< Matendo 14 >

1 Ikatokea ndani ya Ikonio kwamba Paulo na Barnaba waliingia pamoja ndani ya sinagogi la Wayahudi nakuongea namna ambayo kundi kubwa la watu Wayahudi na Wayunani waliamini.
A Icone, ils entrèrent ensemble dans la synagogue des Juifs, et ils parlèrent de telle sorte qu'une grande multitude de Juifs et de Grecs crurent.
2 Lakini wayahudi wasiotii waliwachochea akili wamataifa na kuwafanya kuwa wabaya dhidi ya ndugu.
Mais les Juifs incrédules excitèrent et aigrirent les âmes des païens contre les frères.
3 Kwa hiyo walikaa huko kwa muda mrefu, wakiongea kwa ujasiri kwa nguvu ya Bwana, huku akitoa uthibitisho kuhusu ujumbe wa neema yake. Alifanya hivi kwa kutoa ishara na majaabu vifanywe kwa mikono ya Paulo na Barnaba.
Ils restèrent là longtemps, parlant avec assurance au Seigneur, qui rendait témoignage à la parole de sa grâce, en accordant que des signes et des prodiges se fassent par leurs mains.
4 Lakini eneo kubwa la mji liligawanyika: baadhi ya watu walikuwa pamoja na Wayahudi, na baadhi pamoja na mitume.
Mais la foule de la ville était divisée. Une partie prenait parti pour les Juifs et l'autre pour les apôtres.
5 Wakati wamataifa na Wayahudi walipojaribu kuwashawishi viongozi wao kuwatendea vibaya na kuwaponda mawe Paulo na Barnaba,
Une partie des païens et des Juifs, avec leurs chefs, cherchant à les maltraiter et à les lapider,
6 wakalitambua hilo na kukimbilia katika miji ya Likaonia, Listra na Derbe, na maeneo yanayozunguka pale,
ils en eurent connaissance et s'enfuirent dans les villes de Lycaonie, Lystre, Derbe et les environs.
7 na huko waliihubiri injili.
Ils y prêchaient la Bonne Nouvelle.
8 Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja aliyekaa, hakuwa na nguvu miguuni mwake, kilema kutoka tumboni mwa mama yake, hajawahi kutembea.
A Lystre, un homme était assis, impotent des pieds, infirme dès le sein de sa mère, et qui n'avait jamais marché.
9 Mtu huyu alimsikia Paulo akiongea. Paulo alimkazia macho na akaona kwamba alikuwa na imani ya kuponywa.
Il écoutait parler Paul, qui, fixant les yeux sur lui et voyant qu'il avait la foi pour être guéri,
10 Hivyo alisema kwake kwa sauti ya juu, “Simama kwa miguu yako.” Na yule mtu aliruka juu na kuanza kutembea.
dit d'une voix forte: « Redresse-toi sur tes pieds! » Il se leva d'un bond et marcha.
11 Umati ulipoona alichokifanya Paulo, waliinua sauti zao, wakisema katika lahaja ya Kilikaonio, “miungu imetushukia kwa namna ya binadamu.”
La foule, voyant ce que Paul avait fait, éleva la voix et dit en langue lycaonienne: « Les dieux sont descendus chez nous sous la forme d'hommes. »
12 Walimwita Barnaba “Zeu,” na Paulo “Herme” kwa sababu alikuwa msemaji mkuu.
Ils appelaient Barnabas « Jupiter », et Paul « Mercure », parce qu'il était le principal orateur.
13 Kuhani wa Zeu, ambaye hekalu lake lilikuwa nje ya mji, alileta fahari la ng'ombe na mtungo wa maua mpaka kwenye lango la mji, yeye na umati walitaka kutoa sadaka.
Le prêtre de Jupiter, dont le temple était en face de leur ville, amenait aux portes des bœufs et des guirlandes, et il aurait voulu offrir un sacrifice avec la foule.
14 Lakini mitume, Barnaba na Paulo, walipolisikia hili, walirarua mavazi yao na kwa haraka walikwenda nje kwenye umati, wakilia
Mais les apôtres Barnabas et Paul, ayant appris cela, déchirèrent leurs vêtements et se jetèrent dans la foule, en s'écriant:
15 na kusema, “Enyi watu, kwanini mnafanya mambo haya? Na sisi pia ni binadamu wenye hisia kama za kwenu. Tunawaletea habari njema, kwamba mgeuke kutoka kwenye vitu hivi visivyofaa na kumwelekea Mungu aliye hai, aliyeumba mbingu, dunia na bahari na kila kitu kilichomo.
