< Isaya 29 >

1 Ole kwa Arieli, Arieli, mji ambao Daudi ameweka kambi! mwaka hadi mwaka unaongezeka; basi tamasha linakaribia kuja.
Woe to! Ariel Ariel [the] town [where] he camped David add year to year festivals let them go around.
2 Lakini nitauzingira Arieli, na watalia na kuomboleza; na watakuwa kwangu kama Arieli.
And I will bring distress to Ariel and it will be mourning and lamentation and it will be to me like Ariel.
3 Nitaweka kambi dhidi yako katika mzunguko, nitakuzingira kwa kuweka uzio dhidi yako.
And I will encamp like circle on you and I will lay siege on you siege-works and I will raise on you fortifications.
4 Utaletwa chini na utazungumza kutoka chini kwenye aridhi; maongezi yako yatashushwa kutoka mavumbini. Sauti yako itakuwa kama ya pepo kwenye ardhi, na maneno yako yatakuwa dhaifu kutoka mavumbini.
And you will become low from [the] ground you will speak and from [the] dust it will be humbled utterance your and it will be like a necromancer from [the] ground voice your and from [the] dust utterance your it will whisper.
5 Jeshi la maadui wako watakuwa kama vumbi dogo, na wingi wa wasiotisha utakuwa kama makapi yanayopita. Itatokea mara moja, papo hapo.
And it will be like dust fine [the] multitude of strangers your and like chaff [which] passes away [the] multitude of ruthless [people] and it will happen to suddenness suddenly.
6 Yahwe wa majeshi atakuja kwenu kwa radi, tetemeko la aridhi, sauti kubwa, na upepo mkali na dhoruba kali, na mwali wa moto uteketezao.
From with Yahweh of hosts you will be visited with thunder and with earthquake and noise great a storm-wind and a tempest and a flame of fire devouring.
7 Itakuwa kama ndoto, maono ya usiku: Jeshi la mataifa yote yatapigana dhidi ya Arieli na ngome zake. Watawavamia yeye na ngome zinazowanyanyasa wao.
And it will be like a dream a vision of [the] night [the] multitude of all the nations which wage war on Ariel and all [those who] wage war against it and stronghold its and those [who] bring distress to it.
8 Itakuwa kama mtu mwenye njaa anayeota anakula, lakini pindi anapoamka tumbo halina kitu. Itakuwa kama mtu mwenye kiu anayeota anakunywa maji, lakini anapoamka, anazirai, kwa sababu ya kiu na sio kuizima. Ndio, itakavyokuwa idadi kubwa ya wapiganaji dhidi ya Mlima Sayuni.
And it will be just as he dreams the hungry [person] and there! [he is] eating and he awakes and [is] empty appetite his and just as he dreams the thirsty [person] and there! [he is] drinking and he awakes and there! [he is] faint and throat his [is] longing so it will be [the] multitude of all the nations which wage war on [the] mountain of Zion.
9 Shangaeni wenyewe na mjishangae; jifanye kipofu na uwe kipofu! uwe mlevi lakini sio wa mvinyo; yumbayumba lakini sio kwa bia.
Delay and be astounded blind yourselves and be blind people have become drunk and not wine people have staggered and not strong drink.
10 Maana Yahwe ameachila roho wake katika usingizi wa kina, Ameyafunga macho yako, manabii, na amefunika kichwa chako, waonaji.
For he has poured out on you Yahweh a spirit of deep sleep and he has shut eyes your the prophets and heads your the seers he has covered.
11 Ufunuo wote umekuja kwako kama maneno ya kitabu kilichotiwa muhuri, ambacho watu wanaweza kumpa mtu anayejifunza, na kusema hivi, ''Soma hiki.'' na atasema, ''Siwezi maana imetiwa muhuri.''
And it has become for you [the] vision of the whole like [the] words of the scroll sealed which people give it to [one who] knows (writing *QK) saying read aloud please this and he says not I am able for [is] sealed it.
12 Kama kitabu kitapewa kwa mtu asiyeweza kusoma, na kumwambia, '''Soma hiki,'' na anasema, ''Siwezi kusoma.''
And it is given the scroll to [one] who not he knows writing saying read aloud please this and he says not I know writing.
