< 2 Samweli 13 >

1 Ikawa baada ya hayo kwamba Amnoni mwana wa Daudi, akamtamani sana Tamari dada yake wa kambo aliyekuwa mzuri, alikuwa tumbo moja na Absalome, mwana wingine wa Daudi.
След това, Амнон Давидовият син, залюби сестрата, която имаше Авесалом, Давидовият син, - една хубавица на име Тамар.
2 Amnoni akasononeka sana kiasi cha kuugua kwa ajili ya Tamari dada yake. Tamari alikuwa bikra, na hivyo ilionekana haiwezekani Amnoni kufanya neno lolote kwake.
А Амнон до толкоз се измъчваше, щото се разболя поради сестра си Тамар; защото беше девица, и на Амнона се виждаше твърде мъчно да стори нещо с нея.
3 Lakini Amnoni alikuwa na rafiki jina lake Yehonadabu mwana wa Shama, nduguye Daudi.
Но Амнон имаше един приятел на име Ионадав, син на Давидовия брат Сама: а Ионадав беше много хитър човек.
4 Yehonadabu alikuwa mtu mwelevu sana. Akamwambia Amnoni, “Kwa nini, mwana wa mfalme, unadhoofika kila siku? Kwa nini uniambii? Ndipo Amnoni akamjibu, “Nampenda Tamari, dada yake Absalome ndugu yangu.”
И рече на Амнона: Защо ти, сине на царя, слабееш толкоз от ден на ден? не щеш ли ми яви причината? И Амнон му каза: Обичам Тамар сестрата на брата ми Авесалома.
5 Ndipo Yehonadabu akamwambia, “Lala kitandani mwako na ujifanye kuwa mgonjwa. Wakati baba yako atakapo kuja kukuona, mwambie, Tafadhari mtume dada yangu Tamari aandaye chakula mbele yangu, ili kwamba nikione na kula kutoka mkononi mwake?”
А Ионадав му рече: Легни на леглото си, та се престори на болен; и когато доде баща ти да те види, кажи му: Нека дойде, моля, сестра ми Тамар, и нека ми даде хляб да ям, и нека сготви ястието пред мене за да видя, и да ям от ръката й.
6 Hivyo Amnoni akalala na kujifanya kuwa mgonjwa. Mfalme alipokuja kumwona, Amnoni akamwambia mfalme, “Tafadhari mtume Tamari dada yangu aandaye chakula kwa ajili ya ugonjwa wangu mbele yangu ili kwamba nikile kutoka mkononi mwake.
И тъй, Амнон легна та се престори на болен, и като дойде царят да го види, Амнон каза на царя: Нека дойде, моля, сестра ми Тамар, и нека направи пред мене две мекици, за да ям от ръката й.
7 Ndipo Daudi katika kasri lake akatuma neno kwa Tamari, kusema, “Nenda katika nyumba ya nduguyo Amnoni na umwandalie chakula. Hivyo
И Давид прати у дома да кажат на Тамар: Иди сега в къщата на брата си Амнон та му сготви ястие.
8 Tamari akaenda katika nyumba ya Amnoni nduguye alipokuwa amelala. Akachukua donge na kulifinyanga na kuandaa mkate mbele zake, kisha akauoka.
И Тамар отиде в къщата на брата си Амнон, който беше легнал; и като взе та замеси тесто и направи мекици пред него, изпържи мекиците.
9 Akachukua kikaangio na kumpa mkate, lakini akakataa kula. Kisha Amnoni akawambia waliokuwepo, “Kila mtu na aondoke.” Hivyo kila mmoja akaondoka.
Сетне взе тавата и ги изсипа пред него; но той отказа да яде. И рече Амнон: Изведете вън всичките човеци, що са при мене. И всичките излязоха от него.
10 Amnoni akamwambia Tamari, “Lete chakula chumbani kwangu nikile katika mkono wako.” Tamari akachukua mkate aliokuwa ameuandaa, na kuuleta katika chumba cha Amnoni kaka yake.
Тогава Амнон каза на Тамар: Донеси ястието в спалнята, за да ям от ръката ти. И тъй, Тамар взе мекиците, които бе направила, та ги донесе в спалнята при брата си Амнона.
11 Alipoleta chakula kwake, Amnoni akamshikilia na kumwambia, “Njoo, ulale nami, dada yangu.”
А като ги донесе близо при него за да яде, той я хвана и рече й: Ела, легни с мене, сестро моя.
12 Yeye akamjibu, “Hapana, kaka yangu, usinilazimishe, kwani hakuna jambo kama hili linapaswa kufanyika katika Israeli. Usifanye jambo la aibu kiasi hiki!
Но тя му отговори: Не, брате мой, не ме насилвай, защото не е прилично да стане такова нещо в Израиля; да не сториш това безумие.
