< 2 Samweli 14 >

1 Yoabu mwana wa Seruya akatambua kwamba moyo wa mfalme ulitamani kumwona Absalomu.
И Иоав Саруиният син позна, че сърцето на царя беше наклонено към Авесалома.
2 Hivyo Yoabu akatuma neno huko Tekoa kumleta kwake mwanamke mwelevu. Akamwambia, “Tafadhari, vaa mavazi ya uombolezaji ujifanye kuwa mwombolezaji. Usijipake mafuta, lakini uwe kama mwanamke ambaye ameomboleza kwa muda mrefu kwa ajili yake aliyekufa.
Затова Иоав прати в Текое та доведоха от там една умна жена, и рече й: Престори се, моля, че си в жалейка и облечи траурни дрехи, и не се помазвай с масло, но бъди като жена, която жалее дълго време за мъртвец;
3 Kisha ingia kwa mfalme na umwambiye maneno nitakayokueleza.” Hivyo Yoabu akamwambia maneno ambayo angeyasema kwa mfalme.
и иди при царя та му говори според тия думи. И Иоав тури думите в устата й.
4 Wakati mwanamke kutoka Tekoa alipoongea na mfalme, aliinamisha uso wake chini na kusema,
И когато текойката дойде да говори на царя, падна с лице на земята та се поклони, и рече: Помогни ми царю.
5 “Mfalme, anisaidie.” Mfalme akamwambia, “Shida yako ni nini?” Akajibu, Ukweli ni kwamba mimi ni mjane, mme wangu alikufa.
И царят й рече: Що имаш? А тя рече: Ах! аз съм вдовица; мъжът ми умря.
6 Mimi, mtumishi wako, nilikuwa na wana wawili, wakagombana shambani, na hakukuwa na wa kuwaachanisha. Mmoja wao akampiga mwenziwe na kumwua.
Слугинята ти имаше двама сина, и те двамата се сбиха на полето; и като нямаше кой да ги раздели, единият удари другият и го уби.
7 Na sasa ukoo wote umeinuka juu ya mtumishi wako, wanasema, 'Mtoe aliyempiga nduguye, ili tumwue kulipe uhai wa nduguye aliyeuawa.' Na hivyo watamwangamiza mrithi. Hivyo watalizima kaa liwakalo nililobakiwa, hata kumwondolea mme wangu jina na mzao juu ya uso wa nchi.”
И, ето, всичките роднини станаха против слугинята ти и рекоха: Предай оногова, който удари брата си, за да го убием за живота на брата му, когото уби, и така да изтребим и наследника. Така ще угасят въглена, който ми е останал, и не ще оставят на мъжа ми ни име, ни остатък по лицето на света.
8 Hivyo mfalme akamwambia mwanamke, “Nenda nyumbani kwako, nami nitaagiza jambo la kukufanyia.”
И царят каза на жената: Иди у дома си; аз ще разпоредя за тебе.
9 Mwanamke kutoka Tekoa akamjibu mfalme, “Bwana wangu mfalme, hatia na iwe juu yangu na juu ya familia ya baba yangu. Mfalme na kiti chake cha enzi hawana hatia.”
А текойката каза на царя: Господарю мой царю, беззаконието нека бъде на мене и на бащиния ми дом; а царят и престолът му нека бъдат невинни.
10 Mfalme akasema, “Yeyote atakayekwambia neno umlete kwangu, naye hatakugusa tena.”
И рече царят: Който проговори против тебе, доведи го при мене, и няма вече да те докачи.
11 Kisha mwanamke akasema, “Tafadhari mfalme amkumbuke Yahwe Mungu wake, ili kwamba mlipa kisasi cha damu asiaribu zaidi, ili kwamba wasimwangamize mwanangu.” Mfalme akajibu, “Kama Mungu aishivyo, hakuna hata unywele mmoja wa mwanao utaanguka chini.”
И тя рече: Моля, нека помни царят Господа своя Бог, за да не продължава вече отмъстителят за кръвта да изтребва, и да не погуби сина ми. А той рече: заклевам се в живота на Господа, ни един косъм на сина ти няма да падне на земята.
12 Kisha mwanamke akasema, “Tafadhari acha mtumishi wako anene neno moja zaidi kwa bwana wangu mfalme.” Akasema, “Sema.”
Тогава жената рече: Нека каже, моля, слугинята ти една дума на господаря си царя. Той рече: Кажи.
