< Hosea 7 >

1 Wakati wowote ninapotaka kuponya Israeli, dhambi ya Efraimu inafunuliwa, pamoja na matendo maovu ya Samaria, kwa sababu wanafanya udanganyifu; mwizi huingia, na kundi la wanyang'anyi hushambulia mitaani.
چون اسرائیل را شفا می‌دادم، آنگاه گناه افرایم و شرارت سامره منکشف گردید، زیرا که مرتکب فریب شده‌اند. دزدان داخل می‌شوند و رهزنان در بیرون تاراج می‌نمایند.۱
2 Hawatambui mioyoni mwao kwamba ninakumbuka matendo yao mabaya. Sasa matendo yao huwazunguka; yapo mbele ya uso wangu.
ودر دل خود تفکر نمی کنند که من تمامی شرارت ایشان را به یاد آورده‌ام. الان اعمالشان ایشان رااحاطه می‌نماید و آنها در نظر من واقع شده است.۲
3 Kwa sababu ya uovu wao wamemfanya mfalme awe na furaha, na maofisa wao kwa uongo wao.
پادشاه را بشرارت خویش و سروران را به دروغهای خود شادمان می‌سازند.۳
4 Wote ni wazinzi, kama tanuru iliyochomwa na mwokaji, ambaye huacha kuuchochea moto tangu kukanda unga mpaka kuwa chachu.
جمیع ایشان زناکارند مثل تنوری که خباز آن را مشتعل سازدکه بعد از سرشتن خمیر تا مخمر شدنش ازبرانگیختن آتش باز می‌ایستد.۴
5 Siku ya mfalme wetu, viongozi walijifanya wagonjwa na ukali wa divai. Alinyoosha mkono wake kwa wale waliokuwa wakidhihaki.
در یوم پادشاه ما، سروران از گرمی شراب، خود را بیمار ساختند واو دست خود را به استهزاکنندگان دراز کرد.۵
6 kwa mioyo kama tanuri, wao hupanga mipango yao ya udanganyifu. Hasira zao hulala usiku wote; asubuhi huwaka juu kama moto.
زیرا که دل خود را به مکاید خویش مثل تنورنزدیک آوردند؛ و تمامی شب خباز ایشان می‌خوابد و صبحگاهان آن مثل آتش ملتهب مشتعل می‌شود.۶
7 Wote wamepata moto kama tanuru, na huwaangamiza wale wanaowatawala. Wafalme wao wote wameanguka; hakuna hata mmoja wao ananiita.
جمیع ایشان مثل تنور گرم شده، داوران خویش را می‌بلعند و همه پادشاهان ایشان می‌افتند و در میان ایشان کسی نیست که مرابخواند.۷
8 Efraimu anajichanganya mwenyewe kati ya watu. Efraimu ni mkate ambayo haujawahi kugeuzwa.
افرایم با قومها مخلوط شده است. افرایم قرص نانی است که برگردانیده نشده است.۸
9 Wageni wamekula nguvu zake, lakini hajui. Nywele za mvi hunyunyiza juu yake, lakini hajui.
غریبان قوتش را خورده‌اند و او نمی داند. سفیدی بر مویهای او پاشیده شده است و اونمی داند.۹
10 Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; hata hivyo, hawajarudi kwa Bwana, Mungu wao, wala hawakumtafuta licha ya hayo yote.
فخر اسرائیل پیش رویش شهادت می‌دهد اما ایشان به یهوه خدای خود بازگشت نمی نمایند و با وجود این همه او را نمی طلبند.۱۰
11 Efraimu ni kama njiwa, baradhuli na asiye na busara, humwita kwenda Misri, kisha huruka kwenda Ashuru.
افرایم مانند کبوتر ساده دل، بی‌فهم است. مصر را می‌خوانند و بسوی آشور می‌روند.۱۱
12 Wakienda, nitasambaza wavu wangu juu yao, nami nitawaangusha kama ndege wa angani. Nitawaadhibu katika kusonga kwao pamoja.
وچون می‌روند من دام خود را بر ایشان می‌گسترانم و ایشان را مثل مرغان هوا به زیر می‌اندازم وایشان را بر وفق اخباری که به جماعت ایشان رسیده است، تادیب می‌نمایم.۱۲
13 Ole wao! Kwa maana wamepotea kutoka kwangu. Uharibifu unawajia! Wao wameasi dhidi yangu! Napenda kuwaokoa, lakini waliongea uongo dhidi yangu.
وای بر ایشان زیرا که از من فرار کردند. هلاکت بر ایشان باد زیراکه به من عصیان ورزیدند. اگر‌چه من ایشان رافدیه دادم، لکن به ضد من دروغ گفتند.۱۳
14 Wala hawakunililia kwa moyo wao wote, lakini wanaomboleza kwenye vitanda vyao. Wanakusanyika kwa ajili ya nafaka na divai mpya, nao wananiasi mimi.
و از دل خود نزد من استغاثه نمی نمایند بلکه بر بسترهای خود ولوله می‌کنند. برای روغن و شراب جمع شده، بر من فتنه می‌انگیزند.۱۴
15 Ingawa niliwafundisha na kuimarisha mikono yao, sasa wanapanga mabaya dhidi yangu.
و اگر‌چه من بازوهای ایشان را تعلیم دادم و تقویت نمودم لیکن با من بداندیشی نمودند.۱۵
16 Wanarudi, lakini harudi kwangu, Niliye Juu. Wao ni kama upinde usiotumainika. Maofisa wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya udhalimu wa vinywa. Hii itakuwa ni aibu yao katika nchi ya Misri.
ایشان رجوع می‌کنند اما نه به حضرت اعلی. مثل کمان خطاکننده شده‌اند. سروران ایشان به‌سبب غیظزبان خویش به شمشیر می‌افتند و به‌سبب همین در زمین مصر ایشان را استهزا خواهند نمود.۱۶

< Hosea 7 >