13 Nitakwenda wapi ili nijiepushe na aibu ambayo jambo hili litaileta juu ya maisha yangu? Na tendo hili litakuonesha kuwa mpumbavu usiye na aibu katika Israeli yote. Tafadhari, ninakuomba uongee na mfalme. Yeye atakuruhusu unioe.”
И аз де да скрия срама си? па и ти ще бъдеш като един от безумните в Израиля. Сега, прочее, моля, говори на царя; защото той няма да ме откаже на тебе.
14 Lakini Amnoni hakuweza kumsikiliza. Kwa kuwa alikuwa zaidi akamkamata na akalala naye.
Но той отказа да послуша гласа й: и понеже бе по-як от нея, насили я и лежа с нея.
15 Kisha Amnoni akamchukia Tamari kwa chuki kuu. Akamchukia zaidi ya jinsi alivyokuwa amemtamani. Amnoni akamwambia, “Inuka na uondoke.”
Тогава Амнон я намрази с много голяма омраза, така щото омразата, с който я намрази бе по-голяма от любовта, с която я бе залюбил. И рече й Амнон: Стани, иди си.
16 Lakini yeye akamjibu, “Hapana! kwa maana uovu wa kunifanya ni uondoke ni mbaya zaidi ya kile ulichonitenda!” Lakini Amnoni hakumsikiliza.
А тя му рече: Не така, защото това зло, гдето ме пъдиш е по-голямо от другото, което ми стори. Но той отказа да я послуша.
17 Badala yake, akamwita mtumishi wake na akasema, “Mwondoe mwanamke huyu mbele yangu, na uufunge mlango nyuma yake.”
И викна момъка, който му прислужваше, и рече: Изведи сега тази вън от мене, и заключи вратата след нея.
18 Hivyo mtumishi wake akamtoa na kufunga mlango. Tamari alikuwa amevaa vazi lilinakishiwa kwani ndivyo binti za wafalme waliobikra valivyokuwa wakivaa.
А тя бе облечена в шарена дреха, защото царските дъщери, девиците, в такива дрехи се обличаха. И тъй, слугата му я изведе вън та заключи вратата след нея.
19 Tamari akaweka majivu juu ya kichwa chake na akalirarua vazi lake
Тогава Тамар тури пепел на главата си, раздра шарената дреха, която бе на нея, и като положи ръка на главата си отиваше си и викаше като вървеше.
20 Absalome, kaka yake, akamwambia, “Amnoni, kaka yako, amekuwa nawe? Lakini sasa nyamaza, dada yangu. Yeye ni kaka yako. Usiliweke hili moyoni.” Hivyo Tamari akakaa peke yake katika nyumba ya Absalomu kaka yake.
А брат й Авесалом й каза: Брат ти Амнон ли се поруга с тебе? Но мълчи сега, сестро моя; брат ти е; не оскърбявай сърцето си за това нещо. И така, Тамар живееше като вдовица в дома на брата си Авесалома.
21 Mfalme Daudi aliposikia haya yote, alikasirika sana.
А когато цар Давид чу всички тия работи, много се разгневи.
22 Absalome hakusema chochote kwa Amnoni, kwa maana Absalome alimchukia kwa kile alichokifanya, kumdhalilisha Tamari, dada yake.
Между това, Авесалом не казваше на Амнона ни зло ни добро; защото Авесалом мразеше Амнона за гдето беше насилил сестра му Тамар.
23 Ikawa baada ya miaka miwili mizima Absalomu akawa na wakatao kondoo manyoya wakifanya kazi huko Baali Hazori, ulioko karibu na Efraim, naye Absalomu akawaarika wana wote wa mfalme kufika huko.
А след цели две години Авесалом имаше стригачи в Ваал-асор, който е близо при Ефрем; и Авесалом покани всичките царски синове.
24 Absalomu akamwendea mfalme na kusema, “Tazama sasa, mtumishi wako anao wakatao kondoo manyoya. Tafadhari, naomba mfalme na watumishi wake waende nami, mtumishi wako.”
Авесалом дойде и при царя та каза: Ето, слугата ти има сега стригачи; нека дойде, моля царят и слугите му със слугата ти.
25 Mfalme akamjibu Absalomu, “hapana mwanangu, tusiende sisi yote kwani tutakuwa mzigo kwako.” Absalomu akamhakikishia mfalme, lakini yeye asikubali kwenda, ila alimbariki Absalomu.
А царят каза на Авесалома: Не, сине мой, да не идем всички; за да не те отегчаваме. И той го молеше настойчиво; но царят отказа да иде, а го благослови.
26 Kisha Absalomu akasema, “kama sivyo, basi tafadhari mwache ndugu yangu Amnoni aende nasi.” Mfalme akamuliza, “Kwa nini Amnoni aende nanyi?”