13 Bwana asema, ''Watu hawa wananikaribia mimi na kunishimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbalii na mimi. Heshima yao kwangu ni kwa sababu tu ya amri waliofundishwa.
And he said [the] Lord because for it has drawn near the people this with mouth its and with lips its they have honored me and heart its it has made far away from me and it has been fear their [of] me a commandment of people [which] has been taught.
14 Hivyo basi, tazama, Nitaendelea kufanya mambo ya ajabu mwiongoni mwa watu hawa, maajabu baada ya maajabu. Hekima ya wenye busara itatoweka, na uelewa wa watu wenye busara utatokomea.''
Therefore here I he will repeat to deal wonderfully with the people this highly and a wonder and it will perish [the] wisdom of wise [people] its and [the] understanding of understanding [people] its it will hide itself.
15 Ole wao wale wanaoficha mipango yao kwa Yahwe, na wale ambao matendo yao ni ya giza. Wanasema, ''Nani anayetuona sisi, na ni nani anayetutambua sisi?
Woe to! those [who] make deep from Yahweh to hide a plan and it is in a dark place deeds their and they have said who? [is] seeing us and who? [is] perceiving us.
16 Nyie mnaebadilisha vitu juu chini! Je mfinyanzi anaweza kufikiriwa kama udongo, hivyo basi vitu vinavyotengeneza vitasema kuhusu aliyevitengeneza, ''Hajanitengeneza mimi, ''au vitu vinavyotngenezwa viseme kuhusu aliyevitengeneza, Hajaelewa''?
Perversity your? like [the] clay of the potter will he be regarded that it will say a thing made to [the] [one who] made it not he made me and a pot it said to potter its not he has understood.
17 Katika mda mdogo uliobakia, Lebanoni itajeuzwa kuwa shamba, na shamba litakuwa msitu.
¿ Not yet a little of a little and it will turn Lebanon into orchard and the orchard to forest it will be considered.
18 Siku hiyo viziwi watasikia maneno ya kitabu, na macho ya vipofu yataona katika giza nene.
And they will hear in the day that the deaf [people] [the] words of a scroll and from gloom and from darkness [the] eyes of blind [people] they will see.
19 Waliodhulumiwa watafuurahia pamoja na Yahwe, na masikini miongoni mwa watu watafurahia kwa Mtakatifu wa Israeli.
And they will add humble [people] in Yahweh joy and needy [people] of humankind in [the] holy [one] of Israel they will be glad.
20 Maana watu wasio katili watakwisha, na wenye dharau watatoweka. Wale wote wanopendakuteda maovu wataondolewa,
For he will come to an end [the] ruthless person and he will come to an end [the] mocker and they will be cut off all [those who] lie in wait wickedness.
21 nani na kwa neno linamfanya mtu kuwa mkosaji. Watamuekea mtego kwa yeye anayeitafuta haki katika geti na kuweka haki chini kwa uongo usio na kitu.
[those who] cause to sin a person With a word and for the [one who] adjudicates in the gate they lay a trap! and they have turned aside with emptiness [the] righteous [person].
22 Hivyo basi Yahwe asema hivi kuhusu nyumba ya Yakobo- Yahwe aliyemkomboa Ibrahimu, ''Yakobo hataaibika tena, wala uso wake hautabadilika rangi yake.
Therefore thus he says Yahweh to [the] house of Jacob who he redeemed Abraham not now it will be ashamed Jacob and not now face its they will grow pale.
23 Lakini anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, watalitakasa jina langu, Watalitakasa jina langu Mtakatifu wa Yakobo, na wtasimama katika hofu ya Mungu wa Israeli.
For when sees it children its [the] work of hands my in midst its they will regard as holy name my and they will regard as holy [the] holy [one] of Jacob and [the] God of Israel they will regard with awe.
24 Wale watakaopotea kiroho watapata uelewa na walalamikaji watajifunza maarifa.''
And they will know [those who] go astray of spirit understanding and murmurers they will learn instruction.

< Isaya 29 >