< Zaburi 1 >

1 Amebarikiwa mtu yule asiye enenda katika ushauri wa waovu, au kusimama katika njia ya wenye dhambi, au kukaa katika kusanyiko la wenye mizaha.
Blagoslovljen je človek, ki ne hodi po nasvetu brezbožnih niti ne stoji na poti grešnikov niti ne poseda na sedežu posmehljivcev.
2 Bali yeye huifurahia sheria ya Yahwe, na huitafakari sheria yake mchana na usiku.
Temveč je njegovo veselje v Gospodovi postavi in o njegovi postavi premišljuje podnevi in ponoči.
3 Atakuwa kama mti uliopandwa karibu na mkondo wa maji ambao huzaa matunda yake kwa majira yake, ambao majani yake hayakauki; lolote afanyalo litafanikiwa.
On bo kakor drevo, posajeno ob rekah vodá, ki prinaša svoj sad ob svojem času. Prav tako njegovo listje ne bo ovenelo in karkoli dela, bo uspelo.
4 Waovu hawako hivyo, wao badala yake ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
Brezbožni niso takšni, temveč so kakor pleve, ki jih veter odnaša.
5 Kwa hivyo waovu hawatasimama katika hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
Zato brezbožni ne bodo obstali na sodbi niti grešniki v skupnosti pravičnih.
6 Kwa kuwa Yahweh huikubali njia ya wenye haki, njia ya waovu itaangamizwa.
Kajti Gospod pozna pot pravičnih, toda pot brezbožnih bo izginila.

< Zaburi 1 >