< Isaya 30 >

1 Ole wa watoto waasi, ''Hili ni tamko la Yahwe. ''Wataweka mipango, lakini haitatoka kwangu; wataungana na mataifa mengine, lakini hawakuongozwa na Roho wangu, hivyo wanongeza dhambi baada ya dhambi.
Woe to! children [who are] rebellious [the] utterance of Yahweh by making a plan and not from me and by pouring out a libation and not spirit my so as to add sin to sin.
2 Wanapanga kushuka chini Misri, lakini hawajaniomba niwaelekeze. Wanatafuta ulinzi kutoka kwa Farao kuchukua kimbilio katika kivuli cha Misri.
Who go to go down Egypt and mouth my not they have consulted to take refuge in [the] refuge of Pharaoh and to seek refuge in [the] shadow of Egypt.
3 Hivyo basi ulinzi wa Farao utakuwa aibu yenu, na kimbilio lenu katika kivuli cha Misri, kitakuwa udhalilishaji wenu,
And it will become for you [the] refuge of Pharaoh shame and the refuge in [the] shadow of Egypt ignominy.
4 japo wakuu wako Sayuni, na wajumbe wao wamekuja Hanesi.
For they have been in Zoan officials its and messengers its Hanes they have reached.
5 Watahaibika kwa sababu ya watu ambao hawawezi kuwasaidia, wala kuwa na faida, lakini ni aibu, na fedheha.
Everyone (he will be ashamed *QK) on a people [which] not they will confer profit to them not for help and not to confer profit for for shame and also for reproach.
6 Tamko kuhusu mnyama wa Negevi: kupitia kwenye mlango wa mateso na hatari, wa simba jike na simba dume, nyoka na nyoka wa moto aneyepaa, wamebeba utajiri wao kwenye mgongo wa punda, na hazina yao katika mabega ya ngamia, kwa watu ambao hawana msaada kwao.
[the] oracle of [the] animals of [the] Negev In a land of trouble and distress lioness and lion from them viper and serpent flying they carry on [the] shoulder of donkeys wealth their and on [the] hump of camels treasures their to a people [which] not they will confer profit.
7 Maana msaada Misri hauna maana; hivyo basi nimemwita Rahabu, aliyekaa bado.
And Egypt futility and vanity they will help therefore I call this [one] Rahab they a sitting still.
8 Sasa nenda, andika hili mbele yao juu ya meza, na uyaandike katika kitabu, iliyaifadhiwe kwa mda mrefu kama ushuhuda.
Now go write it on a tablet with them and on a scroll inscribe it so may it be for a day future for ever until perpetuity.
9 Maana ni watu waasi, watoto waongo, watoto ambao hawaskilizi maelekezo ya Yahwe.
For [is] a people of rebellion it children lying children [who] not they have been willing to hear [the] law of Yahweh.
10 Wanawambia waonaji, ''msiangalie; na kwa manabii, ''msitabiri yaliyoyakweli kwetu; zungumza maneno ya kujipendeza kwetu, tabiri udanganyifu. Geukeni katika njia,
Who they have said to the seers not you must see and to the seers not you must see for us straightforwardness speak to us flattering [words] see deception.
11 ondokeni kwenye njia; maana Mtakatifu wa Israeli amesitisha kuongea mbele ya uso wetu.
Turn away from [the] way turn aside from [the] path cause to cease from before us [the] holy [one] of Israel.
12 Hivyo basi mtakatifu wa Israeli asema, ''Kwa sababu umekataa maneno haya na kujifunza ukandamizaji na udanganyifu,
Therefore thus he says [the] holy [one] of Israel because have rejected you the word this and you have trusted in oppression and a crooked [thing] and you have depended on it.
13 hivyo dhambi hii itakuwa kwenu kama kitu kilichovunjika tayari kwa kuanguka, kama kitu katika ukuta mrefu ambao anguko lake linakaribia, papo kwa hapo.''