« Hommes, pourquoi faites-vous cela? Nous aussi, nous sommes des hommes de même nature que vous, et nous vous apportons une bonne nouvelle, afin que vous vous détourniez de ces choses vaines pour vous tourner vers le Dieu vivant, qui a fait le ciel, la terre, la mer et tout ce qui s'y trouve;
16 Katika nyakati zilizopita, aliwaruhusu mataifa kutembea katika njia zao wenyewe.
qui, dans les générations passées, a laissé toutes les nations suivre leurs propres voies.
17 Lakini bado, hakuondoka pasipo shahidi, katika hilo alifanya vizuri na akawapatia mvua kutoka mbinguni na nyakati za mazao, akiwajaza mioyo yenu kwa vyakula na furaha”
Pourtant, il ne s'est pas laissé sans témoignage, en ce qu'il a fait du bien et vous a donné des pluies du ciel et des saisons fécondes, remplissant nos cœurs de nourriture et de joie. »
18 Hata kwa maneno haya, Paulo na Barnaba kwa shida waliuzuia umati kuwatolea sadaka.
Même en disant ces choses, ils n'empêchaient guère la foule de leur offrir un sacrifice.
19 Lakini baadhi ya Wayahudi kutoka Antiokia na Ikonio walikuja kuushawishi umati. Wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji, wakidhani alikuwa amekufa.
Mais des Juifs d'Antioche et d'Iconium, étant arrivés là, persuadèrent la foule de lapider Paul et de le traîner hors de la ville, croyant qu'il était mort.
20 Hata hivyo wanafunzi walikuwa wamesimama karibu naye, aliamka, wakaingia mjini. Siku ya pili, aliende Derbe na Barnaba.
Mais comme les disciples se tenaient autour de lui, il se leva, et entra dans la ville. Le lendemain, il partit avec Barnabé pour Derbe.
21 Baada ya kufundisha injili katika mji ule na kuwafanya wanafunzi wengi, walirudi Listra, hadi Ikoniamu, na hadi Antiokia.
Après avoir annoncé la bonne nouvelle dans cette ville et fait beaucoup de disciples, ils retournèrent à Lystre, à Icone et à Antioche,
22 Waliendelea kuimarisha nafsi za wanafunzi na kutiwa moyo kuendelea katika imani, akasema, “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kwa kupitia mateso mengi.”
fortifiant l'âme des disciples, les exhortant à persévérer dans la foi, et leur disant que c'est par beaucoup d'afflictions qu'il faut entrer dans le royaume de Dieu.
23 Walipo wateua kwa ajili yao wazee wa kila kusanyiko la waaminio, na wakiwa wameomba na kufunga, waliwakabidhi kwa Bwana, ambaye wao walimwamini.
Après avoir établi pour eux des anciens dans chaque assemblée, et après avoir prié et jeûné, ils les recommandaient au Seigneur en qui ils avaient cru.
24 Kisha walipita katika Pisidia, walifika Pamfilia.
Ils traversèrent la Pisidie et arrivèrent en Pamphylie.
25 Wakati walipoongea maneno katika Perga, waliteremka kwenda Atalia.
Après avoir annoncé la parole à Perge, ils descendirent à Attalie.
26 Kutoka huko walipanda meli hadi Antiokia ambako walikuwa wamejitoa kwa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameikamilisha.
De là, ils s'embarquèrent pour Antioche, d'où ils avaient été remis à la grâce de Dieu pour l'œuvre qu'ils avaient accomplie.
27 Walipofika huko Antiokia, na kulikusanya kusanyiko la pamoja, wakatoa taarifa ya mambo ambayo Mungu amefanya kwao, na jinsi alivyowafungulia mlango wa imani kwa watu wa Mataifa.
Lorsqu'ils furent arrivés et qu'ils eurent rassemblé l'assemblée, ils racontèrent tout ce que Dieu avait fait avec eux, et qu'il avait ouvert aux nations une porte de la foi.
28 Walikaa kwa muda mrefu na wanafunzi.
Ils restèrent là longtemps avec les disciples.

< Matendo 14 >