cha hung gaji adojong gopjilou thingphung tobang ahi; hitobang miho jong chu atohna lam lam’uva alolhing jiuve.
4 Waovu hawako hivyo, wao badala yake ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
Pakai ginglouho vang chutobang ahipoi: huilhoh mangle changvai tobangbep ahiuve.
5 Kwa hivyo waovu hawatasimama katika hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
Hijeh a chu Pakai gingloute chu thutan nikho tengleh themmo changdiu, michonse hon jong midih ho lah’a mun aneiloudiu ahi.
6 Kwa kuwa Yahweh huikubali njia ya wenye haki, njia ya waovu itaangamizwa.
Ajeh chu Pakai in michonpha ho lamlhah ahetpeh jing in, Pakai ginglou ho lampi vang manthahna’a lut diu ahi.

< Zaburi 1 >