Therefore it will become for you the iniquity this like a breach about to fall bulging in a wall high which suddenly to suddenness it will come breaking its.
14 Atavunja kama chombo cha mfinyanyanzi kivunjavyo, hivyo basi hakitabaki kitu, hivyo hakuna vipande vyovyote vya kigae kitoshacho kutwaa moto jikoni, kuchota maji kisimani.
And someone will break it like [the] breaking of a jar of potters crushed [which] not anyone will spare and not it will be found among fragment[s] its a potsherd to snatch up fire from a fireplace and to scoop water from a cistern.
15 Maana Bwana Yahwe, Mtakatifu wa Israeli asema hivi, ''Kwa kurudi na kwa kupumzika mtaokolewa; katika utulivu na imani itakuwa ni nguvu zako, Lakini hamkuwa tayari.
For thus he says [the] Lord Yahweh [the] holy [one] of Israel in returning and rest you will be delivered! in being quiet and in trusting it will be strength your and not you were willing.
16 Amesema, 'Hapana, maana kukimbia kwa farasi; hivyo tutakimbia; tutakimbia kwa kutumia farasi mwepesi; hivyo basi watakaojingiza watakuwa wepesi.
And you said In-deed on horse[s] we will flee there-fore you will flee! and on swift [horse][s] we will ride there-fore they will prove swift [those who] pursue you.
17 Watu eflu moja watakimbia kwa kumuhofia mtu mmoja; kwa vitisho vya watu watano mtakimbia mpaka mtakuwa kama nguzu ya bendera iliyoko juu ya mlima, au kama bendera kwenye kilima.''
A thousand one because of [the] threat of one because of [the] threat of five you will flee until you have been left like flagstaff on [the] top of mountain and like standard on hill.
18 Lakini Bwana anawasubiri ili awape neema yake, Hivyo basi yuko tayari kuwaonyesha huruma. Maana Yahwe na Mungu wa haki; Huwabarikiwe wale wanaomsubiri yeye.
And therefore he is waiting Yahweh to show favor to you and therefore he is rising up to have compassion on you for [is] a God of justice Yahweh how blessed! [are] all [those who] wait for him.
19 Maana watu wataishi Sayuni, na Yerusalemu na hawatalia tena. Hakika atakuwa neema kwenu kwa sauti ya kilio chenu. Atakaposikia tu, atawajibu ninyi.
For a people in Zion it will dwell in Jerusalem certainly not you will weep certainly he will show favor to you to [the] sound of crying out you when hears he he will answer you.
20 Kupitia Yahwe tunapata mkate wa shida na maji ya mateso, hata sasa, mwalimu wako hatajifisha mwenyewe tena, lakini utamuona mwalimu wako kwa macho yako mwenyewe.
And he will give to you [the] Lord bread distress and water oppression and not he will hide himself again teachers your and they will be eyes your seeing teachers your.
21 Masikio yako yatasikia maneno yanayosemwa nyuma, Hii ndio njia, pitia hii, ''utakapogeuka upande wa kulia au utakageuka upande wa kushoto.
And ears your they will hear a word from behind you saying this [is] the way walk in it that you will go to [the] right and that you will go to [the] left.
22 Mtakinajisi kifuniko chenu mlichokiweka juu ya pesa na dhahabu na kukitupa. Mtakitupa mbali kama hedhi kali, '''utawambia wao, ''Ondokeni hapa.''
And you will make unclean [the] plating of [the] images of silver your and [the] sheathing of [the] molten image of gold your you will throw away them like a menstrual [rag] filth you will say to it.
23 Naye atatoa mvua kwanye mbegu zenu mtakapopanda kwenye aridhi, na mkate utakuwa kwa wingi kutoka kwenye aridhi na mazao yatazaa kwa wingi. Katika siku hizo ng'ombe zako zitachungwa katika eneo kubwa.
And he will give [the] rain of seed your which you will sow the ground and [will be] food [the] produce of the ground and it will be fat and fat it will graze livestock your in the day that pasture roomy.