13 Hivyo mwanamke akasema, “Kwa nini basi umetenda kwa hila dhidi ya watu Mungu? Maana kwa kusema hivi, mfalme ni kama mtu mwenye hatia, kwa kuwa mfalme hamjamrudisha tena mwanaye aliyeondoka.
И жената рече: Тогава защо си помислил такова нещо против Божиите люде? понеже царят, като каза това, излиза виновен за гдето царят не възвръща своя заточеник.
14 Kwa maana sisi sote tutakufa, kwa kuwa tu kama maji yamwagwayo juu ya ardhi na kwamba hayawezi kukusanywa tena. Lakini Mungu hatachukua uhai; badala yake, utafuta njia kwa walio mbali kurejeshwa.
Защото е неизбежно ние да умрем, и сме като вода разляна по земята, която не се събира пак; па и Бог не отнема живот, но изнамерва средства, щото заточеният да не остане отдалечен от Него.
15 Sasa basi, nimesema jambo hili kwa bwana wangu mfalme, kwa sababu watu wamenitisha. Hivyo mtumishi wako akajinenea nafsini mwake, 'Sasa nitaongea na mfalme. Huenda mfalme akampa mtumishi wake haja yake.
Сега по тая причина дойдох да кажа това на господаря си царя, че людете ме уплашиха; и слугинята ти рече: Ще говоря сега на царя; може-би царят да изпълни просбата на слугинята си.
16 Kwa maana mfalme atanisikiliza, ili kwamba kumtoa mtumishi wake katika mikono ya mtu ambaye angeniangamiza mimi na mwanangu pamoja, tutoke katika urithi wa Mungu.
Защото царят ще послуша, за да избави слугинята си от ръката на човека, който иска да погуби и мене и сина ми изсред Божието наследство.
17 Kisha mtumishi wako akaomba, 'Yahwe, tafadhari ruhusu neno la bwana wangu mfalme linipe msaada, kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu kwa kutofautisha wema na ubaya.' Yahwe, Mungu na awe pamoja nawe.”
И слугинята ти рече: Думата на господаря ми нека бъде сега утешителна; защото господарят ми царят е като Божий ангел за да разсъждава за доброто и злото; и Господ твой Бог да бъде с тебе.
18 Ndipo mfalme akajibu na kumwambia yule mwanamke, Tafadhari usinifiche neno lolote nikuulizalo.” Mwanamke akajibu, “Basi bwana wangu mfalme na aseme sasa.
Тогава царят в отговор каза на жената; Моля, да не скриеш от мене това, за което ще те попитам. И рече жената: Нека проговори, моля, господарят ми царят.
19 Mfalme akasema, Je siyo mkono wa Yoabu ulio pamoja nawe katika haya yote? Mwanamke akajibu na kusema, “Kama uishivyo bwana wangu mfalme, hakuna awezae kuelekea mkono wa kulia wala wa kushoto kwa yale bwana wangu mfalme aliyosema. Ni mtumishi wako Yoabu aliyeniambia na kuniagiza kusema kile mtumishi wako alichokisema.
И рече царят: С тебе ли е във всичко това ръката на Иоава? И жената в отговор рече: Заклевам се в живота на душата ти господарю мой царю, никоя не може да се отклони ни на дясно ни на ляво от нищо що изрече господарят ми царят; защото слугата ти Иоав, той ми заповяда, и той тури всички тия думи в устата на слугинята ти.
20 Mtumishi wako Yoabu amefanya hivi ili kubadilisha hali ya kile kinachotendeka. Bwana wangu ni mwenye akili kama hekima ya malaika wa Mungu, ajuaye yote yatendekayo ndani ya nchi.”
Слугата ти Иоав стори това, за да измени лицето на работата; и господарят ми е мъдър с мъдростта на един Божий ангел, за да познава всичко, що има на света.
21 Hivyo mfalme akamwambia Yoabu, “Tazama, nitatenda jambo hili. Nenda na umrudishe huyo kijana Absalomu.”
Тогава царят каза на Иоава: Ето сега, сторих това нещо; иди прочее, доведи младежа Авесалом.
22 HivyoYoabu akainamisha uso wake chini juu ya ardhi katika heshima na shukurani kwa mfalme. Yoabu akasema, “Mtumishi wako amejua kwamba amepata neema mbele zako, bwana wangu, mfalme, kwa vile mfalme amempa mtumishi wake haja ya moyo wake.
