< Hosea 13 >

1 Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
هنگامی که افرایم به لرزه سخن گفت، خویشتن را در اسرائیل مرتفع نمود؛ اماچون در امر بعل مجرم شد، بمرد.۱
2 Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
و الان گناهان می‌افزایند و از نقره خود بتهای ریخته شده وتماثیل موافق عقل خود می‌سازند که همه آنهاعمل صنعتگران می‌باشد و درباره آنها می‌گویندکه اشخاصی که قربانی می‌گذرانند گوساله‌ها راببوسند.۲
3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
بنابراین، ایشان مثل ابرهای صبح ومانند شبنمی که بزودی می‌گذرد، هستند. و مثل کاه که از خرمن پراکنده شود و مانند دود که ازروزن برآید.۳
4 Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
اما من از زمین مصر (تا حال ) یهوه خدای توهستم و غیر از من خدای دیگر را نمی شناسی وسوای من نجات‌دهنده‌ای نیست.۴
5 Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
من تو را دربیابان در زمین بسیار خشک شناختم.۵
6 Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
چون چریدند، سیر شدند و چون سیر شدند، دل ایشان مغرور گردید و از این جهت مرا فراموش کردند.۶
7 Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
پس من برای ایشان مثل شیر خواهم بود و مانندپلنگ به‌سر راه در کمین خواهم نشست.۷
8 Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
و مثل خرسی که بچه هایش را از وی ربوده باشد، بر ایشان حمله خواهم آورد و پرده دل ایشان راخواهم درید و مثل شیر ایشان را در آنجاخواهم خورد و حیوانات صحرا ایشان راخواهند درید.۸
9 Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
‌ای اسرائیل هلاک شدی، اما معاونت تو بامن است.۹
10 Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
الان پادشاه تو کجاست تا تو را درتمامی شهرهایت معاونت کند و داورانت (کجایند) که درباره آنها گفتی پادشاه و سروران به من بده؟۱۰
11 Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
از غضب خود، پادشاهی به تو دادم واز خشم خویش او را برداشتم.۱۱
12 Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
عصیان افرایم بسته شده و گناه او مخزون گردیده است.۱۲
13 Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
دردهای زه مثل زنی که می‌زاید بروی آمده است و او پسری نادانشمند است زیرا در وقتش، در جای تولد فرزندان نمی ایستد.۱۳
14 Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol h7585)
من ایشان را از دست هاویه فدیه خواهم داد و ایشان را از موت نجات خواهم بخشید. ای موت ضربات تو کجاست و‌ای هاویه هلاکت تو کجا است؟ پشیمانی از چشمان من مستور شده است. (Sheol h7585)۱۴
15 Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
اگر‌چه در میان برادرانش ثمر آورد، اما باد شرقی می‌وزد وباد خداوند از بیابان برمی آید و منبع اوخشک می‌گردد و چشمه‌اش می‌خشکد و اوگنج تمامی اسباب نفیسه وی را تاراج می‌نماید.۱۵
16 Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.
سامره متحمل گناه خود خواهدشد، زیرا به خدای خود فتنه انگیخته است. ایشان به شمشیر خواهند افتاد و اطفال ایشان خرد و زنان حامله ایشان شکم دریده خواهندشد.۱۶

< Hosea 13 >