< Ayubu 37 >

1 Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
Да! Поради това сърцето ми трепери И се измества от мястото си.
2 Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
Слушайте внимателно гърма на гласа Му, И шума, който излиза из устата Му.
3 Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
Праща го под цялото небе И светкавицата Си до краищата на земята;
4 Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
След нея рече глас, Гърми с гласа на величието Си, И не ги възпира щом се чуе гласа Му.
5 Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
Бог гърми чудно с гласа Си, Върши велики дела, които не можем да разбираме;
6 Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
Защото казва на снега: Вали на земята, - Също и на проливния дъжд и на поройните Си дъждове;
7 Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
Запечатва ръката на всеки човек, Така щото всичките човеци, които е направил, да разбират силата Му.
8 Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
Тогава зверовете влизат в скривалищата И остават в рововете си.
9 Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
От помещението си иде бурята, И студът от ветровете що разпръскват облаците.
10 Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
Чрез духане от Бога се дава лед, И широките води замръзват;
11 Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
Тоже гъстия облак Той натоварва с влага, Простира на широко светкавичния Си облак,
12 Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
Които според Неговото наставление се носят наоколо За да правят всичко що им заповядва По лицето на земното кълбо.
13 Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
Било, че за наказание, или за земята Си, Или за милост, ги докарва.
14 Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
Слушай това, Иове, Застани та размисли върху чудесните Божии дела.
15 Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
Разбираш ли как им налага Бог волята Си. И прави светкавицата да свети от облака Му?
16 Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
Разбираш ли как облаците увисват, Чудесните дела на Съвършения в знание?
17 Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
Ти, чиито дрехи стават топли, Когато земята е в затишие, поради южния вятър,
18 Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
Можеш ли като Него да разпростреш небето, Което, като леяно огледало е здраво?
19 Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
Научи ни що да Му кажем, Защото поради невежество ние не можем да наредим думите си
20 Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
Ще Му се извести ли, че желая да говоря, Като зная че, ако продума човек непременно ще бъде погълнат?
21 Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
И сега човеците не могат да погледнат на светлината, Когато блещи на небето, като е заминал вятърът и го е очистил,
22 Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
Та е дошло златозарно сияние от север; А как ще погледнат на Бога, у Когото е страшна слава!
23 Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
Всемогъщ е, не можем да Го проумеем, превъзходен е в сила; А правосъдието и преизобилната правда Той няма да отврати.
24 Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”
Затова Му се боят човеците; Той не зачита никого от високоумните.

< Ayubu 37 >