< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
[the] song of The songs which [is] of Solomon.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
Let him kiss me from [the] kisses of mouth his for [are] good love your more than wine.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
To odor oils your [are] good [is] oil [which] it is poured out name your there-fore young women they love you.
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Draw me after you let us run he has brought me the king chambers his let us rejoice and let us be glad in you let us bring to remembrance love your more than wine uprightness they love you.
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
[am] black I and lovely O daughters of Jerusalem like [the] tents of Kedar like [the] tent curtains of Solomon.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
May not you look at me who I [am] blackish [on] whom has looked on me the sun [the] sons of mother my they were angry with me they made me [one who] keeps the vineyards own vineyard my which [belongs] to me not I have kept.
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
Tell! to me [O] whom it loves self my where? will you graze where? will you make [them] lie down at noon which to why? will I be like a veiled [woman] with [the] flocks of companions your.
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
If not you know yourself O beautiful [one] among women go out yourself in [the] footprints of the flock and pasture young goats your at [the] dwelling places of the shepherds.
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
To mare my among [the] chariots of Pharaoh I liken you O friend my.
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
They are beautiful cheeks your with strings of jewels neck your with strings of beads.
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
Necklaces of gold we will make for you with beads of silver.
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
Until that the king [was] at table his nard my it gave forth odor its.
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
[is] [the] bag of Myrrh - lover my to me between breasts my it lodges.
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
[is] [the] cluster of Henna blossom - lover my to me in [the] vineyards of En Gedi.
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
Here you [are] beautiful O friend my here you [are] beautiful eyes your [are] doves.
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
Here you [are] beautiful O lover my also pleasant also bed our [is] luxuriant.
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
[the] beams of Houses our [are] cedar (rafters our *Qk) [are] cypress.

< Wimbo wa Sulemani 1 >