Тогава рече Авесалом; Ако не, то нека дойде с нас поне брат ми Амнон. И царят му каза: Защо да иде с тебе?
27 Absalomu akamsihi Daudi, hivyo akamruhusu Amnoni na wana wengine wa mfalme kwenda naye.
Но понеже Авесалом настоя, той позволи да отидат с него Амнон и всичките царски синове.
28 Absalomu akawaamuru watumishi wake kusema, “Sikilizeni kwa makini. Amnoni atakapokuwa amelewa mvinyo, na nitakapowambia, 'Mpigeni Amnoni,' msiogope mwueni. Je siyo mimi niliyewamru? Mwe jasiri na hodari.”
Тогава Авесалом заповяда на слугите си, казвайки: Гледайте когато Амноновото сърце се развесели от виното и аз ще ви кажа: Поразете Амнона, тогава го убийте. Не бойте се; не ви ли заповядвам аз? бъдете дръзновени и храбри.
29 Hivyo watumishi wa Absalome wakamtendea Amnoni kama walivyoamriwa. Kisha wana wote wa mfalme wakainuka na kila mmoja akapanda nyumbu wake akakimbia.
И Авесаломовите слуги сториха на Амнона според както Авесалом заповяда. Тогава всичките царски синове станаха и възседнаха всеки на мъската си та побягнаха.
30 Hata ikawa wakati wakiwa njiani habari zikafika kwa Daudi kusema, “Absalomu ameua wana wote wa mfalme na hakuna hata mmoja aliyesalia.”
И докато те бяха още по път, слух стигна до Давида, и се казваше: Авесалом избил всичките царски синове, и не останал ни един от тях.
31 Kisha mfalme akainuka na kurarua mavazi yake na kujilaza juu ya sakafu; watumishi wake wote wakasimama karibu naye mavazi yao yameraruriwa.
Тогава царят стана, раздра дрехите си, и легна на земята; и всичките му слуги, които предстояваха, раздраха дрехите си.
32 Yehonadabu mwana wa Shama, nduguye Daudi, akajibu na kusema, “Bwana wangu asidhani kuwa vijana wote ambao ni wana wa mfalme wameuawa, kwa maana ni Amnoni pekee ndiye aliyeuawa. Absalomu alilipanga jambo hili tangu siku ile Amnoni alivyomwaribu Tamari, dada yake.
А Ионадав, син на Сама, Давидовия брат, проговори, казвайки: Да не мисли господарят ми, че са избили всичките младежи царски синове, защото само Амнон е умрял: понеже с дума от Авесалома това е било решено от деня, когато изнасили сестра му Тамар.
33 Kwa hiyo basi, bwana wangu mfalme asiiweke taarifa hii moyoni, kudhani kwamba wana wote wa mfalme wameuawa, kwani aliyeuawa ni Amnoni peke yake.”
Сега, прочее, господарят ми царят да не вложи това в сърцето си и да не помисли, че всичките царски синове са измрели; защото само Амнон е умрял.
34 Absalomu akakimbia. Mtumishi aliyekuwa akiangalia akainua macho yake na kuona watu wengi wakija njiani kando ya kilima upande wake wa magharibi.
А Авесалом побягна. В това време момъкът, който пазеше стража, като подигна очи видя, и ето, много люде идеха из пътя зад него край хълма.
35 Kisha Yehonadabu akamwambia mfalme, “Tazama, wana wa mfalme wanakuja. kama mtumishi wako alivyosema.”
И Ионадав каза на царя: Ето, царските синове идат; според както каза слугата ти, така е станало.
36 Ikawa mara alipomaliza kusema wana wa mfalme wakafika, wakainua sauti zao na kulia. Na mfalme pamoja na watumishi wake wote pia wakalia kwa uchungu.
И като изговори това, ето, царските синове дойдоха и плакаха с висок глас; също и царят и всичките плакаха твърде много.
37 Lakini Absalomu akakimbia na kwenda kwa Talmai mwana wa Amihudi, mfalme wa Geshuri. Mfalme akaomboleza kila siku kwa ajili ya mwanaye.
Но Авесалом побягна и отиде при гесурския цар Талмая Амиудовия син; а Давид жалееше за сина си всеки ден.
38 Hivyo Absalomu akakimbia na kwenda Geshuri na akakaa huko kwa miaka mitatu.
Авесалом, прочее, побягна и отиде в Гесур, и там преживя три години.
39 Moyo wa mfalme Daudi ukatamani kwenda kumwona Absalomu, kwa maana alikuwa amefarijika kwa habari ya kifo cha Amnoni.
И душата на цар Давида излезе и чезнеше по Авесалома, защото беше се утешил за Амноновата смърт.

< 2 Samweli 13 >