И Иоав падна с лице на земята та се поклони и благослови царя. И рече Иоав: Днес слугата ти познава, че придобих твоето благоволение, господарю мой царю, тъй като царят изпълни желанието на слугата си.
23 Hivyo Yoabu akainuka na kwenda Geshuri, akamrejesha Absalomu Yerusalemu tena.
И така Иоав стана и отиде в Гесур, и доведе Авесалома в Ерусалим.
24 Mfalme akasema, “Na arudi nyumbani kwake, lakini hasinione uso wangu.” Hivyo Absalomu akarudi katika nyumba yake mwenyewe, na hakuweza kuuona uso wa mfalme.
А царят рече: Нека се отбие в своята къща, а моето лице да не види. Затова Авесалом се отби в своята си къща и не видя лицето на царя.
25 Hakukuwa na mtu katika Israeli aliyesifiwa kwa uzuri kama Absalomu. Kutoka katika wayo wa mguu wake hadi katika utosi wake hakuwa na waa lolote.
А в целия Израил нямаше човек толкова много хвален за красотата си колкото Авесалома; от петата на ногата му, дори до върха на главата му нямаше в него недостатък.
26 Alipokata nywele za kichwa chake mwishoni mwa kila mwaka, kwa sababu zilikuwa nzito juu yake, alipima nywele zake zaidi ya shekeli mia mbili, kwa kiwango cha kipimo cha mfalme.
И когато острижеше главата си, (защото всяка година я стрижеше, понеже косата му натегваше, затова я стрижеше), претегляше косата на главата си, и тя тежеше двеста сикли според царската теглилка.
27 Kwake Absalomu walizaliwa wana watatu na binti mmoja, jina lake Tamari. Alikuwa mwanamke mzuri.
И родиха се на Авесалома трема сина и една дъщеря на име Тамар, която беше красива.
28 Absalomu akaishi Yerusalem miaka miwili pasipo kuona uso wa mfalme.
И Авесалом седя в Ерусалим цели две години без да види лицето на царя.
29 Kisha Absalome akatuma neno kwa Yoabu ili ampeleke kwa mfalme, lakini Yoabu hakwenda kwake. Hivyo Absalomu akatuma neno mara ya pili, lakini Yoabu hakuja bado.
Тогава Авесалом повика Иоава, за да го изпрати при царя; но той отказа да дойде при него. И повика го втори път; но пак отказа да дойде.
30 Hivyo Absalomu akawambia watumishi wake, “Tazameni, shamba la Yoabu lipo karibu na langu, naye ana shayiri kule. Nendeni mkalichome moto” Hivyo watumishi wa Absalome wakalichoma moto lile shamba.
Затова, каза на слугите си: Вижте, Иоавовата нива е близо до моята, и там има ечемик; идете запалете го. И тъй Авесаломовите слуги запалиха нивата.
31 Kisha Yoabu akainuka na kwenda nyumbani kwa Absalomu akamwambia, “Kwa nini watumishi wako wamelichoma moto shamba langu?
Тогава Иоав стана та отиде при Авесалома в къщата му и му каза: Защо са запалили слугите ти нивата ми?
32 Absalomu akamjibu Yoabu, “Tazama nilituma neno kwako kusema, 'Njoo ili nikutume kwa mfalme kusema, “Kwa nini nilikuja kutoka Geshuri? Ingekuwa heri kwangu kama ningesalia huko. Kwa hiyo sasa niache niuone uso wa mfalme na kama nina hatia basi na aniue.”
А Авесалом отговори на Иоава: Ето, пратих до тебе да кажат: Дойди тук за да те пратя при царя да кажеш: Защо съм дошъл от Гесур? по-добре щеше да е за мене да бях още там; сега, прочее, нека видя лицето на царя; и ако има неправда в мене, нека ме убие.
33 Hivyo Yoabu akaenda kwa mfalme na kumwambia. Mfalme alipomwita, Absalomu alikuja kwa mfalme na akainama hadi juu ya uso nchi mbele ya mfalme na mfalme akambusu Absalomu.
Тогава Иоав дойде при царя та му извести това; и той повика Авесалома, който като дойде при царя, поклони се с лица до земята пред царя; и царят целуна Авесалома.

< 2 Samweli 14 >