24 Ng'ombe na punda, wanaolima kwenye aridhi, watakula chakula cha majira kilicho tawnywa kwa koleo na uma.
And the cattle and the donkeys [which] work the ground fodder salted they will eat which [someone has been] winnowing with the shovel and with the pitchfork.
25 Juu ya mlima mrefu na juu ya kilima kirefu, kutapitasha vijito na mifereji ya maji, katika siku siku ya machinjio makuu pale minara yote itakapoanguka.
And it will be - on every mountain high and on every hill lifted up streams watercourses of water in a day of slaughter great when fall towers.
26 Mwanga wa mwenzi utakuwa kama mwanga wa jua, na mwanga wa jua utang'aa mara saba, kama mwanga wa siku saba. Yahwe atakapofunga kuvujwa kwa watu wake na kuyaponya majeraha waliyoyapata.
And it will be [the] light of the moon like [the] light of the sun and [the] light of the sun it will be sevenfold like [the] light of seven days on [the] day binds up Yahweh [the] fracture of people his and [the] wound of blow his he will heal.
27 jina la Yahwe limekuja kutoka sehemu ya mbali, Linawaka kwa hasira yake na katika moshi mnene. Midomo yake imejaa hasira, na lugha yake nia kama moto unaoangamiza.
There! [the] name of Yahweh [is] coming from a distance [is] burning anger his and [is] heaviness of lifting up lips his they are full indignation and tongue his [is] like a fire consuming.
28 Punzi yake ni kama maji yaliyojaa yanayofika mpaka katikati ya shingo, kwa ajili kuchuja mataifa kwa kuhamasisha uharibifu. Pumzi yake ni mzabuni katika taya za watu wanowasababisha kutangatanga mbali.
And breath his [is] like a torrent overflowing to [the] neck it reaches for shaking nations in a sieve of worthlessness and a halter [which] leads astray [is] on [the] jaws of peoples.
29 Utakuwa na wimbo kama usiku pale sherehe takatifu itakapofanyika, na moyo wenye furaha, pindi mmoja atakopo kwenda na katika mlima wa Yahwe, katika mwamba wa Israeli.
Song it will belong to you like a night of being consecrated of a festival and gladness of heart like [one who] walks with flute to go on [the] mountain of Yahweh to [the] rock of Israel.
30 Yahwe atafanya mapambo ya sauti yake inayosikika na atawaonyesha jinsi mkono wake ushukavyo na dhouba ya hasira yake na moto uwakao, pamoja na upepo mkubwa, mvua kubwa, na mvua ya mawe.
And he will cause to hear Yahweh [the] majesty of voice his and [the] lowering of arm his he will show with rage of anger and a flame of fire consuming a driving storm and a rainstorm and stone[s] of hail.
31 Maana kwa sauti ya Yahwe, Asiria itanyamazishwa; atahiaribu kwa fimbo.
For from [the] voice of Yahweh it will be shattered Assyria with the rod he will strike.
32 Na kila adhabu iliyochaguliwa amechagua fimbo ambayo Yahwe ataiweka juu yao na wakisidikizwa na mziki wa kigoma na kinubi kama wataanzisha vita na kupgana nao.
And it will be every blow of [the] staff of appointment which he will place Yahweh on it [will be] with tambourines and with harps and with battles of brandishing he will fight (against them. *QK)
33 Maana sehemu ya kuchoma iliandaliwa toka zamani. kweli, imeandaliwa kwa mfalme, na Mungu amelifanya kuwa na kina na upana. Rundo liko tayari kwa moto na kuni za kutosha. Punzi ya Yahwe, ni kama mkondo kiberiti, na utawsha moto.
For [is] arranged from yesterday a place of burning also (it *Qk) for the king it has been prepared someone has made [it] deep someone has made [it] large wood pile its [is] fire and wood much [the] breath of Yahweh like a torrent of sulfur [is] about to burn it.

< Isaya 30 >