< Ayubu 36 >

1 Elihu aliendelea na kusema,
Elihú je tudi nadaljeval in rekel:
2 “Niruhusu niseme kidogo zaidi, nami nitakuonesha baadhi ya mambo kwasababu nina maneno machache ya kusema kwa ajili ya Mungu.
»Dovoli mi malo in pokazal ti bom, da bom še govoril za Boga.
3 Nitapata maarifa yangu kutoka mbali; nitatambua kwamba haki ni ya Muumba wangu.
Svoje spoznanje bom prinesel od daleč in pravičnost pripisal svojemu Stvarniku.
4 Kwa kweli, maneno yangu hayatakuwa ya uongo; mtu fulani aliyekomaa katika maarifa yu pamoja nawe.
Kajti zares moje besede ne bodo napačne. On, ki je popoln v spoznanju, je s teboj.
5 Angalia, Mungu ni mwenye nguvu, na hamdharau mtu yeyote; yeye ni mwenye nguvu katika uweza wa ufahamu.
Glej, Bog je mogočen in ne prezira nikogar. Mogočen je v moči in modrosti.
6 Yeye huwa hayahifadhi maisha ya watu waovu bali badala yake hufanya yaliyo ya haki kwa wale wanaoteseka.
Ne varuje življenja zlobnih, temveč daje pravico ubogim.
7 Haondoi macho yake kwa wenye haki bali badala yake huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme milele, nao wameinuliwa juu.
Svojih oči ne umakne od pravičnih, temveč so oni s kralji na prestolu. Da, utrjuje jih na veke in so povišani.
8 Ikiwa wamefungwa minyororo na kunaswa katika kamba za mateso,
In če bodo zvezani v okove in držani v vrveh stiske,
9 kisha huwafunulia kile walichokifanya, na maovu yao na kiburi chao.
tedaj jim kaže njihovo delo in njihove prestopke, ki so jih presegli.
10 Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake, na huwaamuru wageuke kutoka katika uovu.
Tudi njihovo uho odpira k disciplini in zapoveduje, da se vrnejo od krivičnosti.
11 Ikiwa watamsikiliza na kumwabudu yeye, wataishi katika mafanikio katika siku zao, na miaka yao katika hali ya kuridhika.
Če ga ubogajo in mu služijo, bodo svoje dni preživeli v uspevanju in svoja leta v užitkih.
12 Hata hivyo, kama hawatasikiliza, wataangamia kwa upanga; watakufa kwasababu hawana maarifa.
Toda če ne ubogajo, se bodo pogubili pod mečem in umrli bodo brez spoznanja.
13 Na wale wasiomjua Mungu hutunza hasiria zao katika mioyo; hawaombi msaada hata wakati ambapo Mungu huwafunga.
Toda hinavci v srcu kopičijo bes. Ne vpijejo, ko jih zvezuje.
14 Hawa hufa katika ujana wao; na maisha yao hukoma kati ya makahaba.
Umrejo v mladosti in njihovo življenje je med nečistimi.
15 Mungu huwainua watu walioonewa kwa njia ya mateso yao; hufungua masikio yao kwa njia ya uonevu wao.
Revnega osvobaja v njegovi stiski in njihova ušesa odpira v zatiranju.
16 Kwa hakika, yeye angependa kuwatoa ninyi katika mateso na kuwaweka katika sehemu pana ambapo hakuna masumbufu na mahali ambapo meza yenu ingewekwa ikiwa na chakula kilichojaa mafuta.
Celo tako bi te odstranil iz tesnega na prostran kraj, kjer ni omejenosti in to, kar naj bi bilo postavljeno na tvojo mizo, bi bilo polno tolšče.
17 Lakini wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu; hukumu na haki umeziachilia.
Toda izpolnil si sodbo zlobnega. Sodba in pravica te bosta zgrabili.
18 Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; na sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.
Ker je bes, pazi, da te ne bi odvzel s svojim udarcem. Potem te velika odkupnina ne more osvoboditi.
19 Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia?
Bo cenil tvoja bogastva? Ne niti zlata niti vseh sil moči.
20 Usiutamani usiku ili utende dhambi dhidi ya wengine wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao.
Ne želi si noči, ko so ljudje iztrebljeni iz svojega kraja.
21 Uwe mwangalifu ili kwamba usigeukie dhambi kwasababu unajaribiwa kwa mateso ili kwamba ukae mbali na dhambi.
Pazi, ne oziraj se na krivičnost, kajti to si izbral raje kakor stisko.
22 Angalia, Mungu ameinuliwa katika nguvu zake; ni nani aliye mwalimu kama yeye?
Glej, Bog s svojo močjo povišuje. Kdo poučuje kakor on?
23 Ni nani alishamwalekeza njia yake? Nani anayeweza kumwambia, 'Wewe umetenda mambo yasiyo ya haki?'
Kdo se mu je pridružil na njegovi poti? Ali kdo lahko reče: ›Počel si krivičnost?‹
24 Kumbuka kuyasifu matendo yake, ambayo watu wameyaimba.
Spomni se, da poveličuješ njegovo delo, ki ga ljudje gledajo.
25 Watu wote wameshayatazama hayo matendo, lakini wanayaona tu matendo hayo kwa mbali sana.
Vsak človek ga lahko vidi. Človek ga lahko gleda od daleč.
26 Tazama, Mungu ni mkuu, lakini sisi hatumfahamu yeye vizuri; hesabu ya miaka yake haihesabiki.
Glej, Bog je velik in mi ga ne poznamo niti število njegovih let ne more biti preiskano.
27 Kwa kuwa yeye huvuta matone ya maji ili kuyachuja kama mvua katka mvuke wake,
Kajti kapljice vode dela majhne. Dež izliva glede na njegovo meglico,
28 ambayo mawingu yake huyamwaga chini na kuyandondosha kwa wingi kwa mwanadamu.
katero oblaki kapljajo in obilno rosijo na človeka.
29 Hakika, kuna hata mmoja awezaye kuelewa kwa undani kusambaa kwa mawingu na radi kutoka katika nyumba yake?
Mar prav tako lahko kdorkoli razume razširjanje oblakov ali zvok njegovega šotora?
30 Angalia, hueneza mwanga wake kumzunguka na kufunika mizizi ya bahari.
Glej, svojo svetlobo razširja nanje in pokriva dna morja.
31 Kwa namna hii huyahukumu mataifa na kuwapa chakula kwa wingi.
Kajti z njimi sodi ljudstvu, hrano daje v obilju.
32 Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga mpaka pale anapouamuru kupiga shabaha yake.
Z oblaki pokriva svetlobo in ji zapoveduje, naj ne sveti z oblakom, ki prihaja vmes.
33 Na muungurumo wake huonya kwa dhoruba, wanyama wanaweza kusikia kuja kwake.
Njegov hrup govori o tem, tudi živina glede meglice.

< Ayubu 36 >