< Hosea 8 >

1 “Weka tarumbeta katika midomo yako! Tai anakuja juu ya nyumba ya Bwana kwa sababu watu wamevunja agano langu na waliasi dhidi ya sheria yangu.
کرنا را به دهان خود بگذار. او مثل عقاب به ضد خانه خداوند می‌آید، زیرا که از عهدمن تجاوز نمودند و به شریعت من عصیان ورزیدند.۱
2 Wananililia,'Mungu wangu, sisi katika Israeli tunakujua.'
اسرائیل نزد من فریاد می‌نمایند که‌ای خدای ما تو را می‌شناسیم.۲
3 Lakini Israeli amekataa mema, na adui atamfuata.
اسرائیل نیکویی راترک کرده است. پس دشمن او را تعاقب خواهدنمود.۳
4 Wameweka wafalme, lakini sio kwa shauri langu. Wamewafanya wakuu, lakini sikuwa na habari. Kwa fedha zao na dhahabu wamejifanyia sanamu wenyewe, ili wakatiliwe mbali.”
ایشان پادشاهان نصب نمودند، اما نه ازجانب من. سروران تعیین کردند، اما ایشان رانشناختم. از نقره و طلای خویش بتها برای خودساختند تا منقطع بشوند.۴
5 “Ndama yako imekataliwa, Samaria. Hasira yangu inawaka juu ya watu hawa. Kwa muda gani watakuwa na hatia?
‌ای سامره او گوساله تورا رد نموده است. خشم من بر ایشان افروخته شد. تا به کی نمی توانند طاهر بشوند؟۵
6 Kwa maana sanamu hii ilitoka Israeli; fundi aliifanya; si Mungu! Ndama ya Samaria itavunjwa vipande vipande.
زیرا که این نیزاز اسرائیل است و صنعتگر آن را ساخته است، لهذا خدا نیست. البته گوساله سامره خرد خواهدشد.۶
7 Kwa maana watu hupanda upepo na kuvuna kimbunga. Mbegu zilizosimama hazina vichwa; haitoi unga. Ikiwa itakomaa, wageni watakula.
به درستی که باد را کاشتند، پس گردباد راخواهند دروید. آن را محصول نیست وخوشه هایش آرد نخواهد داد و اگر هم بدهد، غریبان آن را خواهند بلعید.۷
8 Israeli imemezwa; sasa wanalala kati ya mataifa kama kitu kisicho na maana.
اسرائیل بلعیده خواهد شد و الان در میان امت‌ها مثل ظرف ناپسندیده می‌باشند.۸
9 Kwa maana walikwenda Ashuru kama punda wa mwitu pekee. Efraimu ameajiri wapenzi kwa ajili yake mwenyewe.
زیرا که ایشان مثل گورخرتنها و منفرد به آشور رفته‌اند و افرایم عاشقان اجیر کرده است.۹
10 Hata ingawa wameajiri wapenzi kati ya mataifa, sasa nitawakusanya pamoja. Wao wataanza kupotea kwa sababu ya unyanyasaji wa mfalme wa wakuu.
اگر‌چه ایشان در میان امت هااجرت می‌دهند، من الان ایشان را جمع خواهم کرد و به‌سبب ستم پادشاه و سروران رو به تناقض خواهند نهاد.۱۰
11 Kwa maana Efraimu imeongeza madhabahu kwa sadaka za dhambi, lakini zimekuwa madhabahu kwa kufanya dhambi.
چونکه افرایم مذبح های بسیار برای گناه ساخت پس مذبح‌ها برایش باعث گناه شد.۱۱
12 Niliweza kuandika sheria yangu kwao mara elfu kumi, lakini wangeiona kama kitu cha ajabu kwao.
احکام بسیار شریعت خود را برای او نوشتم اما آنها را مثل چیز غریب شمردند.۱۲
13 Kwa ajili ya dhabihu za sadaka zangu, hutoa nyama na kuila, lakini mimi, Bwana, siwakubali. Sasa nitafikiri juu ya uovu wao na kuadhibu dhambi zao. Watarudi Misri.
قربانی های سوختنی مرا ذبح کردند تا گوشت بخورند وخداوند آنها را قبول نکرد. الان عصیان ایشان را به یاد می‌آورد و عقوبت گناه را بر ایشان می‌رساند وایشان به مصر خواهند برگشت.۱۳
14 Israeli amenisahau mimi, Muumba wake, na amejenga majumba. Yuda ameimarisha miji mingi, lakini nitatuma moto juu ya miji yake; itaharibu ngome zake.
اسرائیل خالق خود را فراموش کرده، قصرها بنا می‌کند و یهوداشهرهای حصاردار بسیار می‌سازد. اما من آتش به شهرهایش خواهم فرستاد که قصرهایش رابسوزاند.۱۴

< Hosea 8 >