< Ayubu 35 >

1 Aidha, Elihu aliendelea kusema,
Elihú je poleg tega spregovoril in rekel:
2 “Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
»Mar misliš, da je to pravilno, da govoriš: ›Moja pravičnost je večja kakor Božja?‹
3 Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
Kajti praviš: ›Kakšna prednost ti bo to?‹ in ›Kakšno korist bom imel, če bom očiščen pred svojim grehom?‹
4 Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
Odgovoril ti bom in tvojim družabnikom s teboj.
5 Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
Poglej v nebo in glej. Ogleduj oblake, ki so višje kakor ti.
6 Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
Če grešiš, kaj delaš zoper njega? Ali če so tvoji prestopki pomnoženi, kaj mu delaš?
7 Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
Če si pravičen, kaj mu daješ? Ali kaj on prejema iz tvoje roke?
8 Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
Tvoja zlobnost lahko prizadene človeka, kakor si ti in tvoja pravičnost lahko koristi človeškemu sinu.
9 Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
Zaradi množice zatiranj povzročajo zatiranim, da kričijo. Vpijejo zaradi lakta mogočnega.
10 Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
Toda nihče ne pravi: ›Kje je Bog, moj stvarnik, ki daje pesmi ponoči,
11 ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
ki nas uči več kakor zemeljske živali in nas dela modrejše kakor perjad neba?‹
12 Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
Tam vpijejo, toda nihče ne daje odgovora zaradi ponosa zlobnežev.
13 Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
Bog zagotovo ne bo slišal prazne reči niti se Vsemogočni na to ne bo oziral.
14 Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
Čeprav praviš, da ga ne boš videl, je vendar sodba pred njim, zato zaupaj vanj.
15 Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
Toda sedaj, ker to ni tako, je obiskal v svoji jezi, vendar on tega v veliki skrajnosti ne pozna.
16 Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”
Job zato svoja usta zaman odpira. Besede množi brez spoznanja.«

< Ayubu 35 >